Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania: Wagonjwa wa COVID19 wamepungua SANA nchini

Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania: Wagonjwa wa COVID19 wamepungua SANA nchini

Kupenda kufikiri uwezavyo,kujijibu na kuhukumu ni aina ya ujinga pia. unakaataje wakati wamesema wao,hapo ulipo usikute hujawahi kumuona hata mgonjwa wa Covid,wala hujafiwa na ndugu,rafiki na jirani ila unaongea tu..sasa hivyo vifo mitaani viko wapi?hata uongee na watu mia hutamuona anaekwambia kua kafiwa na ndugu au jirani kwa Covid,sisi wengine ni watu wa masafa mikoani kila kukicha na kupita huko mitaani lakini hatuoni vifo vya Covid-19. Sijui waTanzania mmerogwa na nani,natambua tatizo lipo lakini halipo kwa kiwango kisemwacho
Wamewapima wananchi wangapi?
 
Wakitoa takwimu wataalamu wa afya hamtaki, akisema Rais wa nchi hamtaki, akisema Waziri wa afya hamtaki, akisema Mbowe mnakubali, akisema Balozi wa Marekani mnakubali. Hivi nani kawaroga?
Tambua sasa hampendwi!
 
Ule mhimili uliojichimbia chini kuliko mihimili mingine haukuwahi kushindwa kuinfluence chochote
 
Kwanza maisha ya saizi hakuna mtaalamu wote wamekuwa bendera tu na kujali matumbo yao bila kuangalia weledi wa kazi zao
HOVYO HOVYO HOVYO TUPU
 
Hakuna Siasa kwenye maswala ya ugonjwa. Walete takwimu kuonesha kweli wagonjwa wamepungua. La sivyo hii itakua ni porojo kama porojo nyingine tu
Hukusikia takwimu za wagonjwa waliopo kila hospitali alizotoa Rais na waziri mkuu? Unataka takwimu gani hasa?..
 
Kuna watu watapinga hii habari ili tukubali habari Yao ya kuitengeneza
 
Kupenda kufikiri uwezavyo,kujijibu na kuhukumu ni aina ya ujinga pia. unakaataje wakati wamesema wao,hapo ulipo usikute hujawahi kumuona hata mgonjwa wa Covid,wala hujafiwa na ndugu,rafiki na jirani ila unaongea tu..sasa hivyo vifo mitaani viko wapi?hata uongee na watu mia hutamuona anaekwambia kua kafiwa na ndugu au jirani kwa Covid,sisi wengine ni watu wa masafa mikoani kila kukicha na kupita huko mitaani lakini hatuoni vifo vya Covid-19. Sijui waTanzania mmerogwa na nani,natambua tatizo lipo lakini halipo kwa kiwango kisemwacho
Mkuu, Watanzania kuna sehemu tunakwama sana, kupokea habari za kuskia na kusambaza bila kuwa na uhakika, naamini mitaani kungekuwa na vifo hivyo vinavyosemwa na hao wahabarishaji uchwara huko twita vingetosha kutufumbua macho na kuona wenyewe ukubwa wa tatizo.

Ila tunaambiwa watu wanakufa wengi, mahospitali yamejaa wagonjwa wa covid, ila mtaani hatuoni hayo, unabaki kujiuliza kuwa hao wanaokufa wanatoka Mars au Jupita maana mtaani hatuoni hiyo misiba kwa kiwango hicho.
 
Hakuna Upumbavu mkubwa unaoharibu nchi yoyote kama Wataalamu na Wataaluma kuongozwa na kuendeshwa na wanasiasa.

Madaktari wa Tanzania hawapo Independent

Ni viraka tu wanapachikwa kila mahala, wangekuwa na msimamo wao wa kitaalamu wangeheshimiwa sana.
 
Bila namba zenye uhalisia, hiki ni kimemo kama vimemo vingine
 
Pesa zilizo changwa wame kula wa nani

SUBIRI KIDOGO
 
Mataga unabwabwaja huna data:
Kam unaamini kuwa jiwe ndio alitoa mwongozo Wa barakoa za vitenge Basi wewe ni kiazi, jiwe anawez kukuambia kuwa hio hewa unayopumua yye ndio anaitengeneza na ukaamini...
Paaa😂😂😂 Kumbe kweli hamjachangia. Haya nakubaliana na wewe ni WHO waliwashauri kuvaa barakoa za vitenge😤😤
 
Huu ni ujinga wa hali ya juu sn. Yaani wataalamu wa afya wanaomgelea hili siku tano baada ya wanasiasa kusema maambukizi yamepungua. Nilitegemea wataalamu watuambie kwanza kabla ya wanasiasa hawa wa hovyo.......
Ni shinikizo tu la serikali linawasumbua wataalamu hawawezi kusema tofauti
Kinachoshangaza madreva 30 tuu wakipimwa mipakani wanakuta wanao 5 au chini ya hao lkn huku unaambiwa hakuna aliyeongezeka sasa sijui huo ugonjwa unapenda sana madreva au uko mpakani zaidi kuliko katkati ya miji lkn hataivo hao madreva siwanatokea katkati ya miji??.
 
Back
Top Bottom