Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
wewe mataga acha porojo zako weka hizo data za balozi wa marekani tuone. Au unabwabwaja tu mataga ili ulipwe?Wakitoa takwimu wataalamu wa afya hamtaki, akisema Rais wa nchi hamtaki, akisema Waziri wa afya hamtaki, akisema Mbowe mnakubali, akisema Balozi wa Marekani mnakubali. Hivi nani kawaroga?
Mataga njoo hapa mwenge ule kitimoto, pole pole si amewalipa Jana?Hata mm nakubaliana nao. Maambukizi yamepungua coz kelele zimepungua kama sio kuisha kabisa, maana mwezi April mwishoni kelele kila kona.
Hata yule bwana wa tweeter wa proton.com kaacha kutangaza vifo.
Hivi hujioni kwamba wewe ndio mjinga mnadhimu au?,Kupenda kufikiri uwezavyo,kujijibu na kuhukumu ni aina ya ujinga pia. unakaataje wakati wamesema wao,hapo ulipo usikute hujawahi kumuona hata mgonjwa wa Covid,wala hujafiwa na ndugu,rafiki na jirani ila unaongea tu..sasa hivyo vifo mitaani viko wapi?hata uongee na watu mia hutamuona anaekwambia kua kafiwa na ndugu au jirani kwa Covid,sisi wengine ni watu wa masafa mikoani kila kukicha na kupita huko mitaani lakini hatuoni vifo vya Covid-19. Sijui waTanzania mmerogwa na nani,natambua tatizo lipo lakini halipo kwa kiwango kisemwacho
Mataga acha kubwabwaja. Sasa hapo point yako iko wapi?Sio kila kitu kupinga pinga tu - wewe ulitakaje? Ulitaka madaktari wahitishe press conference wazungumzie masuala ya maabukizi ya virus Nchini wakiwa na lengo la ku pre empty kauli ya Serikali ambayo ndio mwajili wao - nchi haendeshwi kihuni kama mnavyo taka. Labda ni kuhoji swali dogo kama unafikiri maambukizi ya corona ni mengi sana nchini, ebu twambie umekwisha shuhudia misiba mingapi ya Corona katika mitaa unayo ishi, tuanzie hapo kabla hatuja jadiri horror stories zenu.
😂🤣🤣🤣😂Mataga njoo hapa mwenge ule kitimoto, pole pole si amewalipa Jana?
hivi umeelewa kweli ata ulichoandikaHuu ni ujinga wa hali ya juu sn. Yaani wataalamu wa afya wanaomgelea hili siku tano baada ya wanasiasa kusema maambukizi yamepungua. Nilitegemea wataalamu watuambie kwanza kabla ya wanasiasa hawa wa hovyo.......
Ni shinikizo tu la serikali linawasumbua wataalamu hawawezi kusema tofauti
mbna umehamaki sana mkuu? Wew research na takwimu zako ziko wapi kupinga tamko la raisi wa madaktari Tz? Au una maabara na hospitali zako ulizo admit wenye korona? Jifunze kupinga kwa takwimu. Kama huna shut up.
Huu ni ujinga wa hali ya juu sn. Yaani wataalamu wa afya wanaomgelea hili siku tano baada ya wanasiasa kusema maambukizi yamepungua. Nilitegemea wataalamu watuambie kwanza kabla ya wanasiasa hawa wa hovyo.......
Ni shinikizo tu la serikali linawasumbua wataalamu hawawezi kusema tofauti
Ni kweli kabisa, sitegemei mtaalam aje na porojo. Unaposema kuwa maambukizi yamepungua, lazima uje.na data ili ueleweke.Watalaam nao wamegeuka wanasiasa. Walete takwimu sio hizi porojo.
Hapana Mkuu. Usichukulie too serious😂🤣🤣🤣😂
Kweli siasa mbaya. Mm ndo wakuniita shetani? Eeh bwana, vifo havifichiki.
Sio kila jambo lipingwe kwa takwimu..tumia common sense..mengine yanapingwa kwa facts na reality.
#MaendeleoHayanaChama.