Rais wa club ya Yanga kawatoa hofu ubingwa wa CAF ni lazima jangwani

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
"Sisi ndio tutakuwa timu ya Kwanza kutoka kwenye ardhi ya Tanzania kulileta Kombe la CAF nchini Inshallah, Jumapili tukifanikiwa kutinga Robo fainali nina Imani tutavuka na kwenda Nusu fainali , baadae Fainali na Inshallah sisi ndio itakuwa timu ya Kwanza kushangilia taji hili""

Wananchi msiwe na hofu Inshallah sisi mwaka huu tutalibeba" Hersi

Rais wa Yanga SC akizungumza na Mashabiki na Wanachama wa Klabu ya Yanga Manzese.

 
Naomba niutunze huu uzi kama risiti. Nitarudi
 
Asante mwenyekiti tuna Imani na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…