HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,417
- 6,149
Acha dhihaka we ACT Fanatic!! Kwani wale ''wakimbizi'' wa machafuko ya mwaka 99/2000 huko Zenji wamesharudi wote?Uyouyo sasa anapatikana kwa clips za Youtube
Chato kuna Ikulu?Ndege iliyomleta Rais wa Ethiopia ndio inatua hapa Chato.
Rais Magufuli na viongozi wengine wanashangilia ndege hii ya Ethiopian inapotua.
Up dates;
Rais Magufuli amempokea mgeni wake na baada ya kushuhudia burudani mbalimbali viongozi hawa wawili wanaondoka kuelekea Ikulu kwa mazungumzo.
Tutawaletea yanayojiri huko.
Katiba siyo msahafu tena usiishi kwa kukariri!Sina uhakika kama Mwalimu (RIP) ali host Mwaliko wa kidola ndani ya Butiama, Sina uhakika vilevile kama Mzee Mwinyi alifanya dhifa ya kitaifa hapo kwake msasani ama Zanzibar - ama Mzee wetu Mkapa (RIP) naye kule Lupaso ama Lushoto, halikadhalika sina uhakika kama Jakaya alifanya mwaliko kama huu huko Msoga !!
Katiba ya nchi inasemaje kuhusu ugeni kama huu !! Je Chato ina Ikulu tayari ? Sipingi kuwapokea wageni hawa ila utatarabiu wa Katiba na Sheria zetu unasemaje tafadhali
Ndio!Chato kuna Ikulu?
Hahahaaaa....... Bwashee mimi ni mstaafu!Bwashee jaribu kusoma ukomo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ni miaka mingapi kwa mujibu wa Katiba ya Nchi.
Panapo majaaliwa, 2025 ndiyo ukomo wa Mhe JPM kuhudumu nafasi ya URais wa Nchi.
Nadhani itakuwa zamu yako Bwashee kutuongoza kwa miula 2 ijayo sio ??ππ
Wewe unadhani kuna nini?Wewe mleta habari chato kuna Ikulu kweli??
Pale ni nyumbani kwake ndicho ninachofahamu ila kwa makazi yake binafsi amepandea haki maana amekujenga kwelikweliWewe unadhani kuna nini?
Chato ni wilaya ujue!Pale ni nyumbani kwake ndicho ninachofahamu ila kwa makazi yake binafsi amepandea haki maana amekujenga kwelikweli
Umestaafu kwa nafasi nyingine sio hii kubwa tunayotaka tukupe.Hahahaaaa....... Bwashee mimi ni mstaafu!
Najua siyo msahafu, lakini ukiamua kuivunja basi utoe na ufafanuzi ili wananchi wasiwe na hofu - Watanzania wanauliza je Chato kuna IKULU ? wana wajibu wa kujua sababu Rais ni wa kwao !!Katiba siyo msahafu tena usiishi kwa kukariri!
Labda mkakati wa kuhamia Dodoma ilikuwa ni kupunguza distance ya kwenda Chato .....!!Nje ya mada maramoja..!
Zile 'vurugu' za kuhamia Dodoma ndo zimeisha mitano ya mwanzo na sasa mitano hii mingine tunahamia Chato?
Tuache Dr Magufuli akamilishe miradi yote aliyoianzisha hata kama itakuwa 5 tena au 10 tena.Umestaafu kwa nafasi nyingine sio hii kubwa tunayotaka tukupe.
Natamani 2025 iwe zamu yako ili tupate nafasi ya kukusema vizuri hapa Jukwaani tukiongozwa na Bia yetu Magonjwa Mtambuka BAK na zitto junior π π
Ama nchi yote tumekua watu wa oya oya hatujui kutetea misingi na uatawala bora ama kiongozi ametuona ng'ombe na kua hatuhoji uhalali wa shughuli na mambo ya kitaifa kufanyika home kwake.Ndege iliyomleta Rais wa Ethiopia ndio inatua hapa Chato.
Rais Magufuli na viongozi wengine wanashangilia ndege hii ya Ethiopian inapotua...
Katiba haivunjwi bali itafanyiwa marekebishoNajua siyo msahafu, lakini ukiamua kuivunja basi utoe na ufafanuzi ili wananchi wasiwe na hofu - Watanzania wanauliza je Chato kuna IKULU ? wana wajibu wa kujua sababu Rais ni wa kwao !!
Tuwe wakweli kuna mahali hapako sawa!!
Kwahiyo Bwashee unadhani wewe hautaweza kufanya zaidi yake wakati Organs zote unakuwa nazo??Tuache Dr Magufuli akamilishe miradi yote aliyoianzisha hata kama itakuwa 5 tena au 10 tena.
Tumechelewa sana kupata kiongozi shupavu kama huyu.