Rais wa Ethiopia awasili Chato mkoani Geita. Rais Magufuli aahaidi kuwaachia wahamiaji haramu 1789 kutoka Ethiopia bila masharti

Chato kuna Ikulu?
 
Nje ya mada maramoja..!

Zile 'vurugu' za kuhamia Dodoma ndo zimeisha mitano ya mwanzo na sasa mitano hii mingine tunahamia Chato?
 
Katiba siyo msahafu tena usiishi kwa kukariri!
 
Kwani chato sio Tanzania???
Sio Mitano tena ni milele kabisa....
Uchumi wa kati....
Nchi hii ni tajiri sana....
Au nasema uongo ndugu zanguuuuu...

Unaijua vieite wewe?!!
Sisi tunatembelea vieitee!!!
 
Hahahaaaa....... Bwashee mimi ni mstaafu!
 
Katiba siyo msahafu tena usiishi kwa kukariri!
Najua siyo msahafu, lakini ukiamua kuivunja basi utoe na ufafanuzi ili wananchi wasiwe na hofu - Watanzania wanauliza je Chato kuna IKULU ? wana wajibu wa kujua sababu Rais ni wa kwao !!

Tuwe wakweli kuna mahali hapako sawa!!
 
Nje ya mada maramoja..!

Zile 'vurugu' za kuhamia Dodoma ndo zimeisha mitano ya mwanzo na sasa mitano hii mingine tunahamia Chato?
Labda mkakati wa kuhamia Dodoma ilikuwa ni kupunguza distance ya kwenda Chato .....!!
 
Umestaafu kwa nafasi nyingine sio hii kubwa tunayotaka tukupe.

Natamani 2025 iwe zamu yako ili tupate nafasi ya kukusema vizuri hapa Jukwaani tukiongozwa na Bia yetu Magonjwa Mtambuka BAK na zitto junior πŸ˜…πŸ˜…
Tuache Dr Magufuli akamilishe miradi yote aliyoianzisha hata kama itakuwa 5 tena au 10 tena.

Tumechelewa sana kupata kiongozi shupavu kama huyu.
 
Ndege iliyomleta Rais wa Ethiopia ndio inatua hapa Chato.

Rais Magufuli na viongozi wengine wanashangilia ndege hii ya Ethiopian inapotua...
Ama nchi yote tumekua watu wa oya oya hatujui kutetea misingi na uatawala bora ama kiongozi ametuona ng'ombe na kua hatuhoji uhalali wa shughuli na mambo ya kitaifa kufanyika home kwake.
 
Najua siyo msahafu, lakini ukiamua kuivunja basi utoe na ufafanuzi ili wananchi wasiwe na hofu - Watanzania wanauliza je Chato kuna IKULU ? wana wajibu wa kujua sababu Rais ni wa kwao !!

Tuwe wakweli kuna mahali hapako sawa!!
Katiba haivunjwi bali itafanyiwa marekebisho

Bawacha wataongoza majadiliano kwa kambi ya upinzani kwa sababu ndio chama chenye wabunge wengi!
 
Tuache Dr Magufuli akamilishe miradi yote aliyoianzisha hata kama itakuwa 5 tena au 10 tena.

Tumechelewa sana kupata kiongozi shupavu kama huyu.
Kwahiyo Bwashee unadhani wewe hautaweza kufanya zaidi yake wakati Organs zote unakuwa nazo??

Basi ngoja nafasi yako tumpe Mkuu mwenyewe BAK atunyooshe 2025 πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…