Rais wa Ethiopia awasili Chato mkoani Geita. Rais Magufuli aahaidi kuwaachia wahamiaji haramu 1789 kutoka Ethiopia bila masharti

[/QUOTE]
Unaruhusiwa kusimamia unachokijua ila sio kila unachokijua wewe ndio kiko sahihi
Kwa hiyo leo rais akisema akafanyie kazi ikulu ya ndogo ya mkoa wa Kilimanjaro utakataa kwamba sio ikulu sababu haipo kwenye makao makuu ya mkoa
Mama D, hakuna anayebisha Rais kufanyia kazi zake IKULU ndogo maana tunajua kila mkoa una makazi rasmi ya Mkuu wa nchi na yanatabmulika rasmi - Hoja je yupo wapi kwa sasa? maana IKULU zote kubwa na ndogo tunazojulikana kisheria hayupo !!
 
Kila nyakati na zama zake.... Chato ndo ikulu ndogo mpaka Chamwino itakapo kamilika ujenzi. Dar ni makumbusho ya taifa na mbuga ya tausi. We hayo ya Chato tupa kule komaa na ada za wanao April hiyo sio mbali.
 
Kila nyakati na zama zake.... Chato ndo ikulu ndogo mpaka Chamwino itakapo kamilika ujenzi. Dar ni makumbusho ya taifa na mbuga ya tausi. We hayo ya Chato tupa kule komaa na ada za wanao April hiyo sio mbali.
sasa CCM si mlitangazie Taifa, mnafeli wapi? haiwezekani mambo mkayapeleka peleka kienyeji enyeji tu - haiwezekani kabisa
 
Lema naye yuko Canada hana namna tena ya kurudi Tanzania kwaacha watu wa Arusha pale wanaliwa ni majibwa ambao asilimia kubwa wakimtegemea Lema kama mkombozi wao...
Niliposoma hii para nimegundua huijui CHADEMA..... Cheo cha makamu Mwenyekiti ni ceremonius tu na ndio kitu Prof.Safari alilalamikia maana ww ni kukaimu tu ila huna powers zozote so huyo Issa Mohammed awe CCM awe ACT hana madhara. Ni kama Maalim SUK hana lolote zaidi ya title tu.

Then lazima ufahamu kuna system inaitwa ''Narrow Approach'' usidhani mikakati ya CHADEMA inapangwa na kamati kuu la hasha, kuna parallel machinery yenye watu wasiozidi 5 ambao ni loyal hao ndio wanapanga ajenda na kutoa maoni kwa Mwenyekiti who in turn decides what to tell the central committee. Na sio tu CHADEMA ipo CCM ipo RPF ipo NRM ipo ODM n.k ili kuepuka leakage na mapandikizi.

Hata negotiation za Maalim na CCM kamati kuu yenu hamkuambiwa kila kitu hta Zitto was left in Darkness. Kaja kushtukizwa tu kuwa Maalim amekubali ilihali a day prior to the announcement, Zitto akiwa na Lissu alituhakikishia hakuna mwana ACT ataenda kuapa!!!

NB: Chama kikuu mbadala ni CHADEMA tu sababu ya consistency iliyoonyesha, CUF ilitingishwa tu ikafa ila CHADEMA imevuka mitihani yote hadi sasa imefikia level CCM ikaona suluhisho ni kupora tu chaguzi but ACT hamuwezi jivunia lolote coz mmefeli kabisa hakuna progress ya maana iliyotarajiwa baada ya maalim kujiunga. Hvi leo hii Arusha kuna ACT au Geita? Ama ACT ni chama cha upande mmoja tu wa muungano?

Funny
 
2025 ni zamu ya Waislamu akina Jafo!
Hiyo imeandikwa kwenye Katiba ipi kuwa Rais anayefuata baada ya JPM lazima awe Muislamu.

Ukinionesha ilipoandikwa, nitakupa Offer ya kutembelea hifadhi ya Rubondo kwa Siku 7 kwa gharama zangu
 
Na wilaya ya Chato ina Ikulu ndogo. bila shaka umeelewa!
Unaamua kulazimisha, kwa sababu umeshindwa kwenye logic. hata kwetu kule Mara...Butiama kulikuwa hakuna Ikulu. Ikulu ilikuwa Musoma mjini...........Mwalimu akuwahi weka Ikulu Butiama.

Enzi zenu nyinyi ni kuvunja katiba kwa ajili ya utashi wenu.
 
Mimi sina uhakika kama maraisi uliowataja hawakusafiri nje ya Afrika mihula yao ya kwanza! Sina uhakika kama hao maraisi waliwaita wafanyi biashara, makatibu kata kuongea nao - sina uhakika kama pia watangulizi wake walijenga kuta kuzunguka migodi na sina uhakika kama........ Sina uhakika!
Magufuli asilinganishwe na yeyote, haigi au kucopy na kupaste. Anajitosheleza. Anafuata nyayo zake na hajakosea.
 
Inafikirisha sana!

Rais wa Ethiopia yupo hapa nchini kwa ziara ya siku moja yenye lengo la mazungumzo ya faragha na Rais Magufuli wa Tanzania.

Ujio wa Rais wa Ethiopia hapa nchini si hoja bali hoja ni kwa sababu gani amewasili kwa nia ya mazungumzo ya faragha?

Kuna nani Ethiopia kinachoendelea hadi ipelekee kuhitaji mazungumzo ya faragha ya wadau hao wawili Tanzania na Ethiopia?
 
halingalishwi na Rais yoyote mtangulizi wake bali kinachotakiwa ni kufuata katiba na sheria, Katiba imetamka wazi kuhusu makazi ya Rais wetu !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…