Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kama mwenyeji yuko Chato ulinata atue Kilimanjaro au JKNIA?Lissu aliposema ule uwanja hauna activities zozote sasa mkuu anawalazimisha wageni wake watue angalau kule?
Unadhani huyu mzee akifa au kustaafu huyo Rais wa Ethiopia ataendelea kuuthmia huo uwanja?
Akili za kipumbavu sana hizo