Rais wa FIFA awapa makavu wazungu dhidi ya Afrika

Rais wa FIFA awapa makavu wazungu dhidi ya Afrika

Hakuna aliesema ukoloni ulikuwa mzuri. Ufisadi unaofanywa sasa unatokana na ukoloni wa miaka 61 nyuma? Mzungu anaweza kuingia nchi ya kiafrika na kufanya business isiyo fair bila kushirikiana na waafrika?
Kwani Mikataba ya hovyo wazungu wanasahinishana na nani kama sio baadhi ya waafrika?
Lakini pia, Kuna Direct and Active connection iliyoko kati ya Ufisadi hata Uvivu na Uzembe wala Leo na Ukoloni wa 61.

Je, unafikiri kweli pasi na mkoloni bado tungekuwa corrupt people ilivyo Leo!? Tafakari kwa Kina zaidi.
 
Lakini pia, Kuna Direct and Active connection iliyoko kati ya Ufisadi hata Uvivu na Uzembe wala Leo na Ukoloni wa 61.

Je, unafikiri kweli pasi na mkoloni bado tungekuwa corrupt people ilivyo Leo!? Tafakari kwa Kina zaidi.
Si bara la Afrika pekee lililokuwa limetawaliwa na wakoloni. Pia tafakari.
 
Si bara la Afrika pekee lililokuwa limetawaliwa na wakoloni. Pia tafakari.
Bila shaka, nitatafakari!

Nawe usiache kujiuliza kwanini Kasumba ya Uduni IPO kwetu tu si kwa races nyingine.

Kurahisisha zaidi, Ifute Afrika kwenye Uso wa dunia halafu Itazame ijinasibuyo kuwa Dunia ya Kwanza na Ustaarabu wao kama itaendelea kuwa ilivyo Leo.

Kisha Tafakari upya Sensitivity ya African role katika Dunia hii. Zingatia, huitaji nyundo kuua kiroboto ila itakulzimu Bunduki nzito kumuangusha Tembo.
 
Infantino acha kujitekenya na kucheka peke yako Nani amekwambia Africa tunajisikia kuombwa msamaha na wazungu?? Mmetukosea kwa miaka 300 na mnataka kutuomba msamaha kwa miaka mingine 300 hii Ina maana gani?? Machungu na mateso mliyotupa na mnayoendelea kutupa mnadhani Kuna kitu cha thamani kutosha kutusahaulisha haya yote??? Kaeni mbali na Africa undugu wa kinafiki hauna nafasi Tena kwetu nguvu pekee mliyobakiza ni hawa vibaraka mliowapandikiza siku Mungu akiwaondoa na Africa tukasimama kwa umoja na udugu ubeberu wenu utatamatika
 
Back
Top Bottom