Rais wa Horoya asema Simba ni timu ndogo yenye kelele nyingi mitandaoni

Anawasikia mapopoma kama genta na wengne wakiropokeana hovyo, ila haoni maajabu ya thimba.
Sasa hv kuna kichaka cha Simba haina kombe ila kuna siku hakitakuwepo na kelele za unaowaita mapopoma zitakuwa kali zaidi kukiwa hakuna kichaka cha kujificha.
 
Sasa hv kuna kichaka cha Simba haina kombe ila kuna siku hakitakuwepo na kelele za unaowaita mapopoma zitakuwa kali zaidi kukiwa hakuna kichaka cha kujificha.
Timu za Tanzania kuchukua kombe la caf siyo Leo,labda 2085
 
Atajutia haya maneno..yanazidisha hasira yetu..mwenzie alituita Zuwena...kilichotokea hata Kaa asahau
Zuwena tunawaita sisi Yanga na hamtufanyi lolote au unasemaje kilo dunduka?
 
Kama maneno yaliyosemwa ni ya kweli hakuna haja ya source..
Simba ni timu ndogo sana hata kwa Yanga tu, kuanzia umri, wingi wa vipigo pamoja na makombe
Makombe yote?
Una uhakika na unachokinena?

Unadhani kwa nini wenzako hushupalia ligi kuu?
 
Yakweli haya?
Ustakencheke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…