Rais wa Horoya asema Simba ni timu ndogo yenye kelele nyingi mitandaoni

Rais wa Horoya asema Simba ni timu ndogo yenye kelele nyingi mitandaoni

Raisi wa klabu ya Horoya ya nchini Guinea bwana Soufiane Antonio Souaré ameshtushwa na habari alizokutana nazo hapa nchini kuwa klabu ya Simba ni klabu kubwa barani Afrika.

Raisi huyo amesema kuwa yeye pamoja na watu wote wanafahamu klabu kubwa Afrika ni Al Ahly, Zamalek, Esperance, Wayda, Raja Casablanca, Tp Mazembe, Mamelodi Sundowns, Far Rabat, Js Kabylie na
Pia bwana Antonia akasema hata klabu kama Es Setif, Enyimba, Asec mimosas,Asante kotoko, Stella Abidjan, Kaizer chief, Orlando pairate, Canon Younde, As Vita club, Ismaily, Etoile du Sahel, Club Africaine, na Hearts of Oak zimewaacha mbali Simba Kwa mafanikio Simba kwao klabu zote hapo juu zimewahi kubeba ubingwa wa vilabu barani Afrika.

Raisi huyo amemalizia kwa kusema anasikia kelele nyingi mtandaoni za mashabiki wa simba zinazoihusisha Simba na vilabu vikubwa lakini haioni miongoni mwa vilabu vikubwa hapa barani Afrika.

Hayo malalamiko yake apeleke CAF ndiyo wameipa Simba daraja hilo.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Raisi wa klabu ya Horoya ya nchini Guinea bwana Soufiane Antonio Souaré ameshtushwa na habari alizokutana nazo hapa nchini kuwa klabu ya Simba ni klabu kubwa barani Afrika.

Raisi huyo amesema kuwa yeye pamoja na watu wote wanafahamu klabu kubwa Afrika ni Al Ahly, Zamalek, Esperance, Wayda, Raja Casablanca, Tp Mazembe, Mamelodi Sundowns, Far Rabat, Js Kabylie na
Pia bwana Antonia akasema hata klabu kama Es Setif, Enyimba, Asec mimosas,Asante kotoko, Stella Abidjan, Kaizer chief, Orlando pairate, Canon Younde, As Vita club, Ismaily, Etoile du Sahel, Club Africaine, na Hearts of Oak zimewaacha mbali Simba Kwa mafanikio Simba kwao klabu zote hapo juu zimewahi kubeba ubingwa wa vilabu barani Afrika.

Raisi huyo amemalizia kwa kusema anasikia kelele nyingi mtandaoni za mashabiki wa simba zinazoihusisha Simba na vilabu vikubwa lakini haioni miongoni mwa vilabu vikubwa hapa barani Afrika.

YUko sahihi,Simba Hana taji lolote kubwa ngazi ya Afrika
 
Makombe yote?
Una uhakika na unachokinena?

Unadhani kwa nini wenzako hushupalia ligi kuu?
Kwani mna kombe gani nyinyi nje ya ligi kuu ambalo Yanga hawana?

NB:- Usije ukaleta porojo za kufika sijui robo fainali, sijui tuliitoa Zamalek, au kucheza fainali ya nini sijui na Stella Abidjan!! Hayo siyo makombe.
 
Kwani mna kombe gani nyinyi nje ya ligi kuu ambalo Yanga hawana?

NB:- Usije ukaleta porojo za kufika sijui robo fainali, sijui tuliitoa Zamalek, au kucheza fainali ya nini sijui na Stella Abidjan!! Hayo siyo makombe.
Hawana huo ujanja
 
Kwani mna kombe gani nyinyi nje ya ligi kuu ambalo Yanga hawana?

NB:- Usije ukaleta porojo za kufika sijui robo fainali, sijui tuliitoa Zamalek, au kucheza fainali ya nini sijui na Stella Abidjan!! Hayo siyo makombe.
Nani mtani jembe unalo? Tuliwakanda nyie mpaka mkasusa kushiriki yale mashindano bado kijana mdogo kumbe
 
S
Utopolo waulizeni kwanza hao rafiki zenu lini wanakuja Dsm, wameanza kutetemeka mapema sana ..

Halafu mwambieni atazame chati za vilabu kumi bora Afrika, kisha atuambie kwa sauti kubwa Simba Sc ipo nafasi ya ngapi?
Shida Utopolo hawapo kwenye chati
 
Hao maraisi wanaozunguka na timu ni sawa na machawa. Maraisi wa klabu kubwa huwezi kukuta anazurura na timu au anaropoka kuizungumzia vibaya timu nyingine. Wajifunze kwa Perez na Mo...
 
S
Utopolo waulizeni kwanza hao rafiki zenu lini wanakuja Dsm, wameanza kutetemeka mapema sana ..

Halafu mwambieni atazame chati za vilabu kumi bora Afrika, kisha atuambie kwa sauti kubwa Simba Sc ipo nafasi ya ngapi?
Shida Utopolo hawapo wan
Hao maraisi wanaozunguka na timu ni sawa na machawa. Maraisi wa klabu kubwa huwezi kukuta anazurura na timu au anaropoka kuizungumzia vibaya timu nyingine. Wajifunze kwa Perez na Mo...
Kweli bwana😆😆 atakua chawa tu
 
Amekosea: Asante Kotoko ni ile ya zamani siyo hii ya leo. Ukiipambanisha Asante Kotoko ya sasa na Mbeya City, waghana hao watakula kichapo cha mbwa koko.
 
Back
Top Bottom