Rais wa Iran agoma Kusaini sheria kali ya mavazi

Rais wa Iran agoma Kusaini sheria kali ya mavazi

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Bunge la Iran limepitisha sheria Kali kuhuzu mavazi ya wanawake. Ikiwemo vazi la hijab. Kwa Sasa sheria hiyo inawataka wanawake wavae hijab inayofunika kichwa kuzima na sio upande wa kichwa na kuonesha nywele.

Pia sheria hiyo imepiga marufuku mavazi ya suruali au nguo za kubana kwa wanawake. Wanawake wametakiwa kuvaa nguo ambazo hazioneshi maungo yao.

Adhabu ya atakaye kwenda kinyume na sheria hiyo ni:

1. Faini
2. Kufungwa jela
3. Kutoruhusiwa kutumia mtandao wa internet

Iwapo Rais wa Iran atakataa Kusaini sheria hiyo atakuwa ameingia kwenye mgogoro na Kiongozi mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei. Pia ikumbukwe Asilimia 72 ya wanawake wa Iran hawaungi mkono vazi la hijab.
 
Bunge la Iran limepitisha sheria Kali kuhuzu mavazi ya wanawake. Ikiwemo vazi la hijab. Kwa Sasa sheria hiyo inawataka wanawake wavae hijab inayofunika kichwa kuzima na sio upande wa kichwa na kuonesha nywele.

Pia sheria hiyo imepiga marufuku mavazi ya suruali au nguo za kubana kwa wanawake. Wanawake wametakiwa kuvaa nguo ambazo hazioneshi maungo yao.

Adhabu ya atakaye kwenda kinyume na sheria hiyo ni:

1. Faini
2. Kufungwa jela
3. Kutoruhusiwa kutumia mtandao wa internet

Iwapo Rais wa Iran atakataa Kusaini sheria hiyo atakuwa ameingia kwenye mgogoro na Kiongozi mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei. Pia ikumbukwe Asilimia 72 ya wanawake wa Iran hawaungi mkono vazi la hijab.
Wasije kusingizia tu mazayuni na west kuchochea mgogoro
 
Bunge la Iran limepitisha sheria Kali kuhuzu mavazi ya wanawake. Ikiwemo vazi la hijab. Kwa Sasa sheria hiyo inawataka wanawake wavae hijab inayofunika kichwa kuzima na sio upande wa kichwa na kuonesha nywele.

Pia sheria hiyo imepiga marufuku mavazi ya suruali au nguo za kubana kwa wanawake. Wanawake wametakiwa kuvaa nguo ambazo hazioneshi maungo yao.

Adhabu ya atakaye kwenda kinyume na sheria hiyo ni:

1. Faini
2. Kufungwa jela
3. Kutoruhusiwa kutumia mtandao wa internet

Iwapo Rais wa Iran atakataa Kusaini sheria hiyo atakuwa ameingia kwenye mgogoro na Kiongozi mkuu wa Iran Ayatollah Khamenei. Pia ikumbukwe Asilimia 72 ya wanawake wa Iran hawaungi mkono vazi la hijab.
Hao watakuwa wayahood ndo wanafanya fitna na magharibi. Inaudhi sana.
 
Situlikubaliana kuwa kila maamuzi ya Iran yanatolewa na Hayatullah kumbe na rais ana mamlaka ya kuamua kitu fulani kifanyike na kingine kisifanyike?

Kwahiyo kuanzia sasa tusisikie tena tumba za Iran ni nchi ya kidkiteta.
 
Situlikubaliana kuwa kila maamuzi ya Iran yanatolewa na Hayatullah kumbe na rais ana mamlaka ya kuamua kitu fulani kifanyike na kingine kisifanyike?

Kwahiyo kuanzia sasa tusisikie tena tumba za Iran ni nchi ya kidkiteta.
Ayatollah ni "Supreme" Leader, anaweza kupindua maamuzi yoyote ya rais au bunge.
 
Situlikubaliana kuwa kila maamuzi ya Iran yanatolewa na Hayatullah kumbe na rais ana mamlaka ya kuamua kitu fulani kifanyike na kingine kisifanyike?

Kwahiyo kuanzia sasa tusisikie tena tumba za Iran ni nchi ya kidkiteta.
Mkuu

Mimi naomba kuelemishwa. Kwani Ayatollah ana mamlaka gani na raisi ana mamlaka gani ndani ya nchi?

Na kwanini awepo ayatollah na Raisi?
 
Mkuu

Mimi naomba kuelemishwa. Kwani Ayatollah ana mamlaka gani na raisi ana mamlaka gani ndani ya nchi?

Na kwanini awepo ayatollah na Raisi?
Ayatollah ni kiongozi wa kiroho na ndo kiongozi mkuu wa taifa katika masuala muhimu ya nchi yeye ndo mtoa kauli ya mwisho .
Rais ni msimazi wa serikali na ndo sura ya kidipromasia ya Iran ulimwenguni lakini kuna maamuzi mengine raisi anaweza kuyafanya bila kuomba ruhusa kutoka kwa kiongozi mkuu.
 
Ni lini mara ya mwisho uliwahi kusikia mfalme au malkia amekataa kutoa hizo baraka kwa jambo lolote ambalo bunge au serikali imeamua??
Ujue hayo mambo yanaendana na masilahi ya ufalme.

Na ww tuambie ni lini Ayatollah Alisha wahi kukataa jambo lolote lililo pitishwa na rais au bunge la nchi hiyo.

Haya wabunge waandae mswada wa kuufikisha utawala wa kifalme mwisho tuone kama hayo maamuzi watayakubali.
 
Back
Top Bottom