acha ku-edit qauli ya Haqi ya muham mad aka allah
👇👇
قُلْ مَن كَانَ عَدُوًّا لِّجِبْرِيلَ فَإِنَّهُ نَزَّلَهُ عَلَىٰ قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّهِ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَهُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ
[ AL - BAQARA - 97 ]
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
Hii Hadithi Ina mlingano na hiyo ayat
👇👇
Umdah al-Ahkam: Juz. 3, Hadithi Na. 460] “Imepokewa na Anas Ibn Malik “Nimesikia kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akisema: allah ni Shetani katika sura ya Malaika aliyeniteremshia Aya na kitabu chake Quran na mimi. 'mimi nabii wake
رواه أنس ابن مالك “سمعت من رسول الله صلى الله عليه وسلم أنه” كان الله شيطان شكل ملاك كشف لي الآيات وكتابه القرآن وأنا نبي.
Wapi pamandikwa Jews Hapo!
Halafu nimeshang'amua ww ni muislamu dirisha ndogo🙄😜
Swali kama sio Jewish ni nani adui wa Gabriel hebu kwanza twende step by step tutafika tu. Haya we tueleze Qur'an ilisema nani adui yake, na uhakika 💯 huna jibu.
Pia mimi nakuomba ukasome vizuri bibilia zenu Yesu alilala au uwongo? Na hio hio bibilia inasema Mungu huwa halali au uwongo?
Matthew 8 23 Jesus alilala kwenye boti au uwongo
Matthew 8:23-27 KJV
And when he was entered into a ship, his disciples followed him. And, behold, there arose a great tempest in the sea, insomuch that the ship was covered with the waves: but he was asleep. And his disciples came to him, and awoke him, saying, Lord, save us: we perish. And he saith unto them, Why are ye fearful, O ye of little faith? Then he arose, and rebuked the winds and the sea; and there was a great calm. But the men marvelled, saying, What manner of man is this, that even the winds and the sea obey him!
KJV: King James Version
Psalm 1.21 verse 4 Mungu huwa halilai vipi hapo 😄 Msitake tuxidishe kuziabisha bibilia zenu.
Psalms 121:4-
Psalms 121:4-5 TPT
He will never slumber nor sleep; he is the Guardian-God for his people, Israel. YAHWEH himself will watch over you; he's always at your side to shelter you safely in his presence.
Poleni wajukuu wa mkosaji nyumba aliye kosa nyumna na aliye kosa pepo 😄 na nyie sijui mnamajumba labda ya madeni 😄 lakini pepo mmekosa sababu nyie humfati mafunzo ya Yesu, mnafata mafunzo ya Shetani lile Paulo aliliona juu ya mti, pale kwenye njia panda ya kutoka Damascus to Jerusalem