Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
We kicha kweli Qur'an na hadith zote zinakataza HomesexualWeka Ushahidi wa Aya ya Quran muham mad aka allah hukumu aliyotoa Kwa wanao tumia vutu.🎤
Haha hivi we unaelewa kizungu hapo ni Mungu ndio anasema sio Mtume Muhammad kweli wewe ni kichaa huna jipyaHizo Aya ulizoleta Hapo amesha jitangaza Kuwa yeye ni Mtume!
Weka starting point kama Musa alipopewa utume!
👇👇
T'AHA!.
وَهَلْ أَتَاكَ حَدِيثُ مُوسَىٰ(9)
Na je! Imekufikia hadithi ya Musa?
إِذْ رَأَىٰ نَارًا فَقَالَ لِأَهْلِهِ امْكُثُوا إِنِّي آنَسْتُ نَارًا لَّعَلِّي آتِيكُم مِّنْهَا بِقَبَسٍ أَوْ أَجِدُ عَلَى النَّارِ هُدًى(10)
Alipo uona moto, akawaambia watu wake: Ngojeni! Mimi nimeuona moto, huenda nikakuleteeni kijinga kutoka huo moto, au nikapata uongofu kwenye moto.
فَلَمَّا أَتَاهَا نُودِيَ يَا مُوسَىٰ(11)
Basi alipo ufikia akaitwa: Ewe Musa!
إِنِّي أَنَا رَبُّكَ فَاخْلَعْ نَعْلَيْكَ ۖ إِنَّكَ بِالْوَادِ الْمُقَدَّسِ طُوًى(12)
Hakika Mimi ndiye Mola wako Mlezi! Basi vua viatu vyako. Kwani upo katika bonde takatifu la T'uwa.
وَأَنَا اخْتَرْتُكَ فَاسْتَمِعْ لِمَا يُوحَىٰ(13)
Nami nimekuteua wewe; basi sikiliza unayo funuliwa.
لا ينبغي أن يوعد الله بحق سوى يسوع! وبولس رسولهHizo hadithi za kanisani mmetunga hadithi nyingi aisay 😄
Hebu naomba unitafsirie Isaiah 40 verse 28 nani Mungu wako Yesu au Yule asiye kufa 😄
Hebu tuchagulie hapo ili tujuwe Yesu kweli ni Mungu au mnaimba ule wimbo kristo kafa kwa ajili yetu kumbe bibilia zenu hamzijui.
Nani kakuambia Hamasi anatandikwa nipe dalili zako wapi Israel kashinda? Kila kukicha anarusha nini Gaza na huko Israel kila kukicha Missiles za Hamasi zinapiga sa vipi useme kashindwa. We umesahau walio lia wameishiwa silaha nani Hamasi au Israel 😄Kama Hamas anatandikwa na mashoga basi hao Hamas ni midabwada wahed.....
Qur'an ya kanisani hio au 😄لا ينبغي أن يوعد الله بحق سوى يسوع! وبولس رسوله
la yanbaghi 'an yueid allah bihaqi siwaa yasuea! wabulus rasulah
Hakuna Mungu Apaswaye Kuabudiwa kwa Haqi ila Yesu! na Paulo Mtume wake
Takbir✊🏼Yasue Akbar👊🏼
Adui wa Jibril kwako ndie Mungu??Haha hivi we unaelewa kizungu hapo ni Mungu ndio anasema sio Mtume Muhammad kweli wewe ni kichaa huna jipya
Hebu niambie Isaeh 40 verse 28 nataka jibu nani Mungu wako Yesu? Au Yule asye kufa? Mbona unakwepa 😄
Adui wa Jibril kwako ndie Mungu??
👇👇
قُلْ مَن كَانَ عَدُوًّا لِّجِبْرِيلَ فَإِنَّهُ نَزَّلَهُ عَلَىٰ قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّهِ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَهُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ
[ AL - BAQARA - 97 ]
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
Hii Hadithi Ina mlingano na hiyo ayat
👇👇
Umdah al-Ahkam: Juz. 3, Hadithi Na. 460] “Imepokewa na Anas Ibn Malik “Nimesikia kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akisema: allah ni Shetani katika sura ya Malaika aliyeniteremshia Aya na kitabu chake Quran na mimi. 'mimi nabii wake
رواه أنس ابن مالك “سمعت من رسول الله صلى الله عليه وسلم أنه” كان الله شيطان شكل ملاك كشف لي الآيات وكتابه القرآن وأنا نبي.
Hahaha. Nani ni adui wa Gabriel si hao Majewish walitaka wao ndio utume ubaki kwao 😄 Mnarukia vitu hamjui Surah inaongelea nini.Adui wa Jibril kwako ndie Mungu??
👇👇
قُلْ مَن كَانَ عَدُوًّا لِّجِبْرِيلَ فَإِنَّهُ نَزَّلَهُ عَلَىٰ قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّهِ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَهُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ
[ AL - BAQARA - 97 ]
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
Hii Hadithi Ina mlingano na hiyo ayat
👇👇
Umdah al-Ahkam: Juz. 3, Hadithi Na. 460] “Imepokewa na Anas Ibn Malik “Nimesikia kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akisema: allah ni Shetani katika sura ya Malaika aliyeniteremshia Aya na kitabu chake Quran na mimi. 'mimi nabii wake
رواه أنس ابن مالك “سمعت من رسول الله صلى الله عليه وسلم أنه” كان الله شيطان شكل ملاك كشف لي الآيات وكتابه القرآن وأنا نبي.
acha ku-edit qauli ya Haqi ya muham mad aka allahHahaha. Nani ni adui wa Gabriel si hao Majewish walitaka wao ndio utume ubaki kwao 😄 Mnarukia vitu hamjui Surah inaongelea nini.
Who is the enemy of Gabriel?
The Jews are the Enemies of Gabriel. (Whoever is an enemy to Jibril (Gabriel) (let him die in his fury), for indeed he has brought it (this Qur'an) down to your heart).
Nendeni mkafute hizo bibilia zenu ni uharo mtupu tazama contradiction.
Why is there a contradiction in Isaiah 40:28? It was said "God never gets tired" whereas in Exodus 31:17, it was said, "God is tired and rests"?
Swali kama sio Jewish ni nani adui wa Gabriel hebu kwanza twende step by step tutafika tu. Haya we tueleze Qur'an ilisema nani adui yake, na uhakika 💯 huna jibu.acha ku-edit qauli ya Haqi ya muham mad aka allah
👇👇
قُلْ مَن كَانَ عَدُوًّا لِّجِبْرِيلَ فَإِنَّهُ نَزَّلَهُ عَلَىٰ قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّهِ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَهُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ
[ AL - BAQARA - 97 ]
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
Hii Hadithi Ina mlingano na hiyo ayat
👇👇
Umdah al-Ahkam: Juz. 3, Hadithi Na. 460] “Imepokewa na Anas Ibn Malik “Nimesikia kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akisema: allah ni Shetani katika sura ya Malaika aliyeniteremshia Aya na kitabu chake Quran na mimi. 'mimi nabii wake
رواه أنس ابن مالك “سمعت من رسول الله صلى الله عليه وسلم أنه” كان الله شيطان شكل ملاك كشف لي الآيات وكتابه القرآن وأنا نبي.
Wapi pamandikwa Jews Hapo!
Halafu nimeshang'amua ww ni muislamu dirisha ndogo🙄😜
We hivi hujui wako Wakristo wanaamini Mungu ni mmoja tu, na Yesu ni Mtume wa Mungu, kama vile Waislam hao ndio Qur'an inawapoint. Sio nyie wamabutcher ya nguruwe kule njombe.Kambishie muham mad aka allah aliyetua Darja la USOMI na Ucha MUNGU!
👇👇
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ
[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao Wasomi na wacha Mungu na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.
Inatosha, wewe ushaingiza mambo yenu, ngoja nikuache nisiharibu mada!.Hizo ni propoganda za US na Warabu hakuna sehemu Iran kasema hatupigj tena Israel. Afu hilo we unacopy hilo sio gazeti la Iran hao ni wapinzani wa Iran. We endelea kuwamini hao na America. Kipigo kinakuja tu huko Tela Aviv tena pale kwenye wizara ya jeshi na office zao muhimu.
Bora umefanya la mana sana.Inatosha, wewe ushaingiza mambo yenu, ngoja nikuache nisiharibu mada!.
Hana pa kujificha drone zinakujaBreaking News Rais wa Iran amsihi Kiongozi Mkuu Ayatollah khamenei asithubutu kuishambuli Israel, ahofia anguko kubwa la uchumi litakalopelekea kuanguka Kwa utawala wa Kiislamu nchini humo
Wadau Hamjamboni nyote?
Hizo ni taarifa mpya kabisa za ndani Rais amemuonya Kiongozi wake Mkuu kuwa shambulizi dhidi ya Israel laweza leta anguko kubwa la uchumi wa nchi hiyo na hivyo kupelekea kusambaratika kwa Dola hilo
Taarifa kamili hapo chini:
---
Report: Iran’s president Pezeshkian urges Khamenei to avoid attack on Israel
Iranian President Masoud Pezeshkian has implored the country’s supreme leader to avoid a direct attack on Israel, warning an escalation could lead Israel to devastate infrastructure and energy targets and cripple the economy, according to a report in Iran International.
The report, which cited anonymous sources with knowledge of the matter and which could not be independently confirmed, said Pezeshkian told Ali Khamenei that a war could deepen citizens’ discontent with the regime and even bring about Iran’s collapse.
The report says Khamenei was noncommittal at the meeting.
Kondoo umekaza fuvuWavaa kobazi wako wapi usiku huu waje
USSR