Rais wa Kenya Dr.William Samoe Ruto ni chuma imara zaidi ya hayati daniel arap moi alie wahi kua raos wa taifa hilo

Rais wa Kenya Dr.William Samoe Ruto ni chuma imara zaidi ya hayati daniel arap moi alie wahi kua raos wa taifa hilo

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
miongoni mwa marais Imara sana, wenye nguvu, ushawishi na maono ya mbali sana, na wasio tikiswa kisiasa nchini Kenya kwa wakati huu, na anae enjoy mass support, technical and economic support ya makundi mbalimbali, ya kitaifa na kimataifa ni pamoja na Dr. William Samoe Arap Kipchirchiri Ruto..

ni mbunifu sana, mchapakazi na mwenye bidii sana. tofauti na kazi ya urais Dr.Ruto ni mkulima, mfugaji, mfanyibiashara muwekezaji kwenye sector mbalimbali hata kabla ya kua RAIS...

katika hotuba yake kwa taifa jana,
aliwaonya wandamanani na wafadhili wao, kwa uharibifu na uporaji walioufanya katika maeneo tofauti tofauti ikiwa ni pamoja na jengo la bunge, na kuonya kuwa kutendo hicho ni uhalifu lakini pia ni uhaini na wauhusika watawajibishwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria....

baada ya kupoteza lango na uelekeo, madai yao, waandamanaji ambao ndani yake wapo magaidi, majambazi, waporaji na wezi,

eti sasa nia ni kulenga, kutafuta kuharibu na kupora biashara, maduka, uwekezaji na mali za wabunge kutokana na kughadhabishwa kwao na wabunge hao kupitisha muswada wa Sheria ya fedha kwa mwaka 2024/2025 ambao walichukizwa nao...

hii inamaanisha waporaji, wezi na magaidi hao, wanao fadhiliwa na baadhi ya wanasiasa walioshindwa uchaguzi wa 2022, na wenye chuki binafsi na Rais Dr.Wiliam Ruto, wanalenga kupewa nguvu zaidi ya kufikia uwekezaji, biashara, mali, mashamba, mifugo na vitega uchumi vya Dr.Ruto jambo ambalo si la kiungwana hata kidogo kwenye katika siasa za kisasa....

Na huko ni kupoteza uelekeo na malengo ya madai ya msingi ya waandamanaji hao kabisa.

Zaidi sana watazidisha na kuichochea Serikali kuongeza kwenye ushuru, tozo na kodi zaidi ili kugharamia uharibifu wa miundombinu waliosababisha kwa makusudi wao wenyewe, hali itawawia ngumu zaidi vijana hao ambao hawaaminiki tena...

Dr.Ruto,
ni mzingatiaji makini mno wa political principles, laws of power and ethics, na kwahivyo kilichotokea mpaka sasa, amepata credits kubwa sana kitaifa na kimataifa, kwa namna alivyowapa fursa waandamanaji kuinjoy haki yao ya msingi kwa amani na uhuru uliopitiliza,
na kusababisha madhara na athari kubwa sana za kiuchumi, kijamii na kisiasa...

Pamoja na hayo, Rais huyo wa Jamuhuri ya Kenya yupo imara sana na hata tetereka wala kupoteza uelekeo wa kuwaletea wakenya maendeleo ya kijamii kisiasa na kiuchumi.

wakenya wote wenye mapenzi mema na nchi yao, yafaa wamuunge mkono kiongozi wao huyu, katika azma yake njema hiyo aliyonayo vinginevyo watapata tabu sana zaidi ya kipindi cha uongozi wa awamu ya pili, kwasababu huyu ni chuma cha moto zaidi kisiasa 🐒
 
Unawezaje kuandika gazeti kubwa hivi kumsifia mwanaume mwenzako?

Hiki ni kipaji utafika mbali.
uvivu ni adui mkubwa wa ujenzi wa Taifa, kwani ndicho kiina hasa kisababishacho njaa na maandamano yasio na tija 🐒

umesoma hata paragraph moja kweli lazy gentleman? itakua umetoka jasho sana mpaka kuimaliza dah 🤣
 
uvivu ni adui mkubwa wa ujenzi wa Taifa, kwani ndicho kiina hasa kisababishacho njaa na maandamano yasio na tija 🐒

umesoma hata paragraph moja kweli lazy gentleman? itakua umetoka jasho sana mpaka kuimaliza dah 🤣
Paragraph moja?

Ya nini?heading tu imeniambia alichokiandika huyu ni muflisi,huo muda wa kuandika hayo magazeti tafuta hata maji unywe ujenge afya yako.
 
Moi kilikuwa chuma hata Raila aliwekwa ndani.Ruto akimuweka ndani Raila gata masaa mawili anatoka madarakani.
 
miongoni mwa marais Imara sana, wenye nguvu, ushawishi na maono ya mbali sana, na wasio tikiswa kisiasa nchini Kenya kwa wakati huu, na anae enjoy mass support, technical and economic support ya makundi mbalimbali, ya kitaifa na kimataifa ni pamoja na Dr. William Samoe Arap Kipchirchiri Ruto..

ni mbunifu sana, mchapakazi na mwenye bidii sana. tofauti na kazi ya urais Dr.Ruto ni mkulima, mfugaji, mfanyibiashara muwekezaji kwenye sector mbalimbali hata kabla ya kua RAIS...

katika hotuba yake kwa taifa jana,
aliwaonya wandamanani na wafadhili wao, kwa uharibifu na uporaji walioufanya katika maeneo tofauti tofauti ikiwa ni pamoja na jengo la bunge, na kuonya kuwa kutendo hicho ni uhalifu lakini pia ni uhaini na wauhusika watawajibishwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria....

baada ya kupoteza lango na uelekeo, madai yao, waandamanaji ambao ndani yake wapo magaidi, majambazi, waporaji na wezi,

eti sasa nia ni kulenga, kutafuta kuharibu na kupora biashara, maduka, uwekezaji na mali za wabunge kutokana na kughadhabishwa kwao na wabunge hao kupitisha muswada wa Sheria ya fedha kwa mwaka 2024/2025 ambao walichukizwa nao...

hii inamaanisha waporaji, wezi na magaidi hao, wanao fadhiliwa na baadhi ya wanasiasa walioshindwa uchaguzi wa 2022, na wenye chuki binafsi na Rais Dr.Wiliam Ruto, wanalenga kupewa nguvu zaidi ya kufikia uwekezaji, biashara, mali, mashamba, mifugo na vitega uchumi vya Dr.Ruto jambo ambalo si la kiungwana hata kidogo kwenye katika siasa za kisasa....

Na huko ni kupoteza uelekeo na malengo ya madai ya msingi ya waandamanaji hao kabisa.

Zaidi sana watazidisha na kuichochea Serikali kuongeza kwenye ushuru, tozo na kodi zaidi ili kugharamia uharibifu wa miundombinu waliosababisha kwa makusudi wao wenyewe, hali itawawia ngumu zaidi vijana hao ambao hawaaminiki tena...

Dr.Ruto,
ni mzingatiaji makini mno wa political principles, laws of power and ethics, na kwahivyo kilichotokea mpaka sasa, amepata credits kubwa sana kitaifa na kimataifa, kwa namna alivyowapa fursa waandamanaji kuinjoy haki yao ya msingi kwa amani na uhuru uliopitiliza,
na kusababisha madhara na athari kubwa sana za kiuchumi, kijamii na kisiasa...

Pamoja na hayo, Rais huyo wa Jamuhuri ya Kenya yupo imara sana na hata tetereka wala kupoteza uelekeo wa kuwaletea wakenya maendeleo ya kijamii kisiasa na kiuchumi.

wakenya wote wenye mapenzi mema na nchi yao, yafaa wamuunge mkono kiongozi wao huyu, katika azma yake njema hiyo aliyonayo vinginevyo watapata tabu sana zaidi ya kipindi cha uongozi wa awamu ya pili, kwasababu huyu ni chuma cha moto zaidi kisiasa 🐒
Lakini kumbuka ruto huyo huyo ndo aliyewachochea watu hao hao waende kuharibu shamba na mali za uhuru kenyatta.leo hii wamegeukia kwake na anauona ni uharifu.huyo ruto si ndiye aliyemwondolea ulinzi mwenzake sasa leo analalamika nini.ukifanya uharifu ujue na wewe utafanyiwa hivyo hivyo so aache kulia lia apambane na hali yake
 
Lakini kumbuka ruto huyo huyo ndo aliyewachochea watu hao hao waende kuharibu shamba na mali za uhuru kenyatta.leo hii wamegeukia kwake na anauona ni uharifu.huyo ruto si ndiye aliyemwondolea ulinzi mwenzake sasa leo analalamika nini.ukifanya uharifu ujue na wewe utafanyiwa hivyo hivyo so aache kulia lia apambane na hali yake
si kweli japo inawezekana kwa kiwango kidogo sana,
zile zilikua njama, kinyongo na hila za naibu wake RigG, kulipiza kisasi baada Serikali ya Uhuru ilipokua kwa makusudi kabisa , ina mkamata kwa aibu na fedheha Ijumaa alfajiri akiwa na boxer tu, inamuweka ndani na inamuachia jumatatu mchana 🐒

hapo kabla ya kuvurugana, RigyG alikua personal assistant wa uhuru Kenyata, na RigyG ndie alikua mbunge wa nyeri hapo kwenye hilo shamba la familia la Uhuru lililo wahi kuporwa na vijana wezi na majambazi 🐒
 
Back
Top Bottom