Mbona hiyo heshima hamuitoi kwa Simba?Na pia kagusia uwekezaji anadhani al ahly ni sawa na timu zetu ? Hapo kajibu kikubwa na kisoka Mamelody ni mabingwa Wa AFL..Aly Ahly ni mabingwa watetezi wa CAFCL lazma uwaheshimu wakubwa na wamewekeza zaidi
Mbumbumbu kaja mbio kuanzisha uzi
unadhani mind game hutengenezwa vipi?#MICHEZO Rais wa klabu ya Yanga SC akiwa katika mahojiano na Televisheni ya Al Ahly amesema "binafsi naamini fainali ya CAF Champions League msimu huu ni baina ya Al Ahly dhidi ya Mamelodi Sundowns”, Al Ahly na Mamelodi ni timu zenye mikakati na ubora wa hali ya juu kwasasa Barani Afrika.
Hersi aliendelea kusisitiza, “ikumbukwe Al Ahly ndio timu yenye uwekezaji mkubwa sana tena inapofika hatua za mtoano katika michuano hii, huku Mamelodi wakiwa ni mabingwa AFL na sidhani itakuwa rahisi kwao kuishia robo au nusu fainali.
Maneno ya Rais wa Yanga, Eng. Hersi Ally Said kupitia mahojiano na Televisheni ya Al Ahly. #EastAfricaTV
Aongoze na gwambina labdaNatamani Hersi aongoze timu zote, Simba na Yanga ndo bas tu
#Akili kubwa
Kwahiyo unawaaminisha Wana Yanga wenzio kuwa Eng. Hersi anajua sana mind games kuliko Alhaly? Ahahahahaha!!!Wewe ni mbumbumbu namba 1, huelewi mind games? Ulidhani angesema vinginevyo ili watukamie?
Hapo mtu anapewa cheo, kesho ananyooshwa kama mwenzie wiki iliyopita.
Hersi akili kubwa yule, huwezi kumuelewa kolo.
Shikamoo kwa jibu hiliWewe ni mbumbumbu namba 1, huelewi mind games? Ulidhani angesema vinginevyo ili watukamie?
Hapo mtu anapewa cheo, kesho ananyooshwa kama mwenzie wiki iliyopita.
Hersi akili kubwa yule, huwezi kumuelewa kolo.
Naitunza hili risitiAmeamua kutokuwa na matumaini hewa, jambo ambalo ni jema, anamatumaini ya kufika hatua fulani lakini sio fainali. Tanzania hakuna timu ya kufika hatua ya Fainali katika michuano ya CAF.
Mbumbumbu mwingine huyu hapa. Mind games ni sehemu ya soka ulimwenguni, rudi shule bado unahitaji kujifunza mengi.Kwahiyo unawaaminisha Wana Yanga wenzio kuwa Eng. Hersi anajua sana mind games kuliko Alhaly? Ahahahahaha!!!
🔨🔨Mtu mwenye akili ndogo hawezi ng'amua hayo.
Utopolo mbona mapovu??? Kwahyo mnajilinganisha na Alhly na Mamelody?
All the bestNaitunza hili risiti
Sasa nimegundua Nifah mmoja kumbe ni sawa tu na mashabiki 1000 wa mbumbumbu fc.Wewe ni mbumbumbu namba 1, huelewi mind games? Ulidhani angesema vinginevyo ili watukamie?
Hapo mtu anapewa cheo, kesho ananyooshwa kama mwenzie wiki iliyopita.
Hersi akili kubwa yule, huwezi kumuelewa kolo.
Shida ipo wapi,wasifie,wavimbe kichwa,huku ukiwa na mipango yako/yenu baada ya malengo kutimia,unawakurupusha kutoka usingizini 🤓#MICHEZO Rais wa klabu ya Yanga SC akiwa katika mahojiano na Televisheni ya Al Ahly amesema "binafsi naamini fainali ya CAF Champions League msimu huu ni baina ya Al Ahly dhidi ya Mamelodi Sundowns”, Al Ahly na Mamelodi ni timu zenye mikakati na ubora wa hali ya juu kwasasa Barani Afrika.
Hersi aliendelea kusisitiza, “ikumbukwe Al Ahly ndio timu yenye uwekezaji mkubwa sana tena inapofika hatua za mtoano katika michuano hii, huku Mamelodi wakiwa ni mabingwa AFL na sidhani itakuwa rahisi kwao kuishia robo au nusu fainali.
Maneno ya Rais wa Yanga, Eng. Hersi Ally Said kupitia mahojiano na Televisheni ya Al Ahly. #EastAfricaTV
Ahahahahaha!!!!Mbumbumbu mwingine huyu hapa. Mind games ni sehemu ya soka ulimwenguni, rudi shule bado unahitaji kujifunza mengi.
Simba hii hii iliyopigwa 5?Mbona hiyo heshima hamuitoi kwa Simba?
Kupigwa 5 ndio nini?Ahly alipigwa 5 mara 2.Simba hii hii iliyopigwa 5?
Tulia basi, kuna sababu gani kukunjana na waombolezaji?Hata wewe ni mbumbumbu vilevile.
nahisi hujajamba mwezi mzima#MICHEZO Rais wa klabu ya Yanga SC akiwa katika mahojiano na Televisheni ya Al Ahly amesema "binafsi naamini fainali ya CAF Champions League msimu huu ni baina ya Al Ahly dhidi ya Mamelodi Sundowns”, Al Ahly na Mamelodi ni timu zenye mikakati na ubora wa hali ya juu kwasasa Barani Afrika.
Hersi aliendelea kusisitiza, “ikumbukwe Al Ahly ndio timu yenye uwekezaji mkubwa sana tena inapofika hatua za mtoano katika michuano hii, huku Mamelodi wakiwa ni mabingwa AFL na sidhani itakuwa rahisi kwao kuishia robo au nusu fainali.
Maneno ya Rais wa Yanga, Eng. Hersi Ally Said kupitia mahojiano na Televisheni ya Al Ahly. #EastAfricaTV
Hao bado washambawashamba. Bado wananuka mbolea na mkojo wa mbuziKupigwa 5 ndio nini?Ahly alipigwa 5 mara 2.
Aliyepigwa 6 nae mbona hushangai?