Rais wa Korea Kaskazini Kim yuko mahututi baada ya kufanyiwa Operation ya Moyo

Rais wa Korea Kaskazini Kim yuko mahututi baada ya kufanyiwa Operation ya Moyo

Wakiambiwa Mungu Yehova ndio bingwa wa kipekee wanakuletea wasiojulikana. Sasa sisi tunasubiri tu yowe.

Huyu bwana ni bure sana alimuua mjomba wake akifikiri yeye angeweza kuishi milele.

No human being is immortal and Kim is no exception. Kim was utterly bogus.
 
Sema tetesi hakuna uthibitisho hata CNN wameshindwa kujua yuko wapi
Imegichwa but confirm kinachofanyika ni kuaandaa mrithi, possible dada yake,but hawezi kuwa dictator wanawake makatili ni wachache
 
Baada ya kutest makombora jamaa akatembelea ufukweni kwake( beach yake) basi tangu alipotoka huku sasa wiki mbili jamaa aonekani in public. Kuna madaktari wakutoka China walienda huko.
So kukimbilia nyumbani au kwako sio suluhu!
 
Back
Top Bottom