Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo dadaake inasemekana atachukua mikoba tena yeye inasemekana ni balaa zaididah ila poa tu R.I.P kiduku.ila atakuja mtata mwingine zaidi yako kuendeleza ile misimamo kama yako dogo kiduku
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli. Hawa ndiyo majasusi wa dunia na kila pembe wameweka watu wao na matukio yote wanakuwa wa kwanza kuyajua.Bila CNN au BBC kutangaza hii habari itabakia kuwa uzushi!
Hivi North Korea ina utawala wa kifalme?Yupo dadaake inasemekana atachukua mikoba tena yeye inasemekana ni balaa zaidiView attachment 1430947
Unatunga habari zako5 yrs back alidungwa heart attack kupitia mbu drones aliyepandikizwa.Wakuu wa dunia awatumii tena njia ya Vita kuwaondoa watu wasumbufu wasio na faida duniani ( madikteta,wababe wa kivita, viongozi wa magaidi, wajamaa) ni mwendo wa drones,virus,wanaepusha gharama za kuendesha Vita,kuuwa Askari wao, kuharibu nchi,na kuuwa watu wasio na hatia only the targeted tu.Njia ya Vita imesababisha kupoteza Askari wao, kutumia fedha nyingi kugharamia Vita Hali return ni ndogo, kuzalisha mfumuko wa wakimbizi duniani, gharama za kuijenga nchi.Awachomi msitu kumsaka nyoka wanaponda kichwa tu.Faida ya kuponda nyoka kichwa wananchi wanakuwa na chance ya kuchagua mwingine nchi haiwezi simama sababu ya mbwa mmoja kufa.
Ila dah, hii avatar yako bro, inachekesha sana.Kuna tetesi kuwa huenda rais wa korea kaskazini hatunae tena ,hii ni baada ya kufanyiwa upasuaji wa moyo.
Kama itakuwa ni kweli basi dunia itakuwa imempoteza mtu muhimu sanaView attachment 1430835
Subiri msiba uthibitishwe wewe Nyumbigwa!Rais wa North Korea ametutoka duniani. Huu msiba mzito sana duniani.
Juzi Goma Congo walikuwa wakisherekea kifo chake maana Congo itatulia Sasa,msemaji wake anasema yupo hai yupo ziarani ulayaKagame yupo ICU kwa corona naye inawezekana ugonjwa umekuja kuondoka na madicteta.
Fake News......!!Rais wa North Korea ametutoka duniani. Huu msiba mzito sana duniani.
Take care corona haigopi dictator stay safe at homeUnatunga habari zako
unadhani hao jamaa ni wajinga
Fake News......!!
Please admin funga huu uzi.....!!
Ana umuhimu mkubwa sanaa
Sent using My COVID-19
Bila source ni sawa na enzi izo tunaamini wazee hawajambi na kutita.
Sent using Jamii Forums mobile app