secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Utatazama hiyo Al-Jazeera mpaka uumwe njaa hiyo habari hutosikia kamwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utatazama hiyo Al-Jazeera mpaka uumwe njaa hiyo habari hutosikia kamwe
Jaribu nawe kutafuta, ku google ili kupata ukweli, itapendeza zaidi.Bila source ni sawa na enzi izo tunaamini wazee hawajambi na kutita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wasio na faida wakifa dunia upumuaDuu Kim usife bwana
Hata mm naujua pia...Wewe unaujua, mm nimekuuliza ww sio US
Wabongo kwa habari zisizo rasmi na za chini chini siwawezi.5 yrs back alidungwa heart attack kupitia mbu drones aliyepandikizwa.Wakuu wa dunia awatumii tena njia ya Vita kuwaondoa watu wasumbufu wasio na faida duniani ( madikteta,wababe wa kivita, viongozi wa magaidi, wajamaa) ni mwendo wa drones,virus,wanaepusha gharama za kuendesha Vita,kuuwa Askari wao, kuharibu nchi,na kuuwa watu wasio na hatia only the targeted tu.Njia ya Vita imesababisha kupoteza Askari wao, kutumia fedha nyingi kugharamia Vita Hali return ni ndogo, kuzalisha mfumuko wa wakimbizi duniani, gharama za kuijenga nchi.Awachomi msitu kumsaka nyoka wanaponda kichwa tu.Faida ya kuponda nyoka kichwa wananchi wanakuwa na chance ya kuchagua mwingine nchi haiwezi simama sababu ya mbwa mmoja kufa.
Dunia ni akili sio nguvu,we unajimwambafy wenzio wanakulia time tudah ila poa tu R.I.P kiduku.ila atakuja mtata mwingine zaidi yako kuendeleza ile misimamo kama yako dogo kiduku
Sent using Jamii Forums mobile app
Anafanya watu tuishi kwakuheshimiana hapa DUNIANI.
Dada yake ni mtata kiasi kwamba mpaka leo hawajambikiri.Yupo dadaake inasemekana atachukua mikoba tena yeye inasemekana ni balaa zaidiView attachment 1430947
Watu wasio na faida wakifa dunia upumua
Inasemekana labda dada yake angalau kidogo wanawake huwa si madikteta.Wawaingizie demokrasia ili ifungue akili zao wasiwe kisiwa.Mrusi sijui nani atakuwa akimsaidia,mchina anawaza pesa siasa za Vita alishaacha.Huyu jamaa akif raia wa N/Korea wanaweza kupata ahueni sasa, maana jamaa wamekuwa utumwani kwa karne nyingi chini ya hii familia ya Kim huku wenzao majirani S/Korea, China na Japan wakila bata na kuenjoy maisha..
Sidhani kama alipata muda wakuandaa mrithi wake kama ilivyokuwa kwa baba yake alivyomuandaa toka akiwa mdogo, naiona North Korea ikirudi kwenye ulimwengu wa kiistaraabu kutoka utumwani..
Source itatoka North Korea sio Google. Izi tetesi kila siku tunasikia tuJaribu nawe kutafuta, ku google ili kupata ukweli, itapendeza zaidi.
Wote wayatendayo ya Kimungu.Yaani wanaotii Sheria za MunguNani hana faida ?
Mkuu, hajafariki Bali wamesema hali yake kiafya sio nzuri, anatibiwa huko Wonsan ndani ya train na rafiki zake wachina.Rais wa North Korea ametutoka duniani. Huu msiba mzito sana duniani.
Kifo akifichiki tuendelee kusubiri,Kama ajafa yuko in between the line yaani anapumuliaSource itatoka North Korea sio Google. Izi tetesi kila siku tunasikia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwann asiyatume yale makombora yake yazuie kifoMkuu, hajafariki Bali wamesema hali yake kiafya sio nzuri, anatibiwa huko Wonsan ndani ya train na rafiki zake wachina.