Rais wa Korea Kaskazini Kim yuko mahututi baada ya kufanyiwa Operation ya Moyo

Rais wa Korea Kaskazini Kim yuko mahututi baada ya kufanyiwa Operation ya Moyo

Huyu jamaa akif raia wa N/Korea wanaweza kupata ahueni sasa, maana jamaa wamekuwa utumwani kwa karne nyingi chini ya hii familia ya Kim huku wenzao majirani S/Korea, China na Japan wakila bata na kuenjoy maisha..

Sidhani kama alipata muda wakuandaa mrithi wake kama ilivyokuwa kwa baba yake alivyomuandaa toka akiwa mdogo, naiona North Korea ikirudi kwenye ulimwengu wa kiistaraabu kutoka utumwani..
 
5 yrs back alidungwa heart attack kupitia mbu drones aliyepandikizwa.Wakuu wa dunia awatumii tena njia ya Vita kuwaondoa watu wasumbufu wasio na faida duniani ( madikteta,wababe wa kivita, viongozi wa magaidi, wajamaa) ni mwendo wa drones,virus,wanaepusha gharama za kuendesha Vita,kuuwa Askari wao, kuharibu nchi,na kuuwa watu wasio na hatia only the targeted tu.Njia ya Vita imesababisha kupoteza Askari wao, kutumia fedha nyingi kugharamia Vita Hali return ni ndogo, kuzalisha mfumuko wa wakimbizi duniani, gharama za kuijenga nchi.Awachomi msitu kumsaka nyoka wanaponda kichwa tu.Faida ya kuponda nyoka kichwa wananchi wanakuwa na chance ya kuchagua mwingine nchi haiwezi simama sababu ya mbwa mmoja kufa.
Wabongo kwa habari zisizo rasmi na za chini chini siwawezi.
 
Huyu jamaa akif raia wa N/Korea wanaweza kupata ahueni sasa, maana jamaa wamekuwa utumwani kwa karne nyingi chini ya hii familia ya Kim huku wenzao majirani S/Korea, China na Japan wakila bata na kuenjoy maisha..

Sidhani kama alipata muda wakuandaa mrithi wake kama ilivyokuwa kwa baba yake alivyomuandaa toka akiwa mdogo, naiona North Korea ikirudi kwenye ulimwengu wa kiistaraabu kutoka utumwani..
Inasemekana labda dada yake angalau kidogo wanawake huwa si madikteta.Wawaingizie demokrasia ili ifungue akili zao wasiwe kisiwa.Mrusi sijui nani atakuwa akimsaidia,mchina anawaza pesa siasa za Vita alishaacha.
Haya madikteta yakipungua angalau Africa nayo itapumua ndiyo mafadhili makuu ya madikteta ya Africa.Bora corona iyatandike yarudi kuzimu kumsaidia baba yao kuchochea Moto huku duniani sio kwao
 
Back
Top Bottom