NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
watu wafukunyuku,dah,,siami bongo[emoji23]Dada yake ni mtata kiasi kwamba mpaka leo hawajambikiri.
Inasemekana lakini!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watu wafukunyuku,dah,,siami bongo[emoji23]Dada yake ni mtata kiasi kwamba mpaka leo hawajambikiri.
Inasemekana lakini!
R I P, Kwake aisee
Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
#Say no to lockdown.
#Say no vaccine test for COVID-19 To fellow Africans
Hahahahaha acha masiala Aiseeee!Dada yake ni mtata kiasi kwamba mpaka leo hawajambikiri.
Inasemekana lakini!
Huo utata ataufanyia chumbani na mumewe,wakuu wa dunia lzm waheshimiweDada yake ni mtata kiasi kwamba mpaka leo hawajambikiri.
Inasemekana lakini!
Hamna ushahidi bado... Lkn kwani aliifanyia nini dunia mpaka akifa uwe msiba mzito duniani?? Kuondoka kwake pengine kutafungua milango ya demokrasia na Uhuru N. korea!!Rais wa North Korea ametutoka duniani. Huu msiba mzito sana duniani.
Inasemekana labda dada yake angalau kidogo wanawake huwa si madikteta.Wawaingizie demokrasia ili ifungue akili zao wasiwe kisiwa.Mrusi sijui nani atakuwa akimsaidia,mchina anawaza pesa siasa za Vita alishaacha.
Haya madikteta yakipungua angalau Africa nayo itapumua ndiyo mafadhili makuu ya madikteta ya Africa.Bora corona iyatandike yarudi kuzimu kumsaidia baba yao kuchochea Moto huku duniani sio kwao
anafaa sana huyo kushika mahala pake trump aendelee kujambishwaDada yake ni mtata kiasi kwamba mpaka leo hawajambikiri.
Inasemekana lakini!
Kwenye nn Sasa huwezi shindana na atumiaye akili kushinda vitaanafaa sana huyo kushika mahala pake trump aendelee kujambishwa
CNN kuna kipindi kinaanza mda si mrefu kinaitwa "WHERE IS KIM JONG UNBila CNN au BBC kutangaza hii habari itabakia kuwa uzushi!
Wakiingiziwa mfumo wa demokrasia watakuwa huru Kama wenzao South.yah wale raia wanaishi kisiwani kwao hawako duniani kabisa..
Na hao CNN muda si mrefu walikuwa 'wakipiga ramli' juu ya alipo kiongozi hiyo kwa wiki mbili.Bila CNN au BBC kutangaza hii habari itabakia kuwa uzushi!
Point.Kifo akifichiki tuendelee kusubiri,Kama ajafa yuko in between the line yaani anapumulia
Jaribu nawe kutafuta, ku google ili kupata ukweli, itapendeza zaidi.
wa kukurupuka.Dunia ni akili sio nguvu,we unajimwambafy wenzio wanakulia time tu
Msimamo bila akili ni burewa kukurupuka.
wapi nimeandika neno nguvu?
mm nimesema misimamo sio nguvu,soma uelewe
haya sawa ngoja nikujibu hoja yako kuhusu nguvu kama ifutavyo.US ni nchi yenye"NGUVU"za kiuchumi na "NGUVU" za kijeshi.
akili ina nafasi yake pia na nguvu ina nafasi yake pia vyote vina umuhimu.
akili & nguvu,
Sent using Jamii Forums mobile app