Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duniani ni mapito. Tenda wema na uheshimu uhai kila mtu. Uhai wa mwenzako yeyote una thamani sawa na wako au mwanao au mama au baba yako. Huyu alimwua mjomba wake. Kwenye utawala wake, kila aliyeenda kinyume nae, adhabu yake ilikuwa kifo.Alinifariji sana kumjibu Mmarekani bila woga. R.I.P My favourite president
[emoji3][emoji16][emoji23]Bila source ni sawa na habar za KUFUKIZA.
Mzito kwa nani Sasa.Duniani haiwezi simama sababu ya kufa kwa mbwa.
Hii corona itaondoka na madikteta mengi,
Nasikia yule mrefu naye chali
Dah kutita,makete hiiBila source ni sawa na enzi izo tunaamini wazee hawajambi na kutita.
Sent using Jamii Forums mobile app
US wanaujua.
Sent using My COVID-19
Rais wa North Korea ametutoka duniani. Huu msiba mzito sana duniani.
5 yrs back alidungwa heart attack kupitia mbu drones aliyepandikizwa.Wakuu wa dunia awatumii tena njia ya Vita kuwaondoa watu wasumbufu wasio na faida duniani ( madikteta,wababe wa kivita, viongozi wa magaidi, wajamaa) ni mwendo wa drones,virus,wanaepusha gharama za kuendesha Vita,kuuwa Askari wao, kuharibu nchi,na kuuwa watu wasio na hatia only the targeted tu.Njia ya Vita imesababisha kupoteza Askari wao, kutumia fedha nyingi kugharamia Vita Hali return ni ndogo, kuzalisha mfumuko wa wakimbizi duniani, gharama za kuijenga nchi.Awachomi msitu kumsaka nyoka wanaponda kichwa tu.Faida ya kuponda nyoka kichwa wananchi wanakuwa na chance ya kuchagua mwingine nchi haiwezi simama sababu ya mbwa mmoja kufa.Alikula sumu kama ile ya Mangula nini?
RecordedMbona mnazua uongo? Hajafa Jana nimeona kawaambia wakorea waondoe wasiwasi kuhusu usalama wao!!!!!
RecordedKagame Jana alikuwa anahutubia Taifa tatizo unaujinga mwingi, una smartphone umeshindwa kutafuta taarfa
Wee nani amekuambiaRais wa North Korea ametutoka duniani. Huu msiba mzito sana duniani.
Kama ni kwwli itakuwa habari nzuri sana kwa tirampoInabidi azikwe na makombora yake
Wao wenyewe hawajui habari kamili wanakadiria tuu na kuhisiBila CNN au BBC kutangaza hii habari itabakia kuwa uzushi!