Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And you think he was stupid....!!?Kama kafa, it's not a big deal, kawauwa wengi sana na yeye. Huyu jamaa alikuwa bogus sana, sasa alipotegeshwa kwenda kwenye mkutano Singapore yeye kwa ujinga wake alifikiri nchi kubwa kama Marekani kweli walikuwa wanataka wafanye naye deal....!!!
Marekani sio nchi ya kuchezea akifika huko awaulize akina Chavez, Saddam, Gaddafi, Norriega, Gen Suleiman nk watamuadisia.
Wazee wa kuvaba ma fek news
Pale mwana usalama from kwa mtogole anapoweza kukosoa ulinzi wa rais wa nchi nyingine tena yenye ma-nuclear?Kama kafa, it's not a big deal, kawauwa wengi sana na yeye. Huyu jamaa alikuwa bogus sana, sasa alipotegeshwa kwenda kwenye mkutano Singapore yeye kwa ujinga wake alifikiri nchi kubwa kama Marekani kweli walikuwa wanataka wafanye naye deal....!!!
Marekani sio nchi ya kuchezea akifika huko awaulize akina Chavez, Saddam, Gaddafi, Norriega, Gen Suleiman nk watamuadisia.
Two things treni yake private imeonekana kupaki hapo toka tar 21 to date huku ndege yake private anayoitumia mara kwa mara ikiwa imepaki PyongyangKuna mahali nimeona wanasema treni yake binafsi imeonekana kwenye makazi yake ikiwa katika mkao wa kuondoka, hivyo inasemekana anaweza kuwa katika hayo makazi yake, ingawa ripoti zinasema kuwa mkao huo wa treni yake haumaanishi utimamu wa afya yake.
Leta reliable source ya kuprove unachoongea
Sijui watasema nini tenaKim Jong-un thanks workers of major construction project.
Kim Jong-un thanks workers of major construction project - report
Sent using Jamii Forums mobile app
Time will tellKim Jong-un thanks workers of major construction project.
Kim Jong-un thanks workers of major construction project - report
Sent using Jamii Forums mobile app
Supreme Dictator..!
Hapo anakuwa amefuzu mitihani yote ya udikiteta?
Sent using Jamii Forums mobile app
wataficha milele ? iko siku watasema tuJana walidai ameshafariki kumbe bado mahututi ?!.
Tatizo la nchi za ki communist usiri mwingi sana !!.
Odhis *
nae alinenepa mashavu vizur sanaa yamejaa kama vitumbua vys mama amina hapa jirani.Kuna tetesi kuwa huenda rais wa korea kaskazini hatunae tena ,hii ni baada ya kufanyiwa upasuaji wa moyo.
Kama itakuwa ni kweli basi dunia itakuwa imempoteza mtu muhimu sanaView attachment 1430835
Sent using Jamii Forums mobile app
hako kanchi sijui ni kale kameishika nchi nyingine mateka kama ukoloni wa kizwazwa ?China na Urusi ndo waasisi wa tabia za kuficha ukweli. Korea kaskazini wameiga,pia kuna ka nchi fulani EA kameiga kuficha mambo. Mambo ya ajabu sn.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kina siri mkuu. Je kifo cha Mura Mohamed kiongozi wa Telibani, ulikijua kabla ya kutangazwa rasmi baada ya miaka7 kutokea?