Utakuta hiyo idadi uisemagyo ni mapandikizi ya kizayuni mliyoyapeleka huko.Acha uongo. Iwaje leo idadi kubwa ya wasiojua kusoma na kuandika ipo Zanzibar? Nyie wa madrasa na elimu dunia wapi na wapi?
Miaka yote hii kila kitu kiko slow na amekopa mno, deni ni trilion 90++, CAG kila mwaka ana hainisha madudu na hakuna hatua zinazo chukuliwa.Naona huielewi Tanzania inavyoendeshwa. Hakuna mwenye mradi wake.
Nani anatekeleza kipi ndiyo kina matter.
Hakuna muungano, nchi ni moja. Kilicho epukika hapo ni sense of imperialism kipindi hicho wakati nchi ikiwa deep kwenye vita vya ukombozi.Hizo shule za kusomea ujinga.
Unayoiita Tanzania uliipata wapi bila muungano?
Wale wakina Sayeid Seyied na wakina Jimshid ndio walikuwa wakuu wa pande zote. Hakuna wakupigana vita Zanzibar.uelewi kuwa Oman ilikuwa himaya ya Zanzibar?
Kiwango alichokopa Samia ndani ya miaka mitatu kimezidi mikopo yote iliyokopwa na marais wote tangu uhuru.Hayo ni yako wewe, rushwa lini ilikwisha Tanzania?
Kukopa hakuanza yeye, sema anahakikisha tunaondokana na kukopa kwa kiwango kikubwa sana.
Elimu ipi unaxungumzia, kusoma kuraan?Utakuta hiyo idadi uisemagyo ni mapandikizi ya kizayuni mliyoyapeleka huko.
Kuna nchi iliyokuwa na wasomi wengi zaidi ya Zanzibar (per capita) katika Afrika Mashariki hii kabla ya 1964?
Na bajeti yake na mapato yake ya ndani ni makubwa kuliko yote za kabla yake, usisahau hilo.Kiwango alichokopa Samia ndani ya miaka mitatu kimezidi mikopo yote iliyokopwa na marais wote tangu uhuru.
She is the worse and the most poorly performaning president since independence.
Kilichobaki ni some lost souls in Makobaz faith kuandika vitabu kupotosha ukweli.Msome Mwanamkisi.
Unafikiri Mreno aliondolewa na nani yakabaki mangome yake tu?
Hoja yako ni ipi hasa?Mzee Ali Hasssan Mwinyi hakuwa na asili ya Zanzibar, si kwa mama wala kwa baba. Kwao ni Mkuranga na alipelekwa Unguja kusoma tu.
Mama Samia Suluhu Hassan ana asili ya kuzaliwa Zanzibar na wazazi wake wote kuzaliwa Zanzibar.
Ma shaa Allah, ukiisoma historia yake utaona kuwa kila sehemu ya kazi aliyopitia aliifanya kwa uadilifu, uaminifu na weledi mkubwa na kuwa anapanda tu vyeo, mpaka akafikia kuwa Makamu wa Rais na hatimaye sasa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Alitia fora na alionesha umahiri mkubwa alipokuwa Naibu Spika kwenye bunge la Katiba mpya ambalo lilikuwa kivutio kikubwa cha malumbano kwa wakati ule wa Kikwete. Hapo ndipo mama Samia Suluhu Hassan akapata kujulikana.
Naam, hakuna ambae alikuwepo wakati huo na hakumuona umahiri wake. Wengi wakawa wanajiuliza, nani huyu mwanamke?
Leo hakuna asiyemjua Tanzania hii na duniani kuwa ni Rais wa kwanza Mwanamke Mzanzibari anayeiongoza Tanzania kwa umahiri mkubwa sana.
R zake nne anaziishi na hatetereki.
Mwenyezi Mungu amzidishie hekima na weledi atuongoze daima, akiwepo kwenye Uris na atapomaliza muda wake aendelee kutuongoza kwa hekima zake, kama afanyavyo Kikwete hivi sasa.
Mama Samia tunakuomba mapema uchaguzi mkuu utakapokwisha na panapo majaaliwa basi uhakikishe katiba inabadilishwa na Zaznzibar inajitawala yenye ili tusiwe kama mazayuni.
Watanganyika hatuna sababu ya kuitawala Zanzibar bali tuna kila sababu ya Zanzibar kurudisha utawala wake ulioondoshwa na wakoloni wa Kijerumani ili wapate kuiba vozuri mali za ardhi ya Zenjbar kihistoria.
Kwakua bandari zimekuwa expanded na kusafishwa, machinjio ya kisasa yalijengwa mengi, kilimo kiliboreshwa, umeme vijijini ulipelekwa kwa kasi ya ajabu, terminals za mabasi zilijengwa nyingi, sana, mahospitals ya rufaa, kanda na zahanati, miradi ya maji yote ilifanyika kwa ukubwa wa kushtua Africa.Na bajeti yake na mapato yake ya ndani ni makubwa kuliko yote za kabla yake, usisahau hilo.
Bajeti imeshuka mwaka huu wewe bidada! Usisome toka kulia kwenda kushoto. Nyooka na some vyema.Na bajeti yake na mapato yake ya ndani ni makubwa kuliko yote za kabla yake, usisahau hilo.
Ana historia ya kufeli mashuleni toka secondary. Elimu yake ni ya kuunga unga kama wakina Nape na January Makamba.Haijawahi kutokea na haitotokea, huo unaitwa usongo.
Huyu Kikongwe sio wa Visiwani...ni Mtanganyika wa MkurangaKwa hiyo Mwinyi mmemkataa? You guys wa visiwani mkiambiwa mna some form of ubaguzi mnakuwa wakali.
Kama ni Hekima, Kujali utu na Uongozi Mzuri hizo sifa zipo kwa Mzee Mwinyi, nashangaa kama vile unampa huyu mama sifa anazostahili Mzee RukhsaMimi na Mwinyi sote ni Watanganyika, tena ni majirani, sote wa Mkuranga.
Sijawahi kuwa Mzanzibari, wala Mwinyi hajawahi kuwa Mzanzibari wa kuzaliwa.
Makaz yake alianzisha bunju mabwepande akiwa makamu na watoto waliishi huko ila baada ya kua rais makaz yapo mbweniHumjui vizuri huyo ndio raisi wa kuzaliwa Zanzibar ila mwenye makazi bara kuliko kiongozi yeyote wa Zanzibar.
Retirement home yake yenyewe ameijenga bara.
Hayo mambo ya uzanzibari ushambenga tu. Hila ‘bi-tozo’ maisha yake ni bara.