Rais wa kwanza wa Tanzania mwenye asili ya Zanzibar ni Samia Suluhu Hassan

Rais wa kwanza wa Tanzania mwenye asili ya Zanzibar ni Samia Suluhu Hassan

Zanzibar hii hii na baadaye ikawaje?
Si wakakubali kutawaliwa na Tnganyika, kikauliwa kila kitu.

Tanganyika kwani ina heri gani toka kupata uhureu? Tanganyika kabla ya uhuru ilikuwa ni nchoi ya kwanza kwa kilimo na kusafirisha mazao ya kilimo katika Afrika.

Kuna mazao ilikuwa inashika namba moja, tulipopata uhuru ndani ya miaka sanba tu, tukaanza kuwa masikini wa mwisho duniani.

Kuna mtu aliamini tajiri haendi mbinguni, kwa hiyo aktufanya tuwe masikini wa mwisho ili atupeleke mbinguni.

Humjuwi nani?
 
Kuwa Mzanzibari ni kweli, hizo za kuuza rsilmali ni ujinga wa tundu lussu tu.
Ujinga wa Tundu Lissu...!!!??

Hivi wewe FaizaFoxy na Tundu Lissu tukiwaweka pale tuanze kuwapima kwa hoja, ufahamu, uelewa na maarifa ya kijamii, kisiasa, kidiplomasia na kiuchumi ni nani atakayeonekana ni mjinga plus...?

JIBU NI: Ni wewe FaizaFoxy

Mwenzio anatoa hoja za kikatiba na za kimkataba kujustify hoja zake, watu tunasoma na kupima hatimaye tunakubali na kusema, hii ni kweli halafu wewe unamsema Rais wetu Tundu Lissu ni mjinga...!!???!

Aisee, acha kujichetua basi na kujifanya mjinga kiasi hicho wakati wewe si wa hivyo...
 
Ujinga wa Tundu Lissu...!!!??

Hivi wewe FaizaFoxy na Tundu Lissu tukiwaweka pale tuanze kuwapima kwa hoja, ufahamu, uelewa na maarifa ya kijamii, kisiasa, kidiplomasia na kiuchumi ni nani atakayeonekana ni mjinga plus...?

JIBU NI: Ni wewe FaizaFoxy

Mwenzio anatoa hoja za kikatiba na za kimkataba kujustify hoja zake, watu tunasoma na kupima hatimaye tunakubali na kusema, hii ni kweli halafu wewe unamsema Rais wetu Tundu Lissu ni mjinga...!!???!

Aisee, acha kujichetua basi na kujifanya mjinga kiasi hicho wakati wewe si wa hivyo...
Hana ujanja kwangu yule.

Kufoka foka na kusema uongo siyo kujuwa. Yule ni muongo tu.
 
Wazanzibar wengi si Wanyamwezi, Waha, Wagogo na Wasukuma tu waliochangamana na damu za Kiyemen na Kioman...

Wazenji wengi ni kama African Americans tu...
 
Hivi unajua kihalali hizo bandari na hayo maji ya bahari mnayopigia kelele Kila Leo kiasili na kihalali ni Mali ya Zanzibar?? Tafuta historia ya ukweli vizuri
Pitia historia ya Berlin Conference pamoja na Scramble for and partition of African Continent.

Tanganyika tuna hatimiliki ya Bahari ya Hindi eneo la Pwani kuanzia Tanga hadi Mtwara kule
 
Mzee Ali Hasssan Mwinyi hakuwa na asili ya Zanzibar, si kwa mama wala kwa baba. Kwao ni Mkuranga na alipelekwa Unguja kusoma tu.

Mama Samia Suluhu Hassan ana asili ya kuzaliwa Zanzibar na wazazi wake wote kuzaliwa Zanzibar.

Ma shaa Allah, ukiisoma historia yake utaona kuwa kila sehemu ya kazi aliyopitia aliifanya kwa uadilifu, uaminifu na welesi mkubwa na kuwa anapanda tu vyeo, mpaka akafikia kuwa Makamo wa Rais na ahatimae sasa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Alitia fora na alionesha umahiri mkubwa alipokuwa naibu Spika kwenye bunge la Katiba mpya ambalo lilikuwa kivutio kikubwa cha malumbano kwa wakati ule wa Kikwete. Hapo ndipo mama Samia Suluhu Hassan akapata kujulikana.

Naam, hakuna amabae alikuwepo wakati huo na hakumuona umahiri wake. Wengi wakawa wanajiuliza, nani huyu mwanamke?

Leo hakuna asiyemjuwa Tanzania hii na duniani kuwa ni Rais wakwanza Mwanamke Mzanzibari anaeiongoza Tanzania kwa umahiri mkubwa sana.

R zake nne anaziishi na hatetereki.

Mwenyezi Mungu amzidishie hekima na weledi atuongoze daima, akiwepo kwenye Uris na atapomaliza muda wake aendelee kutuongoza kwa hekima zake, kama afanyavyo Kikwete hivi sasa.

Mama Samia tunakuomba mapema uchaguzi mkuu utakapokwisha na panapo majaaliwa basi uhakikishe katiba inabadilishwa na Zaznzibar inajitawala yenye ili tusiwe kama mazayuni.

Watanganyika hatuna sababu ya kuitawala Zanzibar bali tuna kila sababu ya Zanzibar kurudisha utawala wake ulioondoshwa na wakoloni wa Kijerumani ili wapate kuiba vozuri mali za ardhi ya Zenjbar kihistoria.
Haha endeleeni kupaka mafuta ya mwamposa ndoa haivunjiki mai wetu,,,nyie tumbueni tu sahivi waume zenu tunawatafutia ila ndoa haivunjiki
images.jpeg-90.jpg
 
Hana ujanja kwangu yule.

Kufoka foka na kusema uongo siyo kujuwa. Yule ni muongo tu.

Bora ungejinyamazia tu kuliko kujichetua kwa ujinga na upumbavu wako..

Mjanja utakuwa wewe FaizaFoxy unayesemea mafichoni kwa fake ID...?

Mwenzio Tundu Lissu yuko LIVE kila siku, kila mahali akiyasema hayo mchana kweupe kwa ushahidi na uthibitisho na hakuna miongoni mwenu huko uwanja wa fisi (kambi ya CCM) awezaye kuyapinga kisheria kuwa ni uzushi na uongo...

By the way, sema mawili au hata moja tu la uongo wake tukuzingue sasa hivi...

Huwezi na huna mnafiki mkubwa wewe...!
 
Mzee Ali Hasssan Mwinyi hakuwa na asili ya Zanzibar, si kwa mama wala kwa baba. Kwao ni Mkuranga na alipelekwa Unguja kusoma tu.

Mama Samia Suluhu Hassan ana asili ya kuzaliwa Zanzibar na wazazi wake wote kuzaliwa Zanzibar.

Ma shaa Allah, ukiisoma historia yake utaona kuwa kila sehemu ya kazi aliyopitia aliifanya kwa uadilifu, uaminifu na welesi mkubwa na kuwa anapanda tu vyeo, mpaka akafikia kuwa Makamo wa Rais na ahatimae sasa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Alitia fora na alionesha umahiri mkubwa alipokuwa naibu Spika kwenye bunge la Katiba mpya ambalo lilikuwa kivutio kikubwa cha malumbano kwa wakati ule wa Kikwete. Hapo ndipo mama Samia Suluhu Hassan akapata kujulikana.

Naam, hakuna amabae alikuwepo wakati huo na hakumuona umahiri wake. Wengi wakawa wanajiuliza, nani huyu mwanamke?

Leo hakuna asiyemjuwa Tanzania hii na duniani kuwa ni Rais wakwanza Mwanamke Mzanzibari anaeiongoza Tanzania kwa umahiri mkubwa sana.

R zake nne anaziishi na hatetereki.

Mwenyezi Mungu amzidishie hekima na weledi atuongoze daima, akiwepo kwenye Uris na atapomaliza muda wake aendelee kutuongoza kwa hekima zake, kama afanyavyo Kikwete hivi sasa.

Mama Samia tunakuomba mapema uchaguzi mkuu utakapokwisha na panapo majaaliwa basi uhakikishe katiba inabadilishwa na Zaznzibar inajitawala yenye ili tusiwe kama mazayuni.

Watanganyika hatuna sababu ya kuitawala Zanzibar bali tuna kila sababu ya Zanzibar kurudisha utawala wake ulioondoshwa na wakoloni wa Kijerumani ili wapate kuiba vozuri mali za ardhi ya Zenjbar kihistoria.
Jee, unaposema Rais Samia ndiye Rais wa kwanza wa Tanzania mwenye asili ya Zanzibar, unataka kuthibitisha kwamba ndiyo maana anafukuza wakazi wa Loliondo (watu wa Bara) na kuleta Waarabu na kuwekeza bandari za Bara kwa Waarabu (kwa kisingizio cha kuongeza ufanisi) akiacha zile za Zanzibar?
 
baba na mama yake bi chura wewe unawafahamu? hebu tuoneshe na sisi tuwaone. Awe na asili ya zanzibar au kuzimu bi chura 2025 lazima tumfurushe
 
Hakuna mwenye asili ya Zanzibar, wote mlitoka bara na nchi jirani kama watumwa

Asili yenu niTabora, Kigoma , ruvuma, nyanda za juu kusini na kwingineko

Tatizo la mtu akishakuwa mtumwa akili yake kuna mahali inashake kiasi kwamba anasahau alipotoka
Kwa hoja hii unakusudia kusema wenyeji wa asili Zanzibar ni waarabu wakaja kuchukuwa watumwa bara?
 
Jee, unaposema Rais Samia ndiye Rais wa kwanza wa Tanzania mwenye asili ya Zanzibar, unataka kuthibitisha kwamba ndiyo maana anafukuza wakazi wa Loliondo (watu wa Bara) na kuleta Waarabu na kuwekeza bandari za Bara kwa Waarabu (kwa kisingizio cha kuongeza ufanisi) akiacha zile za Zanzibar?
Hakuna aliyefukuzwa Loliondo, Loliondo toka eenzi za Mwinyi wapo waliokodishwa kitalu cha kuwindia kwa kufatwa sheria zote.

Mbona wengi tu wenye vigtalu vya kuwindia Tanzania hii, kihalali kabisa?

Wanaondolewa wamasai wa ndani ya Ngorongoro crater, vipi binaadam utaishi na wanyama? Wawache ujinga huo, wakachunge ng'ombe zao Kiteto huko. Uliona wapi ng'o,be wakachungwa hifadhi ya mbuga za wanyama pori?
 
Picha ya baba yake&mama yake naiomba. Zawadi nono itatolewa kwa atakaye fanikisha hilo
IMG_20220629_094922_5.jpg

Saivi tunatumia mbinu za MAHABUSU! JESHI LA MAGEREZA limechukua nafasi. Ukienda huko utajua hata babu wa babu yako alikuwa anaitwa nani na alikuwa mtu wa kutoka wapi 😂
 
Haha endeleeni kupaka mafuta ya mwamposa ndoa haivunjiki mai wetu,,,nyie tumbueni tu sahivi waume zenu tunawatafutia ila ndoa haivunjiki
Watu ndiyo kwanza tunataka kuirudishia Tanganyika jina lake kabla ya kubadilishwa na mjerumani.

Unalijuwa?
 
Nchi inatawaliwa na Rais ambaye anatoka nchi nyingine yenye bendera yake,wimbo wake wa Taifa,Vikosi vya jeshi KMKM......na kubwa zaidi anatoka nchi ambayo watanganyika hawana ruksa ya kununua ardhi.
 
Back
Top Bottom