CCM ni ile ile, usijidanganye kuwa "mwamba" wako alifanya ambayo hajayakuta yameshawekwa pipeline.Kwakua bandari zimekuwa expanded na kusafishwa, machinjio ya kisasa yalijengwa mengi, kilimo kiliboreshwa, umeme vijijini ulipelekwa kwa kasi ya ajabu, terminals za mabasi zilijengwa nyingi, sana, mahospitals ya rufaa, kanda na zahanati, miradi ya maji yote ilifanyika kwa ukubwa wa kushtua Africa.
Huyo yupo yupo tu, anakinga kazi za wengine. Alienda Ghana kupokea tuzo ya miundombinu na alikiri ni kazi ya Mwamba.
Kama sio kujimwambafai angekua na chawa kama nyieCCM ni ile ile, usijidanganye kuwa "mwamba" wako alifanya ambayo hajayakuta yameshawekwa pipeline.
Mama Samia ni mtendaji siyo mtu wa kujimwabafai, kimya kimya uanstukia mambo hayooo.
Mzee Rukhsa hakuwa Mzqnzibari wa asili,hujaisoma post namba 1?Kama ni Hekima, Kujali utu na Uongozi Mzuri hizo sifa zipo kwa Mzee Mwinyi, nashangaa kama vile unampa huyu mama sifa anazostahili Mzee Rukhsa
Acha Unafiq ewe Muislam
Shule za kusomea ujinga muungwana lazima "afeli", leo unamuona yuko wapi? Waungwana na wasomi duniani wanamuelewa.Ana historia ya kufeli mashuleni toka secondary. Elimu yake ni ya kuunga unga kama wakina Nape na January Makamba.
Siyo kweli, mkopo wa Tanzania kwa sasa ni wa kiwango kidogo kulinganisha na mapato yetu kuliko wakati wowote. Na hatukopi pesa za kulipia watu mishahara, ni za maendeleo tu.Bajeti imeshuka mwaka huu wewe bidada! Usisome toka kulia kwenda kushoto. Nyooka na some vyema.
Bajeti iko chini na mikopo imetamalaki.
Umeeleweka sheikhe 😁😁😁Kuna nchi za bara la ulaya huko miaka ya 1950 kaka na dada waliwahi kuwa marais.
Hehe wazanzibari, huku baba unamkana.....nyie choteni tu sahv ila zitawatokea puaniSiyo kweli, mkopo wa Tanzania kwa sasa ni wa kiwango kidogo kulinganisha na mapato yetu kuliko wakati wowote. Na hatukopi pesa za kulipia watu mishahara, ni za maendeleo tu.
Unaelewa kuwa Wazanzibari wameweka rekodi ya kuwa na Marais wawili wa Tanzania kwa wakati mmoja?
Yaguju.Kumbuka Zanzibar ni koloni letu tu
Watwana hata uwakirimu vipi bado wao ni watwana tu.Mama Samia ana kazi kubwa mbili, kwanza kuwaelimisha watwana kuwa Mwanamke anaweza kutawala.
Ukiisoma historia ya Zanzibar kuna wanawake walishawahi kutawaal, maarufu ni Fatma bint Yussuf Al Alawi.
Huku bara, watwana wanamuona mwanamke ni kiumbe cha kutumwa na kuwatumikia wanaume, ni ngumu sana kuwaelimisha kuwa wanawake ni watawala, tena wazuri sana.
Kazi ya pili ni kuwaelimisha kuwa Zanzibar kiasili ni pamoja nahii iliyopewa jina tanganyika na mjerumani, kabla ya ujio wa Mjerumani hii yote ni Zenjbar.
Ndio maana Watanganyika wanampiga fitina,majungu kisa wivu baada ya kuwafunika Kwa kazi wale waliotangulia na kujiona miungu watu 😁😁😁👇👇Mzee Ali Hasssan Mwinyi hakuwa na asili ya Zanzibar, si kwa mama wala kwa baba. Kwao ni Mkuranga na alipelekwa Unguja kusoma tu.
Mama Samia Suluhu Hassan ana asili ya kuzaliwa Zanzibar na wazazi wake wote kuzaliwa Zanzibar.
Ma shaa Allah, ukiisoma historia yake utaona kuwa kila sehemu ya kazi aliyopitia aliifanya kwa uadilifu, uaminifu na weledi mkubwa na kuwa anapanda tu vyeo, mpaka akafikia kuwa Makamu wa Rais na hatimaye sasa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Alitia fora na alionesha umahiri mkubwa alipokuwa Naibu Spika kwenye bunge la Katiba mpya ambalo lilikuwa kivutio kikubwa cha malumbano kwa wakati ule wa Kikwete. Hapo ndipo mama Samia Suluhu Hassan akapata kujulikana.
Naam, hakuna ambae alikuwepo wakati huo na hakumuona umahiri wake. Wengi wakawa wanajiuliza, nani huyu mwanamke?
Leo hakuna asiyemjua Tanzania hii na duniani kuwa ni Rais wa kwanza Mwanamke Mzanzibari anayeiongoza Tanzania kwa umahiri mkubwa sana.
R zake nne anaziishi na hatetereki.
Mwenyezi Mungu amzidishie hekima na weledi atuongoze daima, akiwepo kwenye Uris na atapomaliza muda wake aendelee kutuongoza kwa hekima zake, kama afanyavyo Kikwete hivi sasa.
Mama Samia tunakuomba mapema uchaguzi mkuu utakapokwisha na panapo majaaliwa basi uhakikishe katiba inabadilishwa na Zaznzibar inajitawala yenye ili tusiwe kama mazayuni.
Watanganyika hatuna sababu ya kuitawala Zanzibar bali tuna kila sababu ya Zanzibar kurudisha utawala wake ulioondoshwa na wakoloni wa Kijerumani ili wapate kuiba vozuri mali za ardhi ya Zenjbar kihistoria.
Kuzaliwa zanzibar ni mzanzibari ? Ukipenda boga penda na ua lake,,,hapo ni mizimu ya bara tu kwenda mbeleUnafahamu kuwa kuna Marais wawili wa kuzaliwa Zanzibar wanaoiongoza Tanzania kwa sasa?
Ficha ujinga wako.Hiyo ndio elimu yao kubwa, kujazana ujinga. Idadi kubwa ya wauza sembe ni vijana wao na uhalifu mkubwa wa kikatili na imani za kishirikina ni wao pia. Ni kwenye vitabu vila vya wana makobazi kuna mambo ya Jini Makata.
Ni kweli hayo ustaadhat FaizaFoxy..pia ushoga ni utamaduni wao.
..na hata huyu mshika usukani inasemekana ni msagaji.
Hii ID yako ni wewe raisi nilishawai kukuandika hapa ukafutwa. Nacho kupenda naomba na mimi nipate urefu wa kamba yangu kwakoMzee Ali Hasssan Mwinyi hakuwa na asili ya Zanzibar, si kwa mama wala kwa baba. Kwao ni Mkuranga na alipelekwa Unguja kusoma tu.
Mama Samia Suluhu Hassan ana asili ya kuzaliwa Zanzibar na wazazi wake wote kuzaliwa Zanzibar.
Ma shaa Allah, ukiisoma historia yake utaona kuwa kila sehemu ya kazi aliyopitia aliifanya kwa uadilifu, uaminifu na weledi mkubwa na kuwa anapanda tu vyeo, mpaka akafikia kuwa Makamu wa Rais na hatimaye sasa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Alitia fora na alionesha umahiri mkubwa alipokuwa Naibu Spika kwenye bunge la Katiba mpya ambalo lilikuwa kivutio kikubwa cha malumbano kwa wakati ule wa Kikwete. Hapo ndipo mama Samia Suluhu Hassan akapata kujulikana.
Naam, hakuna ambae alikuwepo wakati huo na hakumuona umahiri wake. Wengi wakawa wanajiuliza, nani huyu mwanamke?
Leo hakuna asiyemjua Tanzania hii na duniani kuwa ni Rais wa kwanza Mwanamke Mzanzibari anayeiongoza Tanzania kwa umahiri mkubwa sana.
R zake nne anaziishi na hatetereki.
Mwenyezi Mungu amzidishie hekima na weledi atuongoze daima, akiwepo kwenye Uris na atapomaliza muda wake aendelee kutuongoza kwa hekima zake, kama afanyavyo Kikwete hivi sasa.
Mama Samia tunakuomba mapema uchaguzi mkuu utakapokwisha na panapo majaaliwa basi uhakikishe katiba inabadilishwa na Zaznzibar inajitawala yenye ili tusiwe kama mazayuni.
Watanganyika hatuna sababu ya kuitawala Zanzibar bali tuna kila sababu ya Zanzibar kurudisha utawala wake ulioondoshwa na wakoloni wa Kijerumani ili wapate kuiba vozuri mali za ardhi ya Zenjbar kihistoria.
Mwakyembe anasema ngome kuu ya ushoga ni Arusha:Ni kweli hayo ustaadhat FaizaFoxy
mama kama mama pochi la mama na tumaini ulefu wa kamba yangu toka kwakoKwani sasa hivi unatumiwa na kama ya mwenzako?