Rais wa kwanza wa Tanzania mwenye asili ya Zanzibar ni Samia Suluhu Hassan

Rais wa kwanza wa Tanzania mwenye asili ya Zanzibar ni Samia Suluhu Hassan

Kwakua bandari zimekuwa expanded na kusafishwa, machinjio ya kisasa yalijengwa mengi, kilimo kiliboreshwa, umeme vijijini ulipelekwa kwa kasi ya ajabu, terminals za mabasi zilijengwa nyingi, sana, mahospitals ya rufaa, kanda na zahanati, miradi ya maji yote ilifanyika kwa ukubwa wa kushtua Africa.

Huyo yupo yupo tu, anakinga kazi za wengine. Alienda Ghana kupokea tuzo ya miundombinu na alikiri ni kazi ya Mwamba.
CCM ni ile ile, usijidanganye kuwa "mwamba" wako alifanya ambayo hajayakuta yameshawekwa pipeline.

Mama Samia ni mtendaji siyo mtu wa kujimwabafai, kimya kimya uanstukia mambo hayooo.
 
CCM ni ile ile, usijidanganye kuwa "mwamba" wako alifanya ambayo hajayakuta yameshawekwa pipeline.

Mama Samia ni mtendaji siyo mtu wa kujimwabafai, kimya kimya uanstukia mambo hayooo.
Kama sio kujimwambafai angekua na chawa kama nyie
 
Kama ni Hekima, Kujali utu na Uongozi Mzuri hizo sifa zipo kwa Mzee Mwinyi, nashangaa kama vile unampa huyu mama sifa anazostahili Mzee Rukhsa

Acha Unafiq ewe Muislam
Mzee Rukhsa hakuwa Mzqnzibari wa asili,hujaisoma post namba 1?

Mzee Rukhsa wazee wake walielewa kuwa elimu, ustaarabu na ungwana Wazanzibari ndiyo utamfaa mwanae, akampelka kufundishwa hayo Zabnzibar.

Nini usichokielewa hapo?
 
Ana historia ya kufeli mashuleni toka secondary. Elimu yake ni ya kuunga unga kama wakina Nape na January Makamba.
Shule za kusomea ujinga muungwana lazima "afeli", leo unamuona yuko wapi? Waungwana na wasomi duniani wanamuelewa.

Wewe sikushangai, ni wa shule zile zile maarufu kusomesha ujinga.
 
Bajeti imeshuka mwaka huu wewe bidada! Usisome toka kulia kwenda kushoto. Nyooka na some vyema.

Bajeti iko chini na mikopo imetamalaki.
Siyo kweli, mkopo wa Tanzania kwa sasa ni wa kiwango kidogo kulinganisha na mapato yetu kuliko wakati wowote. Na hatukopi pesa za kulipia watu mishahara, ni za maendeleo tu.

Unaelewa kuwa Wazanzibari wameweka rekodi ya kuwa na Marais wawili wa Tanzania kwa wakati mmoja?
 
Siyo kweli, mkopo wa Tanzania kwa sasa ni wa kiwango kidogo kulinganisha na mapato yetu kuliko wakati wowote. Na hatukopi pesa za kulipia watu mishahara, ni za maendeleo tu.

Unaelewa kuwa Wazanzibari wameweka rekodi ya kuwa na Marais wawili wa Tanzania kwa wakati mmoja?
Hehe wazanzibari, huku baba unamkana.....nyie choteni tu sahv ila zitawatokea puani
 
Mama Samia ana kazi kubwa mbili, kwanza kuwaelimisha watwana kuwa Mwanamke anaweza kutawala.

Ukiisoma historia ya Zanzibar kuna wanawake walishawahi kutawaal, maarufu ni Fatma bint Yussuf Al Alawi.

Huku bara, watwana wanamuona mwanamke ni kiumbe cha kutumwa na kuwatumikia wanaume, ni ngumu sana kuwaelimisha kuwa wanawake ni watawala, tena wazuri sana.

Kazi ya pili ni kuwaelimisha kuwa Zanzibar kiasili ni pamoja nahii iliyopewa jina tanganyika na mjerumani, kabla ya ujio wa Mjerumani hii yote ni Zenjbar.
Watwana hata uwakirimu vipi bado wao ni watwana tu.
 
Mzee Ali Hasssan Mwinyi hakuwa na asili ya Zanzibar, si kwa mama wala kwa baba. Kwao ni Mkuranga na alipelekwa Unguja kusoma tu.

Mama Samia Suluhu Hassan ana asili ya kuzaliwa Zanzibar na wazazi wake wote kuzaliwa Zanzibar.

Ma shaa Allah, ukiisoma historia yake utaona kuwa kila sehemu ya kazi aliyopitia aliifanya kwa uadilifu, uaminifu na weledi mkubwa na kuwa anapanda tu vyeo, mpaka akafikia kuwa Makamu wa Rais na hatimaye sasa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Alitia fora na alionesha umahiri mkubwa alipokuwa Naibu Spika kwenye bunge la Katiba mpya ambalo lilikuwa kivutio kikubwa cha malumbano kwa wakati ule wa Kikwete. Hapo ndipo mama Samia Suluhu Hassan akapata kujulikana.

Naam, hakuna ambae alikuwepo wakati huo na hakumuona umahiri wake. Wengi wakawa wanajiuliza, nani huyu mwanamke?

Leo hakuna asiyemjua Tanzania hii na duniani kuwa ni Rais wa kwanza Mwanamke Mzanzibari anayeiongoza Tanzania kwa umahiri mkubwa sana.

R zake nne anaziishi na hatetereki.

Mwenyezi Mungu amzidishie hekima na weledi atuongoze daima, akiwepo kwenye Uris na atapomaliza muda wake aendelee kutuongoza kwa hekima zake, kama afanyavyo Kikwete hivi sasa.

Mama Samia tunakuomba mapema uchaguzi mkuu utakapokwisha na panapo majaaliwa basi uhakikishe katiba inabadilishwa na Zaznzibar inajitawala yenye ili tusiwe kama mazayuni.

Watanganyika hatuna sababu ya kuitawala Zanzibar bali tuna kila sababu ya Zanzibar kurudisha utawala wake ulioondoshwa na wakoloni wa Kijerumani ili wapate kuiba vozuri mali za ardhi ya Zenjbar kihistoria.
Ndio maana Watanganyika wanampiga fitina,majungu kisa wivu baada ya kuwafunika Kwa kazi wale waliotangulia na kujiona miungu watu 😁😁😁👇👇

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1810658426428535108?t=VZiL9mZdlRl62JkcKj-qnA&s=19

View: https://twitter.com/mamanafanikisha/status/1810585182644195362?t=KZADTSxMWLgyDnlrctYFCQ&s=19
 
Unafahamu kuwa kuna Marais wawili wa kuzaliwa Zanzibar wanaoiongoza Tanzania kwa sasa?
Kuzaliwa zanzibar ni mzanzibari ? Ukipenda boga penda na ua lake,,,hapo ni mizimu ya bara tu kwenda mbele
 
Hiyo ndio elimu yao kubwa, kujazana ujinga. Idadi kubwa ya wauza sembe ni vijana wao na uhalifu mkubwa wa kikatili na imani za kishirikina ni wao pia. Ni kwenye vitabu vila vya wana makobazi kuna mambo ya Jini Makata.
Ficha ujinga wako.
 
Kuzaliwa zanzibar ni mzanzibari ? Ukipenda boga penda na ua lake,,,hapo ni mizimu ya bara tu kwenda mbele
Naam, kama Marekani tu, ukizaliwa Marekani ni Mmarekani.

Hujamuona Obama?

kwani wewe uliupataje Utanzania wako?
 
Mzee Ali Hasssan Mwinyi hakuwa na asili ya Zanzibar, si kwa mama wala kwa baba. Kwao ni Mkuranga na alipelekwa Unguja kusoma tu.

Mama Samia Suluhu Hassan ana asili ya kuzaliwa Zanzibar na wazazi wake wote kuzaliwa Zanzibar.

Ma shaa Allah, ukiisoma historia yake utaona kuwa kila sehemu ya kazi aliyopitia aliifanya kwa uadilifu, uaminifu na weledi mkubwa na kuwa anapanda tu vyeo, mpaka akafikia kuwa Makamu wa Rais na hatimaye sasa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Alitia fora na alionesha umahiri mkubwa alipokuwa Naibu Spika kwenye bunge la Katiba mpya ambalo lilikuwa kivutio kikubwa cha malumbano kwa wakati ule wa Kikwete. Hapo ndipo mama Samia Suluhu Hassan akapata kujulikana.

Naam, hakuna ambae alikuwepo wakati huo na hakumuona umahiri wake. Wengi wakawa wanajiuliza, nani huyu mwanamke?

Leo hakuna asiyemjua Tanzania hii na duniani kuwa ni Rais wa kwanza Mwanamke Mzanzibari anayeiongoza Tanzania kwa umahiri mkubwa sana.

R zake nne anaziishi na hatetereki.

Mwenyezi Mungu amzidishie hekima na weledi atuongoze daima, akiwepo kwenye Uris na atapomaliza muda wake aendelee kutuongoza kwa hekima zake, kama afanyavyo Kikwete hivi sasa.

Mama Samia tunakuomba mapema uchaguzi mkuu utakapokwisha na panapo majaaliwa basi uhakikishe katiba inabadilishwa na Zaznzibar inajitawala yenye ili tusiwe kama mazayuni.

Watanganyika hatuna sababu ya kuitawala Zanzibar bali tuna kila sababu ya Zanzibar kurudisha utawala wake ulioondoshwa na wakoloni wa Kijerumani ili wapate kuiba vozuri mali za ardhi ya Zenjbar kihistoria.
Hii ID yako ni wewe raisi nilishawai kukuandika hapa ukafutwa. Nacho kupenda naomba na mimi nipate urefu wa kamba yangu kwako
 
Back
Top Bottom