20 February 2023
Arusha, Tanzania
Jaji Imani Daudi Aboud Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu yenye makao yake Arusha.
Leo ameziasa nchi wanachama kutekeleza hukumu zinazotolewa na mahakama hiyo ya Afrika bila visingizio kuwa hukumu hizo haziendani na sera za nchi zao husika.
Wito huo mzito umetolewa leo wakati wa ufunguzi wa mwaka mpya wa kazi ya korti hiyo ya juu ya Afrika the 2023 Judicial Year mjini Arusha Tanzania yalipo makao ya Mahakama ya Afrika.
Wabobezi wa sheria, wanataaluma nguli walichangia mada mbalimbali kuhusu katika siku hii ya ufunguzi wa mwaka wa kazi wa Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu iliyoanzishwa na azimio la Umoja wa Afrika AU - African Union
ENGLISH :
20 February 2023
Arusha, Tanzania
Opening of the Judicial Year of The African Court - The Intergenerational Dialogue
Theme: Integrating the jurisprudence of regional and international human rights mechanisms into national systems The specific objectives of the inaugural opening of the judicial year were:
a. To provide a forum for interaction and discussion with Member States, inter-governmental, semi-governmental and non-state actors, to brainstorm, exchange and reflect on the work of the African Court for the year;
b. To enhance the visibility of the African Court among key human rights stakeholders on the continent;
c. To update the stakeholders on some of the specific activities that the African Court will conduct in realising the theme;
d. To reflect on the challenges facing the African Court and the African justice system and measures to tackle the challenges; and
e. To share lessons and experiences with key judicial officials and relevant stakeholders on the continent on the key thematic issues.
Source: African Court
Arusha, Tanzania
Jaji Imani Daudi Aboud Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu yenye makao yake Arusha.
Leo ameziasa nchi wanachama kutekeleza hukumu zinazotolewa na mahakama hiyo ya Afrika bila visingizio kuwa hukumu hizo haziendani na sera za nchi zao husika.
Wito huo mzito umetolewa leo wakati wa ufunguzi wa mwaka mpya wa kazi ya korti hiyo ya juu ya Afrika the 2023 Judicial Year mjini Arusha Tanzania yalipo makao ya Mahakama ya Afrika.
Wabobezi wa sheria, wanataaluma nguli walichangia mada mbalimbali kuhusu katika siku hii ya ufunguzi wa mwaka wa kazi wa Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu iliyoanzishwa na azimio la Umoja wa Afrika AU - African Union
ENGLISH :
20 February 2023
Arusha, Tanzania
Opening of the Judicial Year of The African Court - The Intergenerational Dialogue
Theme: Integrating the jurisprudence of regional and international human rights mechanisms into national systems The specific objectives of the inaugural opening of the judicial year were:
a. To provide a forum for interaction and discussion with Member States, inter-governmental, semi-governmental and non-state actors, to brainstorm, exchange and reflect on the work of the African Court for the year;
b. To enhance the visibility of the African Court among key human rights stakeholders on the continent;
c. To update the stakeholders on some of the specific activities that the African Court will conduct in realising the theme;
d. To reflect on the challenges facing the African Court and the African justice system and measures to tackle the challenges; and
e. To share lessons and experiences with key judicial officials and relevant stakeholders on the continent on the key thematic issues.
Source: African Court