Rais wa Malawi akatiza ghafla ziara yake nchini Tanzania

Rais wa Malawi akatiza ghafla ziara yake nchini Tanzania

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Habari zinasema rais wa Malawi amekatiza ziara yake hapa nchini baada ya mazungumzo na Rais Magufuli na wafanya biashara wa Malawi.

Rais Chakwera alifika Tanzania Jumatano kwa ziara ya siku tatu ya kikazi, alitarajiwa kuondoka Ijumaa ila ameondoka alhamisi kutokana na dharura ya mambo ambayo yametokea nchini kwake.

Imeripotiwa kuwa rais Chakwera amerudi kushughulikia migomo ya Wanawake wanaotaka usawa yanayoendelea nchini kwake.

====
Malawi President Lazarus Chakwera has cut short his official trip to Tanzania, after holding official talks with President John Magufuli, visited Malawi Cargo Centre and met some business investors in private.

Chakwera arrived in Tanzania on Wednesday for a three-day official visit and was expected to leave on Friday.
Malawi’s State House confirmed Chakwera was returning home a day earlier to attend to urgent domestic priorities.

He was seen off at the Julius Nyerere International Airport by his host President Magufuli, Foreign Affairs and International Relations minister, Prof Palamagamba Kabudi, First Lady Janeth Magufuli and several other government dignitaries.

His plane left JNIA at 4:03pm, shortly after holding official talks with President John Pombe Magufuli, visited Malawi Cargo Centre and met some business investors in private.

Lilongwe State House confirmed on Thursday, October 8, 2020 that the Malawi leader was returning home a day earlier to attend demonstrations organised by women in the country against gender imbalance.

Demonstrations which would have marred Chakwera’s return were expected to be held tomorrow the day he was supposed to conclude his three day visit to Tanzania.

Presidential Press Secretary Brian Banda said Chakwera will arrive at the Kamuzu Banda International Airport in Lilongwe on Thursday afternoon.

“Yes, the President is coming back today at 4:30 pm. Initially, it was supposed to be a three-day visit but the President has other engagements back home,” Mr Banda told a local newspaper without disclosing more details.

Dr Chakwera chartered Malawian Airlines – ET – 20 on his trip to Tanzania which is scheduled to leave for Johannesburg on Friday at 09:20 am.

He chartered the same plane on his state visits to Zambia, Zimbabwe and Mozambique.
His Mozambican trip delayed, for hours, some passengers who were travelling to South Africa on Tuesday using the same plane.
 
Janja ya Chakwera hataki kutumika....unajua Magufuli maji ya shingo sasa hivi anachomekea kila kitu kuokoa jahazi....Chakwera ni mpinzani ni mwanasiasa wa muda mrefu anajua hila za ccm ktk kukwamisha demokrasia. Hata hivyo alikuja tu kwa maslahi ya wana malawi tu.
 
Acha kupotosha. Ziara ilikuwa ya siku mbili na ilitangazwa tangu hata hajaja bado.
 
Janja ya Chakwera hataki kutumika....unajua Magufuli maji ya shingo sasa hivi anachomekea kila kitu kuokoa jahazi....Chakwera ni mpinzani ni mwanasiasa wa muda mrefu anajua hila za ccm ktk kukwamisha demokrasia. Hata hivyo alikuja tu kwa maslahi ya wana malawi tu.
Check vizuri na information zako..Chama chake ndio like cha Kamuzu Banda(CCM ya Malawi) . Huyu system iliyosukwa na kina Kamuzu ndio ilimrudisha madarakani..hii ni Sawa Leo CCM wawe voted out na baada ya muda unafanyika uchaguzi CCM wanakingiwa kifua na vyombo vya Dola na mahakama ili warudi madarakani..Kwa style hiyo inakua Ngumu kuwa categorize kama wapinzani
 
Acha kupotosha. Ziara ilikuwa ya siku mbili na ilitangazwa tangu hats hajaja bado.
Aisee siku ngapi?
Screenshot_2020-10-09-10-04-41-1.jpg
 
Back
Top Bottom