Rais wa Malawi akatiza ghafla ziara yake nchini Tanzania

Rais wa Malawi akatiza ghafla ziara yake nchini Tanzania

According his press secretary, President Chakwera has completed his visit
Unless you have a lot in common with your party's presidential candidate, you need to do a lot to polish your English.
 
Unless you have a lot in common with your party's presidential candidate, you need to do a lot to polish your English.
Ha ha haaa....mzomeeeni huyu......eti "polish your English" Kwani English is shoes? Ovyo kabisa huyu magwanda
 
Marais wa Burundi na Malawi wameitwa na serikali kwa kodi za watanzania ili kuja kupiga kampeni. Kweli Magufuli hajui maana ya uongozi.
Mbowe anajua uongozi yule?. Chama kilishajifia Zamani. Oct 28, ni mkwaju kwa kwenda mbele.
 
Nimepita pita nchini Malawi, mfumo dume umetawala sana......hayo maandamano yatakuwa urban centres tu labda Lilongwe,Kalonga,Nkotakota, Blantyre etc......
 
Ziara ya Rais wa Malawi ilikuwa ya mafanikio makubwa sana.

Karibu tena, Tanzania.
 
Janja ya Chakwera hataki kutumika....unajua Magufuli maji ya shingo sasa hivi anachomekea kila kitu kuokoa jahazi....Chakwera ni mpinzani ni mwanasiasa wa muda mrefu anajua hila za ccm ktk kukwamisha demokrasia. Hata hivyo alikuja tu kwa maslahi ya wana malawi tu.
Mkuu nikuombe sana radhi kweli Area 18 interchange imejengwa na imeanza kutumika
 
Ha ha haaa....mzomeeeni huyu......eti "polish your English" Kwani English is shoes? Ovyo kabisa huyu magwanda
Duu.... Ungeacha tu usijibu, unazidi kujiaibisha. Unaonekana kichwani hamna kabisa. Yaani hii comment imedhihirisha jinsi ulivyo mtupu kichwani "empty headed"
 
Ha ha haaa....mzomeeeni huyu......eti "polish your English" Kwani English is shoes? Ovyo kabisa huyu magwanda
Ndipo ulipofikia hapo.!! 🤣 Do you know of something called "Idiom". If you don't, then it's not my fault, your mum might have buried a baby and preserved the placenta.
 
Marais wa Burundi na Malawi wameitwa na serikali kwa kodi za watanzania ili kuja kupiga kampeni. Kweli Magufuli hajui maana ya uongozi.
Rasilimali za walipa kodi zinatumika na CCM peke yake na sasa TBCCCM na Polisiccm na NECCCM Tumeccm ni vyombo binafsi vya CCM na kibaya zaidi vinalipwa mishahara kwa pesa za walipa kodi lakini vinaitumikia CCM pekee,hayo ni matumizi mabaya ya pesa za umma
 
Ziara ya Rais wa Malawi ilikuwa ya mafanikio makubwa sana.

Karibu tena, Tanzania.
Haikuwa na mafanikio kwani kaikatisha baada ya kugundua kuwa CCM ni waonevu wanyanyasaji wa vyama vyote upinzani wanapenda kesi kesi kuliko hata chakula
 
Utawala wa visasi wapenda kesi kesi amewashitukia kasepa haraka
 
Chakwera anatokana na chama cha MCP ambacho ndicho kilipigania uhuru wa Malawi. Hicho chama kiliondoshwa na Muluzi uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi na sasa kimerudi madarakani.
Ukishatoka madarakani ndo unakuwa mpinzani siyo chama tawala tena
 
Ni nchi gani duniani Rais wa nchi wakati wa kampeni za uchaguzi anaacha urais kwa muda?
Chadema wakt mwingine wanakuwa kama wamechanganyikiwa Mbowe amegombea wenyekiti wa chama wakt bado akiwa mwenyekiti
 
Back
Top Bottom