Rais wa Malawi akatiza ghafla ziara yake nchini Tanzania

Acha kutetea ujinga. Unawezaje kuelezea kitu kwenye lugha usiyojua na ukapata PhD. Putin anajua Kijerumani na wala hana hata diploma kwenye lugha hiyo. Angela Merkel anajua Kirusi wala hana hata degree kwa kutumia lugha hiyo. Condoleeza Rice, former Secretary of State wa US alipata degree kwa lugha ya Kirusi na anaijua vema lugha hiyo.

Huwezi soma na kufundisha hadi ukafikia kuwa PhD holder na hujui lugha uliyotumia. Mwalimu wa Hisabati darasa la tatu ambaye hajui Kiswahili ukimtetea kisa hafundishi somo la Kiswahili utakuwa unatetea ujinga.
 
Hakukatiza ziara, ziara yake ilikuwa ya siku mbili tu na ndivyo alivyofanya Zambia, Zimbabwe na Msumbiji, tafuta Post yangu niliyoandika wakati akiondoka Malawi kuja Tanzania, hilo la siku tatu lilitamkwa huku.
 
Hapana alitumia English kudefend thesis yake hata hivyo alikuwa ni Mwalimu kwahiyo hatutegemei kiingereza kibovu kama kile kutoka kwake labda hiyo Phd iwe feki
Wasomi wangapi wanajua kiingereza vizuri lkn utendaji wao maofisini ni bomu.Wewe unadhani kuongea kiingereza vizuri ndiko kutamfanya Rais kuonekana bora,isije shangaza hata wewe unaedhihaki kiingeza cha Rais ni mbumbumbu.
 
Wasomi wangapi wanajua kiingereza vizuri lkn utendaji wao maofisini ni bomu.Wewe unadhani kuongea kiingereza vizuri ndiko kutamfanya Rais kuonekana bora,isije shangaza hata wewe unaedhihaki kiingeza cha Rais ni mbumbumbu.
Tulia wewe mammalia mshauri huyo jiwe wenu anazidi kulivua Taifa nguo kwa hayo mabroken yake kama phd holder na Mwalimu
 
Sasa hv kampeni zinaendelea marekani.nani Rais wa nchi hiyo.
Ungekuwa kweli unafuatilia masuala ya kisiasa na sio kusombwa na ushabiki basi ungejua kuwa Raia wa Marekani ni D. Trump na anaendelea na urais wake licha ya kuwa anafanya kampeni ili ashinde kwa kipindi cha pili.
 
Umekurupuka kujibu,nimemuuliza anayesema katiba yetu ni tatizo kwamba inatakiwa mtu akiwa rais pindi uchaguzi unapofika atoke madarakani.Halafu kuna mtu kamuuliza ataje nchi japo moja ambayo uchaguzi ukifika rais huwa anaondoka madarakani na anachaguliwa kiongozi wa mpito.Ndo nami nikamuuliza kuhusu Marekani maana ndo nchi wanaiona yenye demokrasia.nikiwa na maana ya kwamba mbona wale wanaojiita walimu wa demokrasia yamewashinda?Rais wao nimgombe ilhali ni rais wa nchi hiyo.
Ungekuwa kweli unafuatilia masuala ya kisiasa na sio kusombwa na ushabiki basi ungejua kuwa Raia wa Marekani ni D. Trump na anaendelea na urais wake licha ya kuwa anafanya kampeni ili ashinde kwa kipindi cha pili.
 
Samahani nilikosea kukujibu wewe badala yule.
 
Kaona hakuna nini....au mahotuba yetu yalikera? Stupid nyingi, fokafoka wa kwenda mbele
 
Has realized that he bears a different feather?
 
Kuna tofauti kati ya kutokujua lugha kabisa na kushindwa kumudu kuongea vizuri hiyo lugha,ni jambo ambalo liko wazi kuwa watanzania wengi hatumudu kuongea vizuri kiingereza ila huwezi kusema hatujui kiingereza kabisa na hivyo huko masomoni tulikuwa hatuelewi masomo sababu lugha ya kufundishia hatuijui.
 
We will follow our own directionsss ... usituretee retee hapa... preeeeease....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…