Jamaa anasema eti alishaishi miaka arobaini
Hahhahahaa anakula good time tu, hivi sio Hoax kweli hao??Basi labda kesha hamisha za kutosha kisha kaamua akaishi na washikaji zake huko. Hawa viongozi wa kizazi hiki ni full uhuni tu
Ameishi sana Tanzania wakati wa harakatiNilimsikia akiongea kiswahili safi voa pale isee imekuwaje tena?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2].. Umeifanya siku yangu iwe byeduhh!! ndiyo maana jpm hapendi viherehere vya kusafiri ona sasa!!!
Yaani unamaanisha...............tulisema sisi hatujaribiwi.....
napitaaa tu
ANAMAANISHA KWAMBA "KAPANDISHWA CHEO NA......."Yaani unamaanisha............
Hahahah. Marekani kutamu banaAnakula bata eti kapotea....tulieni nyie wanyasa mkulu anakula bata makasino atarudi.
yale maandishi pale juu kushoto ni BOMBARDIER ama ?Hapo akianga kuwa harudi tena
Ameishi sana Tanzania wakati wa harakati