Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeyupa ukweli basi... maana katika hali ya kawaida huwezi sema huu ni uwongo kama ukweli huujui...Uwongo mtupu
hapana sio timu nzima, golikipa amepatikanaNi yeye peke yake au na timu yake?
Huyu Rais Peter Mutharika alikuwa raia wa Marekani kwa miaka mingi, kaishi huko muda mwingi wa maisha yake.Isije kuwa kazamia USA . cc nyani ngabu.
Kwa hiyo wewe na sisi mabwana zako unatupataga kwa njia hiyo..?? Maana sijielewagi hadivnakuwa na wewe...Siamini haiwezekani jamani.....kam ni kweli Waende kwa Mganga WAKAANGALIE, Mana utaalam wa kiscience umewashinda.
Naomba nisikujibu.Kwa hiyo wewe na sisi mabwana zako unatupataga kwa njia hiyo..?? Maana sijielewagi hadivnakuwa na wewe...
Asantee....Naomba nisikujibu.
"Asante" kwani huyu bwana amepatikana ?"Asantee....