Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana tunahitaji maoni ya Tundu lissu juu ya bendera za wateja wake kushushwa!Ikiwa ni mwendelezo wake juu ya kupinga masuala ya wanaharakati wa LGBTQ+ amepiga marufuku bendera za upinde kuendelea kupepea.
Amesema kwamba bendera ya taifa hilo inatosha kulinda haki zote za raia wa taifa hilo.
Haya sasa wazee wa upinde kazi kwenu
Ikiwa ni mwendelezo wake juu ya kupinga masuala ya wanaharakati wa LGBTQ+ amepiga marufuku bendera za upinde kuendelea kupepea.
Amesema kwamba bendera ya taifa hilo inatosha kulinda haki zote za raia wa taifa hilo.
Hao mpaka mtumie mabomu ya nguvu
Tunashukuru netanyanhu anafanya kazi ya kitume pale middle eastHao mpaka mtumie mabomu ya nguvu
Au sio 😂Tunashukuru netanyanhu anafanya kazi ya kitume pale middle east
HakikaAongezewe ulinzi.
Huyo raisi ni mwehu, miaka minne atakayokaa madarakani ataivuruga sana Marekani na dunia kwa ujumla.Aongezewe ulinzi.
Kamuulize Aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo waliomwandikia Makonda Barua ya Onyo akikemea ushoga.Safi sana tunahitaji maoni ya Tundu lissu juu ya bendera za wateja wake kushushwa!
Suphian Juma yupo kufafanua Hilo.Safi sana tunahitaji maoni ya Tundu lissu juu ya bendera za wateja wake kushushwa!
Taratibu wanajitokezaHuyo raisi ni mwehu, miaka minne atakayokaa madarakani ataivuruga sana Marekani na dunia kwa ujumla.
Ni kama Tanzania ilivyotawaliwa na Magufuli, mental disease!