Rais wa Nchi anaitwa Nyapara! CHADEMA ni vyema muwadhibiti hawa vijana wenu akiwemo Mdude

Rais wa Nchi anaitwa Nyapara! CHADEMA ni vyema muwadhibiti hawa vijana wenu akiwemo Mdude

Mufti kuku The Infinity

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2019
Posts
6,053
Reaction score
10,032
Rejea kichwa tajwa hapo juu

Mimi binafsi natamani CCM iondoke madarakani. Lakini wakuiondoa ni Akiwemo Mdude?

Chadema jifunzeni. Hawa wajinga wataharibu image yenu mliyoijenga kwa muda mrefu

Mkanyeni huyu. Kuitukana Taasisi ya uRais ni kosa, anaweza kupotezwa vibaya sana

Screenshot_20220820-131654.jpg

Huyu ndio ubongo/kichwa wa Chadema........ Aisee

Lugha chafu hadi kinyaa
 

Attachments

  • Screenshot_20220824-183225.jpg
    Screenshot_20220824-183225.jpg
    87.1 KB · Views: 6
Rejea kichwa tajwa hapo juu

Mimi binafsi natamani CCM iondoke madarakani
Lakini wakuiondoa ni haya mazuzu?? Akiwemo Mdude

Chadema jifunzeni....hawa wajinga wataharibu image yenu mliyoijenga kwa muda mrefu

Mkanyeni huyu mjinga....kuitukana Taasisi ya uRais ni kosa...anaweza kupotezwa vibaya sana
Kama wanaingia madarakani kwa kunajisi uchaguzi unataka wapewe heshima gani?
 
Rejea kichwa tajwa hapo juu

Mimi binafsi natamani CCM iondoke madarakani
Lakini wakuiondoa ni haya mazuzu?? Akiwemo Mdude

Chadema jifunzeni....hawa wajinga wataharibu image yenu mliyoijenga kwa muda mrefu

Mkanyeni huyu mjinga....kuitukana Taasisi ya uRais ni kosa...anaweza kupotezwa vibaya sana
Mi ni muumini mkubwa wa nidhamu, no matter what, ikifika hali kama hili natamani angekuwepo yule jamaa!!!!
 
Rejea kichwa tajwa hapo juu

Mimi binafsi natamani CCM iondoke madarakani
Lakini wakuiondoa ni haya mazuzu?? Akiwemo Mdude

Chadema jifunzeni....hawa wajinga wataharibu image yenu mliyoijenga kwa muda mrefu

Mkanyeni huyu mjinga....kuitukana Taasisi ya uRais ni kosa...anaweza kupotezwa vibaya sana
Haka kajinga wangekasaga na kuja kuokotwa kwenye viroba huko..

Ujue hata kwenye biblia kuna wafalme waliagizwa na Mungu kuua watu wasio na maslahi na Nchi..

Ni Afya kupoteza Mtu mmja kama huyo kwa faida ya wengi..

Eti hao ndio viongozi wa chadomo wanataka kuchaguliwa.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu vipi tena mbona unataka kuumbua watu mchana wote huu ilhali ugali wa shemeji ndiyo kwanza umefika tumboni?!!!!!
hapana mkuu sio kuumbua watu ni kutaka kujua tu ili nasi tusiojua tujue anachokipambania mwenzetu kama kina maslahi kwa Taifa basi tunaahidi kushirikiana tupambanie pamoja
 
Back
Top Bottom