Rais wa Nchi anaitwa Nyapara! CHADEMA ni vyema muwadhibiti hawa vijana wenu akiwemo Mdude

Rais wa Nchi anaitwa Nyapara! CHADEMA ni vyema muwadhibiti hawa vijana wenu akiwemo Mdude

Rejea kichwa tajwa hapo juu

Mimi binafsi natamani CCM iondoke madarakani
Lakini wakuiondoa ni haya mazuzu?? Akiwemo Mdude

Chadema jifunzeni....hawa wajinga wataharibu image yenu mliyoijenga kwa muda mrefu

Mkanyeni huyu mjinga....kuitukana Taasisi ya uRais ni kosa...anaweza kupotezwa vibaya sana

Unaita wenzako mazuzu halafu unajiona mwema wakati nawe ni wale wale.
 
Haka kajinga wangekasaga na kuja kuokotwa kwenye viroba huko..

Ujue hata kwenye biblia kuna wafalme waliagizwa na Mungu kuua watu wasio na maslahi na Nchi..

Ni Afya kupoteza Mtu mmja kama huyo kwa faida ya wengi..

Eti hao ndio viongozi wa chadomo wanataka kuchaguliwa.
Tuliza tundu lako la nyuma aiseee.
Wacha watu waseme wanachoona kina wafaa hiyo ndio demokrasia.
Kama unaona kuna kosa milango ya mahakama ipo wazi nenda kafungue shauri.
Unatishia kuua mtu nani atakayeishi milele?
 
Ujinga umewajaa mataga hii tabia ya uchawa Ni ya hovyo...
Watu wanalia tozo ,ugumu wa maisha na kupanda bei vitu nyie mnatuletea mambo madogo..
 
Nadhani unafananisha Urais na Ufalme..., Na kinachoongelewa sio Taasisi ni aliyepo pale...

Na wewe nakushauri kumwambia ukweli huyo Mtumishi wako (sababu anakutumikia wewe mwananchi) kuacha kusema ukweli kunaweza kumfanya adhani she / he is doing okay kwahio kuendelea kutuumiza sisi maboss wake
 
Rejea kichwa tajwa hapo juu

Mimi binafsi natamani CCM iondoke madarakani
Lakini wakuiondoa ni haya mazuzu?? Akiwemo Mdude

Chadema jifunzeni....hawa wajinga wataharibu image yenu mliyoijenga kwa muda mrefu

Mkanyeni huyu mjinga....kuitukana Taasisi ya uRais ni kosa...anaweza kupotezwa vibaya sana

..kwanza tuonyeshe sheria inayoelekeza kwamba mtu akimtukana raisi au taasisi ya uraisi apotezwe au auwawe.

..kwa maoni yangu kauli yako ni mbaya kuliko alichoandika Mdude Nyagali.

..kauli yako ni ya kikatili. Pia inaashiria au inatuhumu kwamba " taasisi ya uraisi " hapa Tz haifuati sheria, inapoteza au kuua watu.

..Ni bora tuwe na wakina Mdude elfu moja kuliko kuwa na mtu mmoja mwenye mawazo ya kijima na kikatili kama wewe.
 
nilitegemea kama angekuwa mtu mwenye hoja za kweli na zenye mashiko mpaka sasa tungeshapata jibu,tatizo wengi wetu tumekataa kuwa bendera fuata upepo

Naona unajiuliza na kujijibu mwenyewe. Ina maana hujui tofauti ya rasimu ya warioba na tulionayo Sasa?. Rasimu ya warioba Ina taka tuwe na serikali tatu, tuwe na wabunge wawili kila mkoa, tuwe na speaker r asiye mbunge, tuwe na ukomo wa ubunge miaka kumi, nafasi za ukuu wa mkoa na Wilaya zisiwepo, televisheni ya taifa isiyoegemea popote, Tume huru ya uchaguzi, wananchi kumkataa mbunge wao iwapo hawajibiki nk
 
Sawa mkuu. ngoja nami nikae mguu sawa nijiandae kupata hiyo elimu kutoka kwa huyo mkuu mwenzetu ambaye, bila shaka, ameona ombi lako. Naamini leo watu wanaenda kuelewa kitu kuhusu hii hoja ya 'Katiba ya Warioba! Katiba ya Warioba!' kila siku.

Acheni kufanya dhihaka, unajiuliza na kujijibu mwenyewe. Watu wenye mentality ya kujifanya hawajui kitu wakati wanajua kiss unafiki ndio wanafanya serikali itoze Kodi na tozo kwenye kitu kimoja.
 
Nakukumbusha tu kuwa yule takataka hatunae tena na ni mwisho kuongozwa na washamba kutoka huko!

Alikua na mabaya yake na mazuri pia, so, acha kumsema.

Mama samia namkubali, na ccm ni heri iendelee, so, achieni chama chenu tukiendeshe wa kanda ya ziwa.
 
Rejea kichwa tajwa hapo juu

Mimi binafsi natamani CCM iondoke madarakani
Lakini wakuiondoa ni haya mazuzu?? Akiwemo Mdude

Chadema jifunzeni....hawa wajinga wataharibu image yenu mliyoijenga kwa muda mrefu

Mkanyeni huyu mjinga....kuitukana Taasisi ya uRais ni kosa...anaweza kupotezwa vibaya sana
mkuu walivyisema huyo jamaa anatumia sembe na kuiuza hawakukisea sema polisi walikosea taratibu za kuandaa jalada
 
Watanzania Kaka

Magu alipendwa Sana na watanzania

Huyu magu aliye engua wagombea wa upinzani na kuzima internet siku ya uchaguzi. Kama Kuna mgombea wa CCM alipendwa bila ubishi alikuwa kikwete mwaka 2005. Hawa wengine ni kujilazimisha kupendwa.
 
Back
Top Bottom