Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Wakati wa bob makani na chama chake (Chadema) ujinga kama huu hukuwepo,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilitegemea kama angekuwa mtu mwenye hoja za kweli na zenye mashiko mpaka sasa tungeshapata jibu,tatizo wengi wetu tumekataa kuwa bendera fuata upepo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu vipi tena mbona unataka kuumbua watu mchana wote huu ilhali ugali wa shemeji ndiyo kwanza umefika tumboni?!!!!!
Sawa mkuu. ngoja nami nikae mguu sawa nijiandae kupata hiyo elimu kutoka kwa huyo mkuu mwenzetu ambaye, bila shaka, ameona ombi lako. Naamini leo watu wanaenda kuelewa kitu kuhusu hii hoja ya 'Katiba ya Warioba! Katiba ya Warioba!' kila siku.hapana mkuu sio kuumbua watu ni kutaka kujua tu ili nasi tusiojua tujue anachokipambania mwenzetu kama kina maslahi kwa Taifa basi tunaahidi kushirikiana tupambanie pamoja
Inawezekana anapitia kidogo mkuu, don't jump to conclusion!nilitegemea kama angekuwa mtu mwenye hoja za kweli na zenye mashiko mpaka sasa tungeshapata jibu,tatizo wengi wetu tumekataa kuwa bendera fuata upepo
Unadhani hatukuona ule uhayawani uliofanyika kwenye uchafuzi mkuu?
Anza kumpoteza babaako kama unaye, ili uone raha ya kupotelewa na mwanafamilia.Haka kajinga wangekasaga na kuja kuokotwa kwenye viroba huko..
Ujue hata kwenye biblia kuna wafalme waliagizwa na Mungu kuua watu wasio na maslahi na Nchi..
Ni Afya kupoteza Mtu mmja kama huyo kwa faida ya wengi..
Eti hao ndio viongozi wa chadomo wanataka kuchaguliwa.
Kuita rais nyapara sioni tatizo. Watanzania wengi wana tatizo la nidhamu iliyopitiliza na "lese majeste" ya kujitakia.Rejea kichwa tajwa hapo juu
Mimi binafsi natamani CCM iondoke madarakani
Lakini wakuiondoa ni haya mazuzu?? Akiwemo Mdude
Chadema jifunzeni....hawa wajinga wataharibu image yenu mliyoijenga kwa muda mrefu
Mkanyeni huyu mjinga....kuitukana Taasisi ya uRais ni kosa...anaweza kupotezwa vibaya sana
Hahaha watanzania waliamua kutochagua upinzani
Watanzania au usalama wa taifa?
Huyo kichaa wenu kaanza leo?Anza kumpoteza babaako kama unaye, ili uone raha ya kupotelewa na mwanafamilia.
Ok, Mdude kakosea, je inakupa uhalali wa kushauri auwawe?
Unajua dhamani ya uhai, au ukishashakuwa chawa akili zinahamia kwingine,
Watanzania Kaka
Magu alipendwa Sana na watanzania
Alipendwa kisha akaagiza wapinzani waenguliwe ili wagombea wa CCM wapite bila kupingwa. Ukipendwa unapika idadi ya wapiga kura!
Bwana Mahera atataushahidi
Katiba ya sasa inakunyima fursa Gani
Nakukumbusha tu kuwa yule takataka hatunae tena na ni mwisho kuongozwa na washamba kutoka huko!Waabheja sana infinity, Ubarikiwe
Bora ccm iendelee, hawa wakiingia sijui kama hawataigawa hii nchi jamani, hiki chama kimejaa ukanda, ukabila, udini. Ni heri ccm twendeleenayo.
Hicho chama ni heri tukakishika sisi wa kanda ya ziwa, kwanza tupo wengi, na pia ni wavumilivu.
Eti bwashee, tuiondoe ccm madarakani halafu tunayaweka mazuzu kama kina mdude, lisu, nk? Basi hii itakuwa nchi ya mazuzu tupu!Mimi binafsi natamani CCM iondoke madarakani
Lakini wakuiondoa ni haya mazuzu?? Akiwemo Mdude