mbari sa menya
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,002
- 1,891
Kwa hiyo ndio auwawe? Mpelekeni mahakamani,Huyo kichaa wenu kaanza leo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ndio auwawe? Mpelekeni mahakamani,Huyo kichaa wenu kaanza leo?
Kama Lisu akiwa zuzu, wewe utakuwa zumbukuku,Eti bwashee, tuiondoe ccm madarakani halafu tunayaweka mazuzu kama kina mdude, lisu, nk? Basi hii itakuwa nchi ya mazuzu tupu!
Wewe ni taahira kabisaNaona nimegonga penyewe, povu kama lote! Kumbe na wewe umo kwenye kundi la mazuzu? Orodha inaongezeka, mdude, lisu, sagai galgano, etc
Safi Sana mkuu. Ubongo wako naomba ugawiwe kwa watanzania wote ili wawe na akili nzuri Kama yako"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
Mapandikizi ndio huwa yanakua na akili mbovu hivi?... huyo jamaa nahisi ni pandikizi liko kazini.
Kwa hiyo ndio auwawe? Mpelekeni mahakamani,
Nyapara sio tusi kabla ya kujenga hoja fanya uchunguzi wa uzito wa hoja yakoRejea kichwa tajwa hapo juu
Mimi binafsi natamani CCM iondoke madarakani
Lakini wakuiondoa ni haya mazuzu?? Akiwemo Mdude
Chadema jifunzeni....hawa wajinga wataharibu image yenu mliyoijenga kwa muda mrefu
Mkanyeni huyu mjinga....kuitukana Taasisi ya uRais ni kosa...anaweza kupotezwa vibaya sana
Na hiki ndicho wengi hawakioni.Kuita rais nyapara sioni tatizo. Watanzania wengi wana tatizo la nidhamu iliyopitiliza na "lese majeste" ya kujitakia.
Uongozi gunia la chawa. Moja ya mishahara ya uongozi ni kuitwa majina ya kila aina, kwa haki na bila haki.
Tatizo Mtanzania anapopendekeza rais wa Kenya kuwa rais wa Afrika.
Ina maana yeye kashakubali chama chake hakiwezi kupata uongozi wa nchi yake kikaongoza nchi na Afrika.
Hii ni kauli ya mtu asiyejitambua na aliyekata tamaa.
Nyapara sio tusi kabla ya kujenga hoja fanya uchunguzi wa uzito wa hoja yakoRejea kichwa tajwa hapo juu
Mimi binafsi natamani CCM iondoke madarakani
Lakini wakuiondoa ni haya mazuzu?? Akiwemo Mdude
Chadema jifunzeni....hawa wajinga wataharibu image yenu mliyoijenga kwa muda mrefu
Mkanyeni huyu mjinga....kuitukana Taasisi ya uRais ni kosa...anaweza kupotezwa vibaya sana
Kuna yule aliyesema watumia sindano ya sumu kumwua Lissu, baada ya risasi kushindwa,..Ccm wanaamini wana haki zote dhidi ya wapinzani, ikiwemo kuwatukana, na hata kuwauwa.
..mara nyingi utawasikia vijana wa Ccm wakitukana matusi makubwa makubwa viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani, na kutishia kuwadhuru au kuwauwa.
Eti bwashee, tuiondoe ccm madarakani halafu tunayaweka mazuzu kama kina mdude, lisu, nk? Basi hii itakuwa nchi ya mazuzu tupu!
Alikua na mabaya yake na mazuri pia, so, acha kumsema.
Mama samia namkubali, na ccm ni heri iendelee, so, achieni chama chenu tukiendeshe wa kanda ya ziwa.
unapoulizwa swali na usipojibu kwa wakati tutajipa jibu wenyewe,nakuuliza tena kwa hoja hizo wewe kama mwananchi unafaidikaje...kwa mtazamo wangu hizo hoja zote zina maslahi kwa wanasiasa na sio mwananchi wa kawaida kama mimi wa huku kijijini Bulyaambheshi,Naona unajiuliza na kujijibu mwenyewe. Ina maana hujui tofauti ya rasimu ya warioba na tulionayo Sasa?. Rasimu ya warioba Ina taka tuwe na serikali tatu, tuwe na wabunge wawili kila mkoa, tuwe na speaker r asiye mbunge, tuwe na ukomo wa ubunge miaka kumi, nafasi za ukuu wa mkoa na Wilaya zisiwepo, televisheni ya taifa isiyoegemea popote, Tume huru ya uchaguzi, wananchi kumkataa mbunge wao iwapo hawajibiki nk
Sawa NYAPARANyapara sio tusi kabla ya kujenga hoja fanya uchunguzi wa uzito wa hoja yako
Anaharibu image ya chama kwa kujua au bila ya kujuaHuyo jamaa ni jitu la ovyo sana, sijawahi kumkubali kabisa.
Chadema wampige marufuku kutumia jina la chama kwenye jina lakeMi ni muumini mkubwa wa nidhamu, no matter what, ikifika hali kama hili natamani angekuwepo yule jamaa!!!!
🤣🙌Haka kajinga wangekasaga na kuja kuokotwa kwenye viroba huko..
Ujue hata kwenye biblia kuna wafalme waliagizwa na Mungu kuua watu wasio na maslahi na Nchi..
Ni Afya kupoteza Mtu mmja kama huyo kwa faida ya wengi..
Eti hao ndio viongozi wa chadomo wanataka kuchaguliwa.
Eti "Am back from prison" 🤣Hiyo ni mental case.