Rais wa Nchi anaitwa Nyapara! CHADEMA ni vyema muwadhibiti hawa vijana wenu akiwemo Mdude

Rais wa Nchi anaitwa Nyapara! CHADEMA ni vyema muwadhibiti hawa vijana wenu akiwemo Mdude

Kabla ya kuhamaki kwanza ungetufahamisha ni nini maana ya neno NYAPARA?

Tangu nimezaliwa sijawahi kuambiwa au kutahadaharishwa kuwa neno NYAPARA ni tusi

Ni sawa na kuniambia kuwa kumwita Rais wa nchi MSIMAMIZI/KAMANDA au KIONGOZI wa nchi ni kumtukana

Vijana wa CCM Muwe mnajiuliza kwanza kabla ya kuandika ona sasa umepoteza muda kututhibishia kuwa akili vijana wa CCM zimeganda

Nenda kaote moto ziyeyuke ili uweze kufikiria nje ya BOX usikariri mambo kwa chuki
Maadam limetumiwa na mdude hio ndio maana yake
Yule kijana hana staha wala adabu
Ukimtetea utawekwa kundi moja na yeye
 
Magufuli aliitwa jiwe , bulldozer. N.k. na wengi hapa mlifurahia sana kumuita hivyo.

Kama nyapara ni tusi basi huko magereza viongozi wa wafungwa wangepewa jina jingine.
 
Rejea kichwa tajwa hapo juu

Mimi binafsi natamani CCM iondoke madarakani. Lakini wakuiondoa ni Akiwemo Mdude?

Chadema jifunzeni. Hawa wajinga wataharibu image yenu mliyoijenga kwa muda mrefu

Mkanyeni huyu. Kuitukana Taasisi ya uRais ni kosa, anaweza kupotezwa vibaya sana

View attachment 2329236
us.png


Acha bange wewe takataka. Tatizo la nchi zenye utawala wa IMLA, kila mpuuzi anajiona anaweza kutisha watu
 
Hamtaki kuwa sehemu ya michakato ya kisiasa kwa kuamua kubakia mitandaoni CCM ndio wapo hai katika masuala yote ya kisiasa na wanapigiwa kura na watu wanaojishughulisha na siasa, mmeamua kususia siasa mmebakia kutukana wale wanaozipenda siasa, hakuna wa kuwazuia kufanya mnalopenda.

Hao kina Mdude enzi za JPM walikiona cha moto awamu hii wamepewa uhuru wafungue midomo yao lakini waheshimu mamlaka zilizopo kihalali. Hata kama wanapiga kura na asilimia 40 ya watanzania wote bado hao wanaochaguliwa ni halali kwani wanatokana na mchakato halali wa uchaguzi.

Mdude awe na adabu.

Mchakato halali upi, au unadhani hatukuona yaliyotokea uchaguzi wa 2020? Ukitaka heshima hakikisha unaheshimu uchaguzi, hata kama utachaguliwa na watu 10 lakini iwe kihalali ili uwe na uhalali wa kudai heshima.

Hakuna aliyesusia siasa bali tunaona kwa macho yetu nguvu za dola zinavyotumika dhidi ya wapinzani. Usitake kuleta upotoshaji ili ionekane wapinzani wamesusia siasa, bali CCM ndio wanaofanya siasa. Kwa taarifa yako siasa zikiachwa zifanywe kwa mujibu wa sheria, CCM haiwezi kuendelea kutawala nchi hii, na CCM kwa kulijua hilo ndio maana wamebakiza hujuma tu ili waendelee kukaa madarakani.
 
Maadam limetumiwa na mdude hio ndio maana yake
Yule kijana hana staha wala adabu
Ukimtetea utawekwa kundi moja na yeye

Wenye adabu ndio hao wanaopora uchaguzi? Kwa jinsi chaguzi zetu zinavyokuwa za kishenzi, ni ngumu kumlaumu Mdude, kwani ni kama anatukana washenzi wenye madaraka. Kwa bahati mbaya mnataka kutuaminisha ukiwa na madaraka basi una heshima. Heshima halisi inatokana na jinsi unavyoingia madarakani.
 
Wenye adabu ndio hao wanaopora uchaguzi? Kwa jinsi chaguzi zetu zinavyokuwa za kishenzi, ni ngumu kumlaumu Mdude, kwani ni kama anatukana washenzi wenye madaraka. Kwa bahati mbaya mnataka kutuaminisha ukiwa na madaraka basi una heshima. Heshima halisi inatokana na jinsi unavyoingia madarakani.
Ok👏
 
Mchakato halali upi, au unadhani hatukuona yaliyotokea uchaguzi wa 2020? Ukitaka heshima hakikisha unaheshimu uchaguzi, hata kama utachaguliwa na watu 10 lakini iwe kihalali ili uwe na uhalali wa kudai heshima.

Hakuna aliyesusia siasa bali tunaona kwa macho yetu nguvu za dola zinavyotumika dhidi ya wapinzani. Usitake kuleta upotoshaji ili ionekane wapinzani wamesusia siasa, bali CCM ndio wanaofanya siasa. Kwa taarifa yako siasa zikiachwa zifanywe kwa mujibu wa sheria, CCM haiwezi kuendelea kutawala nchi hii, na CCM kwa kulijua hilo ndio maana wamebakiza hujuma tu ili waendelee kukaa madarakani.
CCM wanafanya mengi sana tatizo uhuru wa habari unatumiwa vibaya na watu wa media na siku zote kunakuwa na upotoshwaji au uelewa mbaya wa jamii kuhusiana na habari za kile kinachofanyika.

Jamii inayopotoshwa na media inajenga tabia ya kupotoshana na kile kinachofanyika kinaonekana ni kwa lengo la kuumiza watu, sio kweli hata kidogo hiyo ni dhana potofu,

Kila mtu analalamikia tozo na kodi kwa sasa lakini hiyo pesa inakwenda kufanya mengi sana tena ya muhimu.

Inakwenda kumalizia ukarabati wa bandari zote, inakwenda kujenga zahanati na shule kila mkoa, inakwenda kuhudumia wazee na kushughulikia masuala ya mishahara.


Ni mengi yanayofanyika lakini watu haswa wa mijini wanakuja na taswira potofu siku zote na kinachofanywa kwa nia njema kinaonekana kama ni kupaka rangi upepo.
 
CCM wanafanya mengi sana tatizo uhuru wa habari unatumiwa vibaya na watu wa media na siku zote kunakuwa na upotoshwaji au uelewa mbaya wa jamii kuhusiana na habari za kile kinachofanyika.

Jamii inayopotoshwa na media inajenga tabia ya kupotoshana na kile kinachofanyika kinaonekana ni kwa lengo la kuumiza watu, sio kweli hata kidogo hiyo ni dhana potofu,

Kila mtu analalamikia tozo na kodi kwa sasa lakini hiyo pesa inakwenda kufanya mengi sana tena ya muhimu.

Inakwenda kumalizia ukarabati wa bandari zote, inakwenda kujenga zahanati na shule kila mkoa, inakwenda kuhudumia wazee na kushughulikia masuala ya mishahara.


Ni mengi yanayofanyika lakini watu haswa wa mijini wanakuja na taswira potofu siku zote na kinachofanywa kwa nia njema kinaonekana kama ni kupaka rangi upepo.

Serekali yoyote ina wajibu wa kufanya haya. Tunachotaka ni kuingia madarakani kwa ridhaa ya umma. Kama watu wameichoka CCM ikae pembeni wengine nao waongoze.
 
CCM wanafanya mengi sana tatizo uhuru wa habari unatumiwa vibaya na watu wa media na siku zote kunakuwa na upotoshwaji au uelewa mbaya wa jamii kuhusiana na habari za kile kinachofanyika.

Jamii inayopotoshwa na media inajenga tabia ya kupotoshana na kile kinachofanyika kinaonekana ni kwa lengo la kuumiza watu, sio kweli hata kidogo hiyo ni dhana potofu,

Kila mtu analalamikia tozo na kodi kwa sasa lakini hiyo pesa inakwenda kufanya mengi sana tena ya muhimu.

Inakwenda kumalizia ukarabati wa bandari zote, inakwenda kujenga zahanati na shule kila mkoa, inakwenda kuhudumia wazee na kushughulikia masuala ya mishahara.


Ni mengi yanayofanyika lakini watu haswa wa mijini wanakuja na taswira potofu siku zote na kinachofanywa kwa nia njema kinaonekana kama ni kupaka rangi upepo.
Ndugu yangu. Tatzo lako unatufanya watanzania ni wajinga sana. Hizo tozo zingekua zinafanya kazi vizur Wala watu wasingelalamika.

Unatataje mfanyakazi Kodi mara mbili kwenye hela Ile Ile.

Viongozi wetu hawana hata uchungu na kinachokusanywa. Mfano muda huu wa vita kila kitu serikali inasingizia vita ya Ukraine. Mafuta Yana mda mrefu yameshuka kwenye soko la Dunia lakin huku kwetu mafuta yako juu. Zanzibar mafuta ni 2500 kwa lita kwanini huku yako juu.

Viongozi hawanabi matumizi ni matanuzi tu bila kuangalia nchi Iko kwenye hali Gani wao ni tozo tuu. Msafara wa rais unakua na magar Zaid ya 80. Waziri zaidi ya 50 Sasa huo uzalendo mnaotumbia tunautoa wapi ili hali viongozi hawana uzalendo.

Kuna mdau mmoja alichambua kule tweeter kua mwigulu amesain mkataba wa matirion ya hela ya Ujenzi wa reli kuelekea kigoma akawa ameweka Cha juu 1.5 tirion Leo mnatambia tuwe wazalendo kweli.

Nchi imejaa utajiri wa kila aina wewe unangangania kwenye tozo tuu.
 
Mdude ana historia ngumu sana. Hajui hata wazazi wake wako wapi, wala hajui kwao ni wapi. Hata viongozi wa CDM hawajui whether ni Mtanzania au Mkongo. Jina Nyagari halipo kwenye makabila yote yanayopatikana mikoa ya Songwe, Mbeya na Rukwa. Alizaliwa akajikuta anaishi tu na wasamaria wema. Up bringing yake ndiyo inamfanya awe kama myama, yaani fearless.

Na kipindi cha Magufuli alilawitiwa zaidi ya mara 5 na watekaji wake hivyo haoni thamani yake ya kuwa mwanaume.

Siyo kwamba ana ujasiri bali maisha kwake hayana maana. Yuko kama mnyama akifa sawa, akijeruhiwa sawa, akilala shimoni sawa.

Mwenye akili nzuri, malezi na familia hawezi kutoa kauli kama hizo anazozitoa Mdude kwa Rais Samia. Ni Samia huyo huyo aliyekemea ubambikizaji kesi hadi Mdude akatoka kwenye mateso ya jela.
 
Huyu jamaa hata matatizo aliyopitia enzi za mwendazake ni kujitakia ingawa sikubaliani na mateso aliyopewa.

Huwezi kujenga hoja kwa kutukana viongozi tu kisa mnapishana itikadi za siasa hata kama wanakosea siyo kuwatusi, kwenye familia ni dhambi kumtusi baba yako,au ukiwa baba wa familia kutukana mke hata watoto kwa maneno machafu ni kukosa maadili.
Sasa kwa viongozi wa siasa walio na temper au kutukana system na kuwadhalilisha mbele ya jamii lazima wakupitishe kwenye misukosuko.
Neno NYAPARA sio tusi ni jina lililotumiwa kuwakilisha aina ya utawala wa SSH.

Kwa mfano:

Magufuli aliitwa CHUMA na Kikwete wakati wa utambulisho wa kampeni pale Jangwani Je, hilo lilikua tusi???

Lakini pia kwenye mabango ya kampeni Magufuli alitambulishwa kama BULLDOZER Je, hilo nalo lilikua tusi???

Haikuishia hapo baada ya utawala wake wa mkono wa CHUMA alijipatia umaarufu kwa jina la JIWE Je, nalo hilo lilikua Tusi???

Mbona hatukusikia watu mnalalama kuhusu hilo sanasana majina hayo yalikua kwa Kasi baada ya viongozi waandamizi kuyaakisi kwa na kuyatumia majukwaani kumsifu yule MDHALIMU tena kwa kujipendekeza.

Sikiliza bana neno NYAPARA linamaanisha MSIMAMIZI/KIONGOZI wa kundi la wafanyakazi wasio na ujuzi (VIBARUA) amabao wanafanya kazi za mikono (MANPOWER) Viwandani, Migodini, Mashambani, Gerezani n.k.

Mdude kawasilisha kisifa kwa SSH kulingana na aina ya utawala wake, kama ilivyokuwa kwa watungulizi wake, kama Mzee Rukhsa (A.H Mwinyi), Jiwe (J.P Magufuli)

Kama ilivyo kwa kazi za VIBARUA bila kujali maumivu anayoyapata Kibarua, midhali anaihitaji mlo au posho inamlazimu afanye hicho kibarua bila ya kujali ugumu wa kazi au maumivu atakayoyapatia.

Same applicable kwa SSH, leo tumejaziwa TOZO lukuki licha ya malalamiko kutoka kwa wananchi, ndio Kwanzaa tunaambiwa asie weza ahamie Burundi, kwa maana ya kwamba haijalishi ugumu wala maumivu tunayoyapatia TOZO lazima ilipwe.

Sasa huo kama sio UNYAPARA ni nini?? Hapo mdude katukana wapi??? acheni chuki binafsi mdude hajatukana nyinyi ndio mnajitukana wapumbavu wakubwa nyie

Japo naamini hilo neno wapumbavu kuna mtu atahisi nimetukana nakumbe nimesema ukweli kwa sababu MPUMBAVU ni mtu aneshindwa kuelewa kinacho eleweka.

Na nyinyi mmeshindwa kuelewa kuwa NYAPARA sio tusi
 
Na kama mpumvavu mdude anauona uchaguzi wa kenya ulikuwa credible kwake!

Atuambie kesi ya Raila inahusu nini?
 
Back
Top Bottom