Rais wa Nchi anaitwa Nyapara! CHADEMA ni vyema muwadhibiti hawa vijana wenu akiwemo Mdude

Rais wa Nchi anaitwa Nyapara! CHADEMA ni vyema muwadhibiti hawa vijana wenu akiwemo Mdude

Mdude ana historia ngumu sana. Hajui hata wazazi wake wako wapi, wala hajui kwao ni wapi. Hata viongozi wa CDM hawajui whether ni Mtanzania au Mkongo. Jina Nyagari halipo kwenye makabila yote yanayopatikana mikoa ya Songwe, Mbeya na Rukwa. Alizaliwa akajikuta anaishi tu na wasamaria wema. Up bringing yake ndiyo inamfanya awe kama myama, yaani fearless.

Na kipindi cha Magufuli alilawitiwa zaidi ya mara 5 na watekaji wake hivyo haoni thamani yake ya kuwa mwanaume.

Siyo kwamba ana ujasiri bali maisha kwake hayana maana. Yuko kama mnyama akifa sawa, akijeruhiwa sawa, akilala shimoni sawa.

Mwenye akili nzuri, malezi na familia hawezi kutoa kauli kama hizo anazozitoa Mdude kwa Rais Samia. Ni Samia huyo huyo aliyekemea ubambikizaji kesi hadi Mdude akatoka kwenye mateso ya jela.
Aisee
 
mkuu kama hutojali hebu tuambie hiyo rasimu ya Warioba inasemaje na hii iliyopo inasemaje
Ya warioba imempunguzia madarakani makubwa Rais na iloyopo imemrundikia madaraka anayoshindwa kuyabeba mwisho anayatumia vibaya
 
Ya warioba imempunguzia madarakani makubwa Rais na iloyopo imemrundikia madaraka anayoshindwa kuyabeba mwisho anayatumia vibaya
hii inakusaidiaje wewe kama mwananchi ambaye sio mwanasiasa na ni madaraka gani hayo yaliyopunguzwa na yaliyoongezwa
 
According to her Performance, she deserves! Tozo is termed as the major source of income to her leadership. Unaweza kushusha hadhi yako mwenyewe kwa vitendo na uwezo wako. Niko zambia kwa anayestahili kuitwa rais.
 
hii inakusaidiaje wewe kama mwananchi ambaye sio mwanasiasa na ni madaraka gani hayo yaliyopunguzwa na yaliyoongezwa
Usipende kufafanuliwa kila kitu jiongeze na ww. Kwa hyo hujui maamzi ya rais kuwa yanayo impacts directly ama indirectly kwa wananchi?
 
Hawa ndio vijana wanaopambania katiba mpya ili waongoze nchi. Ndio maana nikionaga mijadala ya katiba mpya naonaga ni takataka tu maana inapambaniwa na watu wajinga wajinga kama mdude walio katika mwavuli wa Siasa
 
Katiba ya sasa inakunyima fursa Gani
Km bei ya mafuta kuwa juu kulko zanzibar! Tozo kujaa bara kulko zanzibar, serikali pendekezwa za katiba ya warioba zingepunguza uzandiki huo.
 
Hawa ndio vijana wanaopambania katiba mpya ili waongoze nchi. Ndio maana nikionaga mijadala ya katiba mpya naonaga ni takataka tu maana inapambaniwa na watu wajinga wajinga kama mdude walio katika mwavuli wa Siasa
Angalia umhimu wake syo wanaopambania. Halafu katiba haipambaniwi ili kunufaisha vyama pinzani, futa fikra mfu hizo
 
Km bei ya mafuta kuwa juu kulko zanzibar! Tozo kujaa bara kulko zanzibar, serikali pendekezwa za katiba ya warioba zingepunguza uzandiki huo.
Ujinga ni kitu kibaya sana asee. Haya kenya na katiba yao mpya mnayosifiaga mbn kilo ya unga wa mahindi imefika 4200 . Hv unadhani katiba mpya inaweza kufanya maisha kuwa marais asee unajidanganya sana maisha rahisi yanatokana na uwajibikaji wa kila Raia na kiongozi na pia kama viongozi wako hawana nidhamu kazini katiba mpya inakuwa pale kama kopo . Mfano ni kenya pamoja na katiba yao mpya viongozi wanaendelea kufuja mali za umma tu
 
Haka kajinga wangekasaga na kuja kuokotwa kwenye viroba huko..

Ujue hata kwenye biblia kuna wafalme waliagizwa na Mungu kuua watu wasio na maslahi na Nchi..

Ni Afya kupoteza Mtu mmja kama huyo kwa faida ya wengi..

Eti hao ndio viongozi wa chadomo wanataka kuchaguliwa.
biblia ipi hiyo unayosoma peke yako au??
 
Ujinga ni kitu kibaya sana asee. Haya kenya na katiba yao mpya mnayosifiaga mbn kilo ya unga wa mahindi imefika 4200 . Hv unadhani katiba mpya inaweza kufanya maisha kuwa marais asee unajidanganya sana maisha rahisi yanatokana na uwajibikaji wa kila Raia na kiongozi na pia kama viongozi wako hawana nidhamu kazini katiba mpya inakuwa pale kama kopo . Mfano ni kenya pamoja na katiba yao mpya viongozi wanaendelea kufuja mali za umma tu
Akili zako kuchanganua nilichokisema ndo imekomea hapo??!! Hebu rejea tena utumie akili kutafakari kulko uji wa sasa hasa ukirejea bara na zanzibar n nch 1 ila matendo yake ni tofauti ndo uelewe why nimesema serikali pendekezwa kwny katiba mpya. Uskurupuke na ujinga mliojazwa wa katiba ya kenya.
 
piga mijeledi ya migongoni hadi akili ziwanyooke vizuri, mmezidi kudemka wapuuzi nyie.
 
Na kama mpumvavu mdude anauona uchaguzi wa kenya ulikuwa credible kwake!

Atuambie kesi ya Raila inahusu nini?
Bora wao hata kesi zinakuwepo kusilizwa uhalali wa uchaguzi kwa ngazi zote na mahakama inao uhalali wa kutengua matokeo!! We na nchi lako hyo hatua ipo? Kuna watu wako juu ya sheria hd mahakama ziko mifukoni mwao wao ndo mahakimu wa mwsho.
 
piga mijeledi ya migongoni hadi akili ziwanyooke vizuri, mmezidi kudemka wapuuzi nyie.
 
Ambacho huelewi ni kwamba Bandari ya Zanzibar ipo independent na Kodi yake huwa ni ndogo sana kulinganisha na Tanzania. Na kodi ni ndogo kwakuwa mambo mengi bado inaitegemea bara na Population yao ni ndogo na ndio maana wanatoza kodi ndogo. Sasa mafuta yakija hapa Bongo yanapigwa kodi Kubwa ili pia kukidhi mahitaji ya bajeti maana katika kodi kodi ya mafuta pia huchangia pato kubwa . Na ndio maana bei ya Zanzibar na hapa haziwezi kufanana . Sasa we uliekuwa brainwashed na kina Mdude unafikiri kila kitu ni katiba mpya . Waheeed kabisa
 
CCM wanafanya mengi sana tatizo uhuru wa habari unatumiwa vibaya na watu wa media na siku zote kunakuwa na upotoshwaji au uelewa mbaya wa jamii kuhusiana na habari za kile kinachofanyika.

Jamii inayopotoshwa na media inajenga tabia ya kupotoshana na kile kinachofanyika kinaonekana ni kwa lengo la kuumiza watu, sio kweli hata kidogo hiyo ni dhana potofu,

Kila mtu analalamikia tozo na kodi kwa sasa lakini hiyo pesa inakwenda kufanya mengi sana tena ya muhimu.

Inakwenda kumalizia ukarabati wa bandari zote, inakwenda kujenga zahanati na shule kila mkoa, inakwenda kuhudumia wazee na kushughulikia masuala ya mishahara.


Ni mengi yanayofanyika lakini watu haswa wa mijini wanakuja na taswira potofu siku zote na kinachofanywa kwa nia njema kinaonekana kama ni kupaka rangi upepo.
Kopa kopa za kutosha! Rasilimali zenyewe zinasaidia nini kama mwananchi ndo anakamliwa tu? Kwa nini kipindi unawakamua wananchi na wewe usijitafakari jinsi ya matumizi ya serikali yako? We uishi kwa luxury then mhangaikaji wa mwsho ndo umfanye alie kila siku kwa tozo.
 
Ambacho huelewi ni kwamba Bandari ya Zanzibar ipo independent na Kodi yake huwa ni ndogo sana kulinganisha na Tanzania. Na kodi ni ndogo kwakuwa mambo mengi bado inaitegemea bara na Population yao ni ndogo na ndio maana wanatoza kodi ndogo. Sasa mafuta yakija hapa Bongo yanapigwa kodi Kubwa ili pia kukidhi mahitaji ya bajeti maana katika kodi kodi ya mafuta pia huchangia pato kubwa . Na ndio maana bei ya Zanzibar na hapa haziwezi kufanana . Sasa we uliekuwa brainwashed na kina Mdude unafikiri kila kitu ni katiba mpya . Waheeed kabisa
Bandari ya zanzibar iwe independent, bado inategemea bara then sisi wenye kutegemewa ndo tunalubdikiwa mzigo wa kodi ili asiyehitaji bajeti kubwa afaidike na kukamliwa kwetu. Tuwe na serikali ya bara itakayopambania maslahi ya usawa kwa wananchi wote. Bara na zanzibar ni tanzania so tuwe treated equally, Dar es salaam nayo ikisema bandari yetu iwe independent tutafika kweli? Tozo zimewekwa na serikali ya jamhuri ya muungano wa yanzania why bara tu? Katiba mpya itaweka serikali itakayoitetea bara kutoka kwenye kivuli cha unyonywaji wa jamhuri ya muungano huku anayeumia ni mmoja.
 
Back
Top Bottom