Rais wa Nchi anapofariki akiwa madarakani Nchi huwa katika nyakati za hatari zaidi kuliko wakati wowote ule

Asante sana mkuu wewe ndio umeongea point.
Huyu mjinga alikuwa akimwabudu yule marehemu ndio maana anaishi kwa kutumainia kivuli
 
Tupe madini mkuu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mi nakuelewa sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Wacha wampinge tu jamaa ila hawana fact

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Katika mambo yaliniachia majonzi Ni hilo la kujitangaza mapema namna hii eti atagombea kwa sababu amepata nafasi. Kufa kwa mwenzi ni fursa kwake kweli?

Tunavyoifahamu CCM, amekuwa mkweli na muwazi mapema kuhusu mtazamo halisi wa mitandao iliyoko huko. Fursa ya kukamata na kudhibiti dola [emoji817] si suala la mchezo. Ndiyo motisha pekee kwenye chama hicho. Suala la katiba limeshatupiliwa mbali.

Huko CCM ni kufa kufaana. Anayeamini kama kuna huzuni kuhusu kuondoka kwa mwendazake, anaishi ulimwengu wa ndoto.

Mama akichelewa kuweka nia chokochoko zinaweza mzibia fursa. Kwa nini ajivunge?
 
Sasa kwa mifano yote uliyotoa, mbona umetoa conclusion kwa kuangalia upande mmoja TU?

Kwamba, Magu amefariki na kwahiyo SSH na wenzake wasijisahau kwa kuona ndo wameshatusua?

Mbona umesahau uwezekano wa kwamba, hao wanaoangalia maslahi mapana ya taifa, ndio waliom-eliminate Mheshimiwa Magu kama alivyokuwa eliminated Rabin?

Na kwamba, endapo above scenario ndio the right one, basi hapo hakuna cha upelekezi wa kuangalia kifo wala nini cuz' MISSION ACCOMPLISHED?!
 
Umeongea mambo mazuri sana ila hayasadifu mazingira tuliyonayo kwa hapa Tanzania ova.
 
Haya labda yanafanyika Ulaya na USA huko, huku ni funika kombe mwendo mdundo..
 
Metal mada una lako Jambo, umetudhihirishia uko like Kundi lisilomtaka Samia , na hamkuridhishwa na nia yake ya kuendelea.

Poleni sana zama zenu zishapita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…