Rais wa Nchi anapofariki akiwa madarakani Nchi huwa katika nyakati za hatari zaidi kuliko wakati wowote ule

Rais wa Nchi anapofariki akiwa madarakani Nchi huwa katika nyakati za hatari zaidi kuliko wakati wowote ule

Kusema kweli tulipaswa kusimamisha Katiba... Nchi ikawa kwenye Baraza maalum, she is the mess
Kwani katiba haielezi kipi kinatakiwa kufuatwa baada ya Rais kufa?!!! Hivi umekwenda shule kweli ?!!!

Yaani uifanye katiba null and void simply tu kufurahisha nafsi ?!!! 😳😳
 
Metal mada una lako Jambo, umetudhihirishia uko like Kundi lisilomtaka Samia , na hamkuridhishwa na nia yake ya kuendelea.

Poleni sana zama zenu zishapita
Kama taifa anatutaka tuziishi ndoto na matakwa yake...
 
Tunavyoifahamu CCM, amekuwa mkweli na muwazi mapema kuhusu mtazamo halisi wa mitandao iliyoko huko. Fursa ya kukamata na kudhibiti dola [emoji817] si suala la mchezo. Ndiyo motisha pekee kwenye chama hicho. Suala la katiba limeshatupiliwa mbali.

Huko CCM ni kufa kufaana. Anayeamini kama kuna huzuni kuhusu kuondoka kwa mwendazake, anaishi ulimwengu wa ndoto.

Mama akichelewa kuweka nia chokochoko zinaweza mzibia fursa. Kwa nini ajivunge?
Mh.Rais SSH yuko sahihi kutangaza nia...tatizo la chama kikubwa Kama CCM wangeanza kupambania nafasi za kugombea na kuacha kufanya kazi.....ili kuwakatisha tamaa na kazi ziendelee mujarabu huo ni KUTANGAZA TU HUKO....
 
Well mimi sio mtu wa idara na pia sio movie sio .penz wa mapicha ila napenda kujuwa kile kinaendelea duniani. Naomba kasome report ya kifo cha JF wa marekani, report ya kifo cha Isack Rabin na mwisho nokifumbue macho. Kama hujuwi basi ujuwe leo usiwe mshamba.
Wamarekani rafiki yao mkubwa ni Israel na UK hawa idara zao zina saidiana sana sana. Even kwenye matukio makubwa hawa wanasaidiana.
Tanzania tuna nchi tunasaidiana sana kwenye idara mfano kwa africa SA ni watu wetu, Hapo Mozambique ni watu wetu, zambia watu wetu Uganda watu wetu, Kenya ni marafiki zetu walisaidia sana vita ya uganda pia Kenya ni central or heaven of high profile intelligence unity usiniulize why... Zimbabwe wanatuheshim sana hapo Ethiopia, sudan kusin, Kongo kama ulikuwa hujuwi Tz is among the best intelligence agency in the world but is under ground. Nikianza kukupa madini utaniogopa nenda kakojowe kalale kama unafikiri taifa hili kuna vilaza basi pole.
Shida vijana wengi humu wanaushabiki tu, hawapendi kukiri ukweli wa mambo. Wakati tunakuwa , tuliambiwa Tanzania ni moja ya nchi inayoheshimika duniani kwa maswala ya upelelezi. Ila ni nchi isiyo na makuu. Ufanya mambo yake kimya kimya.
Sasa siasa hizi za leo ambazo watu wanadhani kudhalilisha au kutukana viongozi wakuu wa nchi na kukashifu Taifa lako na vyombo vya ulinzi ati ndo siasa za kukufanya uonekane wewe ni mjuvi wa mambo.
Kufa kwa kiongozi wa nchi ni sawa na kifo cha mzazi nyumbani, awe mama au baba. Familia utetereka kwa miaka. Hivyo tusikimbilie kusema nchi imesimama vizuri na kuanza kuropoka maneno tusiyojua.
Kitu kimoja kilinishangaza mama utadhani hii awamu ni tofauti na iliyopita, anasema alipoingia alikuta sijui shule kadhaa sasa anajenga kadhaa. Anajiweka kama vile hakuwepo kwenye serikali hilo pita. Anasahau yeye ni mwendelezo wa kumalizia awamu ya serikali iliyopita. Kwani alikuwa makamu wa Rais na ilani ni ileile inayotumika hakuna nyingine.
Mama anaanza kuona utamu wa madaraka, anajitangaza kuwa mgombea kabla ya wakati. Awe makini asipotoshwe. Hawezi achwa agombee tu bila kupimwa kuwa je ndo alikuwa chaguo baada ya Magufuli kama angemaliza muhula wake.
Nchi bado haijatulia, Rais wetu hasijione kafika. Na kuanza kujiona ana haki ya kufanya lolote!
 
Uwenda watu wengi hawajuwi na huwenda wengi tunafikiri baada ya Rais wa Taifa kufa basi wakisha fukia na kupiga mizinga basi kazi imeisha. Na sasa kila mtu anaona kuna fursa basi aanze kupiga tarumbeta zake..
Jibu ni hapana.
Rais yeyote wa taifa anapo fariki Taifa huwekwa ktk hali ya hatari kwa kipindi kisicho julikana. Wakati huwo team ya watu maalumu inayo undwa na maofisa wa idara nyeti za usalama huwingia kazini na kuanza kutafuta tarifa nyeti na nzito ambazo hata yule alie kaimu huwenda hajuwi... Team hii ya makachero maalumu huwa na makachero maalumu kutoka idara nyeti za mataifa rafiki kufuwatilia sababu za kifo za Rais alie kuwa madarakani.
Kipindi chote cha upelelezi team hii ugawanyika ktk makundi yasiojulikana kuhakikisha yeyote alie ktk kikundi kile hatowi wala kuvujisha taarifa za siri kwa mtu au kikundi chochote. Nikipindi cha hatari na dhahima kwa yeyote anaye waingilia makachero hawa.
Nikipindi ambacho kama upo smart utasikia taarifa za vifo vya top government officer silence pasipo sababu zinajulikana ila moja wapo ni natural death. Alilala hakuamka, alikuwa kikao akasema hajisikii vizuri au covid19.

Niwakati wale walikuwa wandani wa Rais alie kufa hupita nyakati ngumu na mara nyingi kifo na uzima ubaki mikononi ya team inafuwatilia kifo cha rais. Sio wakati hata kama umepata nafasi ya juu sana unapaswa kuonyesha una hatamia au unaona kwako ni fursa maana unaweza kuwa mchawi pasipokujuwa mchawi na mwisho ukaingia ktk report ya siri ya usalama wa Taifa.
Labda niseme hapa kidogo ktk Taifa lolote lenye mifumo imara ya ulinzi hasa idara hii ya usalama wa Taifa nivigumu sana Rais wa nchi kuwa huru kama vile unasikia. Idara hii nyeti ya Taifa lolote huwa ni idara inayo angalia zaidi masilahi mapana ya Taifa na mara nyingi kama Rais wa taifa akienda kinyume na taratibu hii idara ubadilika kuwa adui wa siri wa kiongozi.
Labda nitoe mfano kule Israel mtendaji mkuu wa shughuli za taifa ni waziri mkuu. Waziri mkuu wa Taifa la Israel ni mtu mwenye nguvu sana na mpaka majeshi anaweza yapeleka vitani na kwa wenzetu wame advance huwezi fikia nafasi ya uwaziri mkuu kama hujafanya jambo zito lakijasiri kuitegea nchi yako. Una ambiwa kwa mfano waziri mkuu mstaafu Bwana Benjamin Netanyau ni moja ya mawaziri alie fikia level ya ukomandoo na sio tu komandoo tu jamaa na IQ 153 kama sijakosea yani ni moja ya mawaziri ana akili sana na sio hivyo tu ila kaka yake ni among most intelligent and among the special unity ktk kukomboa mateka kule uganda ila alikufa kwa bahati mbaya na mpaka leo taifa lina omboleza juu ya kifo chake.

Niende kwenye kile nataka kuwaambia kule israel alitokea waziri mkuu mmoja anaitwa Isack Rabin waziri mkuu huyu alifanya tukio ambalo kwa taifa la Israel nikuuwawa alifikiri kwa ushawishi aliokuwa nao na nguvu atawaunganisha Israel na Palestinian na kurudisha ardhi ya Palestinian. Jambo hili alofanikiwa ila aliporudi nyumbani Isack Rabin alipigwa Risasi na kufa hapo hapo na kijana alie kuwa ktk team ya wafuwasi wake.
Jambo la ajabu sana ktk tukio hili nikuwa kulikuwa na taarifa za siri sana kwamba kijana alie muuwa waziri mkuu alikuwa ni kijana alie pikwa kwa siri na team ya mossad ili kumu eliminate waziri huyu kwasababu alikuwa aki hatarisha masilahi mapana ya usalama wa Taifa hilo.
Mossad ni moja ya idara za usalama wa taifa la israel inayo ogopwa na mataifa hata makubwa na kama ulikuwa ujuwi idara hii inaheshimika mpaka na idara nyeti kama CIA, M16 ya UK pamoja na KJB nk. Idara hii haijawahi shindwa na data zake mara zote 100%
Mpaka leo kijana huyo yupo mahabusu na haijajulikana nani alie mtuma.

Rais wa Taifa kufa madarakani ni jambo lahatari sana maana huwa ni kama kibali cha kuuwa kwa jina la jamuhuri. Watu hufa watu hupotea kwa jina la jamuhuri niwakati hata wale wapo madarakani yawapasa kuwa makini na midomo yao ama mawazo yao. Niwakati ambao kama umepewa kurithi kiti basi kuongoza mka pale muda unaisha wa alie fariki nankukaa pembeni wenye nchi wamchaguwe wanaye mtaka ama usubiri kuona giza mbele kama giza liliwakumba watu wa zambia.

Sio muda eti kutangaza nia hapana epuka huwo mtego maana utaonekana mchawi. Nakufanya walio ktk upelelezi wa kifo cha Rais alie kufa kukuweka ktk list ya mambo yakuhisi.
Vyama vya upinzani nilazima kuwa makini hasa hiko kipindi maana unaweza jikuta mna hangaika na mtu msie muona why ni aina hii ya kazi ile team wanafanya.
Naandika haya kama elimu kwa watanzania na makada kujuwa hiki kipindi nikibaya sana kuunda makundi au kuanzisha vuguvugu la nani awe Rais nikitisho kwa usalama wa Taifa na Taifa.
NB
Ndugu msomaji huu uzi una nia moja kuwaelimisha watanzania kuepuka piga siasa wakati Rais ana fariki akiwa madarakani uzi huu hausiani na mtu au kikundi cha watu ktk siasa.
End
Msukule wa Ngosha, rubbish
 
Shida vijana wengi humu wanaushabiki tu, hawapendi kukiri ukweli wa mambo. Wakati tunakuwa , tuliambiwa Tanzania ni moja ya nchi inayoheshimika duniani kwa maswala ya upelelezi. Ila ni nchi isiyo na makuu. Ufanya mambo yake kimya kimya.
Sasa siasa hizi za leo ambazo watu wanadhani kudhalilisha au kutukana viongozi wakuu wa nchi na kukashifu Taifa lako na vyombo vya ulinzi ati ndo siasa za kukufanya uonekane wewe ni mjuvi wa mambo.
Kufa kwa kiongozi wa nchi ni sawa na kifo cha mzazi nyumbani, awe mama au baba. Familia utetereka kwa miaka. Hivyo tusikimbilie kusema nchi imesimama vizuri na kuanza kuropoka maneno tusiyojua.
Kitu kimoja kilinishangaza mama utadhani hii awamu ni tofauti na iliyopita, anasema alipoingia alikuta sijui shule kadhaa sasa anajenga kadhaa. Anajiweka kama vile hakuwepo kwenye serikali hilo pita. Anasahau yeye ni mwendelezo wa kumalizia awamu ya serikali iliyopita. Kwani alikuwa makamu wa Rais na ilani ni ileile inayotumika hakuna nyingine.
Mama anaanza kuona utamu wa madaraka, anajitangaza kuwa mgombea kabla ya wakati. Awe makini asipotoshwe. Hawezi achwa agombee tu bila kupimwa kuwa je ndo alikuwa chaguo baada ya Magufuli kama angemaliza muhula wake.
Nchi bado haijatulia, Rais wetu hasijione kafika. Na kuanza kujiona ana haki ya kufanya lolote!
Kwani kikatiba mh.SSH ni rais nusu ?!!!
Kama sivyo unatanguliza hisia na matakwa binafsi ?!!!

Unaposema nchi haijatulia ina maana hakuna Rais.....hakuna mawaziri....hakuna UTULIVU katika mihimili ya JUDICIAL and LEGISLATIVE.....
 
Kwani kikatiba mh.SSH ni rais nusu ?!!!
Kama sivyo unatanguliza hisia na matakwa binafsi ?!!!

Unaposema nchi haijatulia ina maana hakuna Rais.....hakuna mawaziri....hakuna UTULIVU katika mihimili ya JUDICIAL and LEGISLATIVE.....
Hivi nchi kutotulia mpaka hao uliowataja wasiwepo? Au usanifu wa lugha ndo tatizo kwako? Pia usikurupuke soma uelewe kwanza si kukimbilia kujibu hoja bila kujua nini kimeongelewa.
Eti SSH ni Rais nusu? Wapi nimesema hivyo? Kweli mada za Kiswahili na Kiingereza zile za "Ufahamu" ni tatizo. Yaani mtu anasoma mada lakni atakachokuja andika kwa ufahamu wake ni aibu.
 
Waziri mkuu wa Israel aliyeuwawa anaitwa Yitzak Rabin

Kijana aliyemuua yes aliandaliwa na alikuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu. Alikuja kufungwa miaka 2 na sasa yupo huru.

Wale jamaa hovyo sana

Jina lake huyo kijana ni Dunisan wa ukoo wa Benjamini kati ya yale makabila 12 ya mbari za'wana wa Yakobo/Israel.
 
Hivi nchi kutotulia mpaka hao uliowataja wasiwepo? Au usanifu wa lugha ndo tatizo kwako? Pia usikurupuke soma uelewe kwanza si kukimbilia kujibu hoja bila kujua nini kimeongelewa.
Eti SSH ni Rais nusu? Wapi nimesema hivyo? Kweli mada za Kiswahili na Kiingereza zile za "Ufahamu" ni tatizo. Yaani mtu anasoma mada lakni atakachokuja andika kwa ufahamu wake ni aibu.
Sawa.....

Nchi kutotulia ni kipindi cha kufiwa na "incumbent president" na kabla hajaapishwa mpya....

Hujumuisha pia na uwepo wa "uasi" baada ya kifo hicho ama hata baada ya kupata rais mpya....sasa huo ukosefu wa UTULIVU unaupata wapi kipindi hiki?!!!
 
Mh.Rais SSH yuko sahihi kutangaza nia...tatizo la chama kikubwa Kama CCM wangeanza kupambania nafasi za kugombea na kuacha kufanya kazi.....ili kuwakatisha tamaa na kazi ziendelee mujarabu huo ni KUTANGAZA TU HUKO....
Huoni yeye kutangaza nia ili hali amekataza wengine wasiinue vichwa inaleta mkanganyiko kwamba kawekwa hapo kwa maslahi ya watu fulani?
 
Uwenda watu wengi hawajuwi na huwenda wengi tunafikiri baada ya Rais wa Taifa kufa basi wakisha fukia na kupiga mizinga basi kazi imeisha. Na sasa kila mtu anaona kuna fursa basi aanze kupiga tarumbeta zake..
Jibu ni hapana.
Rais yeyote wa taifa anapo fariki Taifa huwekwa ktk hali ya hatari kwa kipindi kisicho julikana. Wakati huwo team ya watu maalumu inayo undwa na maofisa wa idara nyeti za usalama huwingia kazini na kuanza kutafuta tarifa nyeti na nzito ambazo hata yule alie kaimu huwenda hajuwi... Team hii ya makachero maalumu huwa na makachero maalumu kutoka idara nyeti za mataifa rafiki kufuwatilia sababu za kifo za Rais alie kuwa madarakani.
Kipindi chote cha upelelezi team hii ugawanyika ktk makundi yasiojulikana kuhakikisha yeyote alie ktk kikundi kile hatowi wala kuvujisha taarifa za siri kwa mtu au kikundi chochote. Nikipindi cha hatari na dhahima kwa yeyote anaye waingilia makachero hawa.
Nikipindi ambacho kama upo smart utasikia taarifa za vifo vya top government officer silence pasipo sababu zinajulikana ila moja wapo ni natural death. Alilala hakuamka, alikuwa kikao akasema hajisikii vizuri au covid19.

Niwakati wale walikuwa wandani wa Rais alie kufa hupita nyakati ngumu na mara nyingi kifo na uzima ubaki mikononi ya team inafuwatilia kifo cha rais. Sio wakati hata kama umepata nafasi ya juu sana unapaswa kuonyesha una hatamia au unaona kwako ni fursa maana unaweza kuwa mchawi pasipokujuwa mchawi na mwisho ukaingia ktk report ya siri ya usalama wa Taifa.
Labda niseme hapa kidogo ktk Taifa lolote lenye mifumo imara ya ulinzi hasa idara hii ya usalama wa Taifa nivigumu sana Rais wa nchi kuwa huru kama vile unasikia. Idara hii nyeti ya Taifa lolote huwa ni idara inayo angalia zaidi masilahi mapana ya Taifa na mara nyingi kama Rais wa taifa akienda kinyume na taratibu hii idara ubadilika kuwa adui wa siri wa kiongozi.
Labda nitoe mfano kule Israel mtendaji mkuu wa shughuli za taifa ni waziri mkuu. Waziri mkuu wa Taifa la Israel ni mtu mwenye nguvu sana na mpaka majeshi anaweza yapeleka vitani na kwa wenzetu wame advance huwezi fikia nafasi ya uwaziri mkuu kama hujafanya jambo zito lakijasiri kuitegea nchi yako. Una ambiwa kwa mfano waziri mkuu mstaafu Bwana Benjamin Netanyau ni moja ya mawaziri alie fikia level ya ukomandoo na sio tu komandoo tu jamaa na IQ 153 kama sijakosea yani ni moja ya mawaziri ana akili sana na sio hivyo tu ila kaka yake ni among most intelligent and among the special unity ktk kukomboa mateka kule uganda ila alikufa kwa bahati mbaya na mpaka leo taifa lina omboleza juu ya kifo chake.

Niende kwenye kile nataka kuwaambia kule israel alitokea waziri mkuu mmoja anaitwa Isack Rabin waziri mkuu huyu alifanya tukio ambalo kwa taifa la Israel nikuuwawa alifikiri kwa ushawishi aliokuwa nao na nguvu atawaunganisha Israel na Palestinian na kurudisha ardhi ya Palestinian. Jambo hili alofanikiwa ila aliporudi nyumbani Isack Rabin alipigwa Risasi na kufa hapo hapo na kijana alie kuwa ktk team ya wafuwasi wake.
Jambo la ajabu sana ktk tukio hili nikuwa kulikuwa na taarifa za siri sana kwamba kijana alie muuwa waziri mkuu alikuwa ni kijana alie pikwa kwa siri na team ya mossad ili kumu eliminate waziri huyu kwasababu alikuwa aki hatarisha masilahi mapana ya usalama wa Taifa hilo.
Mossad ni moja ya idara za usalama wa taifa la israel inayo ogopwa na mataifa hata makubwa na kama ulikuwa ujuwi idara hii inaheshimika mpaka na idara nyeti kama CIA, M16 ya UK pamoja na KJB nk. Idara hii haijawahi shindwa na data zake mara zote 100%
Mpaka leo kijana huyo yupo mahabusu na haijajulikana nani alie mtuma.

Rais wa Taifa kufa madarakani ni jambo lahatari sana maana huwa ni kama kibali cha kuuwa kwa jina la jamuhuri. Watu hufa watu hupotea kwa jina la jamuhuri niwakati hata wale wapo madarakani yawapasa kuwa makini na midomo yao ama mawazo yao. Niwakati ambao kama umepewa kurithi kiti basi kuongoza mka pale muda unaisha wa alie fariki nankukaa pembeni wenye nchi wamchaguwe wanaye mtaka ama usubiri kuona giza mbele kama giza liliwakumba watu wa zambia.

Sio muda eti kutangaza nia hapana epuka huwo mtego maana utaonekana mchawi. Nakufanya walio ktk upelelezi wa kifo cha Rais alie kufa kukuweka ktk list ya mambo yakuhisi.
Vyama vya upinzani nilazima kuwa makini hasa hiko kipindi maana unaweza jikuta mna hangaika na mtu msie muona why ni aina hii ya kazi ile team wanafanya.
Naandika haya kama elimu kwa watanzania na makada kujuwa hiki kipindi nikibaya sana kuunda makundi au kuanzisha vuguvugu la nani awe Rais nikitisho kwa usalama wa Taifa na Taifa.
NB
Ndugu msomaji huu uzi una nia moja kuwaelimisha watanzania kuepuka piga siasa wakati Rais ana fariki akiwa madarakani uzi huu hausiani na mtu au kikundi cha watu ktk siasa.
End

TumainiEl🙏
 
Uwenda watu wengi hawajuwi na huwenda wengi tunafikiri baada ya Rais wa Taifa kufa basi wakisha fukia na kupiga mizinga basi kazi imeisha. Na sasa kila mtu anaona kuna fursa basi aanze kupiga tarumbeta zake..
Jibu ni hapana.
Rais yeyote wa taifa anapo fariki Taifa huwekwa ktk hali ya hatari kwa kipindi kisicho julikana. Wakati huwo team ya watu maalumu inayo undwa na maofisa wa idara nyeti za usalama huwingia kazini na kuanza kutafuta tarifa nyeti na nzito ambazo hata yule alie kaimu huwenda hajuwi... Team hii ya makachero maalumu huwa na makachero maalumu kutoka idara nyeti za mataifa rafiki kufuwatilia sababu za kifo za Rais alie kuwa madarakani.
Kipindi chote cha upelelezi team hii ugawanyika ktk makundi yasiojulikana kuhakikisha yeyote alie ktk kikundi kile hatowi wala kuvujisha taarifa za siri kwa mtu au kikundi chochote. Nikipindi cha hatari na dhahima kwa yeyote anaye waingilia makachero hawa.
Nikipindi ambacho kama upo smart utasikia taarifa za vifo vya top government officer silence pasipo sababu zinajulikana ila moja wapo ni natural death. Alilala hakuamka, alikuwa kikao akasema hajisikii vizuri au covid19.

Niwakati wale walikuwa wandani wa Rais alie kufa hupita nyakati ngumu na mara nyingi kifo na uzima ubaki mikononi ya team inafuwatilia kifo cha rais. Sio wakati hata kama umepata nafasi ya juu sana unapaswa kuonyesha una hatamia au unaona kwako ni fursa maana unaweza kuwa mchawi pasipokujuwa mchawi na mwisho ukaingia ktk report ya siri ya usalama wa Taifa.
Labda niseme hapa kidogo ktk Taifa lolote lenye mifumo imara ya ulinzi hasa idara hii ya usalama wa Taifa nivigumu sana Rais wa nchi kuwa huru kama vile unasikia. Idara hii nyeti ya Taifa lolote huwa ni idara inayo angalia zaidi masilahi mapana ya Taifa na mara nyingi kama Rais wa taifa akienda kinyume na taratibu hii idara ubadilika kuwa adui wa siri wa kiongozi.
Labda nitoe mfano kule Israel mtendaji mkuu wa shughuli za taifa ni waziri mkuu. Waziri mkuu wa Taifa la Israel ni mtu mwenye nguvu sana na mpaka majeshi anaweza yapeleka vitani na kwa wenzetu wame advance huwezi fikia nafasi ya uwaziri mkuu kama hujafanya jambo zito lakijasiri kuitegea nchi yako. Una ambiwa kwa mfano waziri mkuu mstaafu Bwana Benjamin Netanyau ni moja ya mawaziri alie fikia level ya ukomandoo na sio tu komandoo tu jamaa na IQ 153 kama sijakosea yani ni moja ya mawaziri ana akili sana na sio hivyo tu ila kaka yake ni among most intelligent and among the special unity ktk kukomboa mateka kule uganda ila alikufa kwa bahati mbaya na mpaka leo taifa lina omboleza juu ya kifo chake.

Niende kwenye kile nataka kuwaambia kule israel alitokea waziri mkuu mmoja anaitwa Isack Rabin waziri mkuu huyu alifanya tukio ambalo kwa taifa la Israel nikuuwawa alifikiri kwa ushawishi aliokuwa nao na nguvu atawaunganisha Israel na Palestinian na kurudisha ardhi ya Palestinian. Jambo hili alofanikiwa ila aliporudi nyumbani Isack Rabin alipigwa Risasi na kufa hapo hapo na kijana alie kuwa ktk team ya wafuwasi wake.
Jambo la ajabu sana ktk tukio hili nikuwa kulikuwa na taarifa za siri sana kwamba kijana alie muuwa waziri mkuu alikuwa ni kijana alie pikwa kwa siri na team ya mossad ili kumu eliminate waziri huyu kwasababu alikuwa aki hatarisha masilahi mapana ya usalama wa Taifa hilo.
Mossad ni moja ya idara za usalama wa taifa la israel inayo ogopwa na mataifa hata makubwa na kama ulikuwa ujuwi idara hii inaheshimika mpaka na idara nyeti kama CIA, M16 ya UK pamoja na KJB nk. Idara hii haijawahi shindwa na data zake mara zote 100%
Mpaka leo kijana huyo yupo mahabusu na haijajulikana nani alie mtuma.

Rais wa Taifa kufa madarakani ni jambo lahatari sana maana huwa ni kama kibali cha kuuwa kwa jina la jamuhuri. Watu hufa watu hupotea kwa jina la jamuhuri niwakati hata wale wapo madarakani yawapasa kuwa makini na midomo yao ama mawazo yao. Niwakati ambao kama umepewa kurithi kiti basi kuongoza mka pale muda unaisha wa alie fariki nankukaa pembeni wenye nchi wamchaguwe wanaye mtaka ama usubiri kuona giza mbele kama giza liliwakumba watu wa zambia.

Sio muda eti kutangaza nia hapana epuka huwo mtego maana utaonekana mchawi. Nakufanya walio ktk upelelezi wa kifo cha Rais alie kufa kukuweka ktk list ya mambo yakuhisi.
Vyama vya upinzani nilazima kuwa makini hasa hiko kipindi maana unaweza jikuta mna hangaika na mtu msie muona why ni aina hii ya kazi ile team wanafanya.
Naandika haya kama elimu kwa watanzania na makada kujuwa hiki kipindi nikibaya sana kuunda makundi au kuanzisha vuguvugu la nani awe Rais nikitisho kwa usalama wa Taifa na Taifa.
NB
Ndugu msomaji huu uzi una nia moja kuwaelimisha watanzania kuepuka piga siasa wakati Rais ana fariki akiwa madarakani uzi huu hausiani na mtu au kikundi cha watu ktk siasa.
End
Kwa mujibu wa maelezo yako mengi unataka kuniambia Idala ya Usalama wa Uganda iko kwa maslahi ya Taifa la Uganda??😅😅😅😅
 
Sawa.....

Nchi kutotulia ni kipindi cha kufiwa na "incumbent president" na kabla hajaapishwa mpya....

Hujumuisha pia na uwepo wa "uasi" baada ya kifo hicho ama hata baada ya kupata rais mpya....sasa huo ukosefu wa UTULIVU unaupata wapi kipindi hiki?!!!
Ukosefu wa utulivu si vurugu mtaani au nn, bali unakuwa hasa kwa system nzima na wananchi. Inaweza kuwa kisaikolojia. Mfano, wananchi watakuwa hawajaelewa, direction ipi wataenda. Kuna kuwa na lugha ambazo mfano kukitokea jambo watu wanakimbilia kusema heri fulani angekuwepo? Haya mambo ni kisaikolojia inaitajika muda mpaka hapo watu watazoea na utulivu utaendelea.

Pia kutokuwepo utulivu ktk maswala mazima ya kiutawala. Hii mfano kuna makundi yatatokea yaweza kuwa ya siri au uwazi. Kuna ambao watakuwa bado wanamlengo wa kiongozi alopita, na ambao watakuwa ktk mlengo wa kiongozi aliopo madarakani. Hii haileti utulivu, hata Rais aliopo itakuwa inamsumbua kichwani. Ni mambo yanayohitaji muda. Tazama hata katuni ya kipaya, utajua nachoongelea.

Utulivu usiokuwepo ni wakisakolojia hasa kwa wananchi. Na pia utulivu usiokuwepo ni wakitawala. Rejea sasa Swala la machinga. Inaonesha viongozi wa mikoa kadhaa wanawatimua machinga. Viongozi wengine wanasema hapana Magufuli alikataa wasitimuliwe. Mama hataki toa maamuzi ya wazi kama Magufuli alivyofanya, alimwita SSH wakati huo akiwa makamu na waziri wa Tamisemi akasema Machinga wasibughuziwe, Mkuu wa Mkoa anae ona hataki kufuata maagizo ajiuzuru. Hii ilikuwa kauli ya JPM haikuwa na unafiki.

Mama yeye anasema wapangeni, lakn viongozi hawajali wameendelea kufanya watakavyo. Je hapa mama Rais wetu anaogopa kuchukua hatua? Make machinga hawapangwi bali wanafukuzwa. Hii ndo kutokuwepo kwa utulivu kiutawala, na mengine mengi.
 
Uwenda watu wengi hawajuwi na huwenda wengi tunafikiri baada ya Rais wa Taifa kufa basi wakisha fukia na kupiga mizinga basi kazi imeisha. Na sasa kila mtu anaona kuna fursa basi aanze kupiga tarumbeta zake..
Jibu ni hapana.
Rais yeyote wa taifa anapo fariki Taifa huwekwa ktk hali ya hatari kwa kipindi kisicho julikana. Wakati huwo team ya watu maalumu inayo undwa na maofisa wa idara nyeti za usalama huwingia kazini na kuanza kutafuta tarifa nyeti na nzito ambazo hata yule alie kaimu huwenda hajuwi... Team hii ya makachero maalumu huwa na makachero maalumu kutoka idara nyeti za mataifa rafiki kufuwatilia sababu za kifo za Rais alie kuwa madarakani.
Kipindi chote cha upelelezi team hii ugawanyika ktk makundi yasiojulikana kuhakikisha yeyote alie ktk kikundi kile hatowi wala kuvujisha taarifa za siri kwa mtu au kikundi chochote. Nikipindi cha hatari na dhahima kwa yeyote anaye waingilia makachero hawa.
Nikipindi ambacho kama upo smart utasikia taarifa za vifo vya top government officer silence pasipo sababu zinajulikana ila moja wapo ni natural death. Alilala hakuamka, alikuwa kikao akasema hajisikii vizuri au covid19.

Niwakati wale walikuwa wandani wa Rais alie kufa hupita nyakati ngumu na mara nyingi kifo na uzima ubaki mikononi ya team inafuwatilia kifo cha rais. Sio wakati hata kama umepata nafasi ya juu sana unapaswa kuonyesha una hatamia au unaona kwako ni fursa maana unaweza kuwa mchawi pasipokujuwa mchawi na mwisho ukaingia ktk report ya siri ya usalama wa Taifa.
Labda niseme hapa kidogo ktk Taifa lolote lenye mifumo imara ya ulinzi hasa idara hii ya usalama wa Taifa nivigumu sana Rais wa nchi kuwa huru kama vile unasikia. Idara hii nyeti ya Taifa lolote huwa ni idara inayo angalia zaidi masilahi mapana ya Taifa na mara nyingi kama Rais wa taifa akienda kinyume na taratibu hii idara ubadilika kuwa adui wa siri wa kiongozi.
Labda nitoe mfano kule Israel mtendaji mkuu wa shughuli za taifa ni waziri mkuu. Waziri mkuu wa Taifa la Israel ni mtu mwenye nguvu sana na mpaka majeshi anaweza yapeleka vitani na kwa wenzetu wame advance huwezi fikia nafasi ya uwaziri mkuu kama hujafanya jambo zito lakijasiri kuitegea nchi yako. Una ambiwa kwa mfano waziri mkuu mstaafu Bwana Benjamin Netanyau ni moja ya mawaziri alie fikia level ya ukomandoo na sio tu komandoo tu jamaa na IQ 153 kama sijakosea yani ni moja ya mawaziri ana akili sana na sio hivyo tu ila kaka yake ni among most intelligent and among the special unity ktk kukomboa mateka kule uganda ila alikufa kwa bahati mbaya na mpaka leo taifa lina omboleza juu ya kifo chake.

Niende kwenye kile nataka kuwaambia kule israel alitokea waziri mkuu mmoja anaitwa Isack Rabin waziri mkuu huyu alifanya tukio ambalo kwa taifa la Israel nikuuwawa alifikiri kwa ushawishi aliokuwa nao na nguvu atawaunganisha Israel na Palestinian na kurudisha ardhi ya Palestinian. Jambo hili alofanikiwa ila aliporudi nyumbani Isack Rabin alipigwa Risasi na kufa hapo hapo na kijana alie kuwa ktk team ya wafuwasi wake.
Jambo la ajabu sana ktk tukio hili nikuwa kulikuwa na taarifa za siri sana kwamba kijana alie muuwa waziri mkuu alikuwa ni kijana alie pikwa kwa siri na team ya mossad ili kumu eliminate waziri huyu kwasababu alikuwa aki hatarisha masilahi mapana ya usalama wa Taifa hilo.
Mossad ni moja ya idara za usalama wa taifa la israel inayo ogopwa na mataifa hata makubwa na kama ulikuwa ujuwi idara hii inaheshimika mpaka na idara nyeti kama CIA, M16 ya UK pamoja na KJB nk. Idara hii haijawahi shindwa na data zake mara zote 100%
Mpaka leo kijana huyo yupo mahabusu na haijajulikana nani alie mtuma.

Rais wa Taifa kufa madarakani ni jambo lahatari sana maana huwa ni kama kibali cha kuuwa kwa jina la jamuhuri. Watu hufa watu hupotea kwa jina la jamuhuri niwakati hata wale wapo madarakani yawapasa kuwa makini na midomo yao ama mawazo yao. Niwakati ambao kama umepewa kurithi kiti basi kuongoza mka pale muda unaisha wa alie fariki nankukaa pembeni wenye nchi wamchaguwe wanaye mtaka ama usubiri kuona giza mbele kama giza liliwakumba watu wa zambia.

Sio muda eti kutangaza nia hapana epuka huwo mtego maana utaonekana mchawi. Nakufanya walio ktk upelelezi wa kifo cha Rais alie kufa kukuweka ktk list ya mambo yakuhisi.
Vyama vya upinzani nilazima kuwa makini hasa hiko kipindi maana unaweza jikuta mna hangaika na mtu msie muona why ni aina hii ya kazi ile team wanafanya.
Naandika haya kama elimu kwa watanzania na makada kujuwa hiki kipindi nikibaya sana kuunda makundi au kuanzisha vuguvugu la nani awe Rais nikitisho kwa usalama wa Taifa na Taifa.
NB
Ndugu msomaji huu uzi una nia moja kuwaelimisha watanzania kuepuka piga siasa wakati Rais ana fariki akiwa madarakani uzi huu hausiani na mtu au kikundi cha watu ktk siasa.
End
Asante sana mkuu kwa hii elimu. Hakika nimeshausoma sasa mchezo. Na kwa ulivyoelimisha nadhani 1 na 3 kazi iko kubwa mbele yao. Hakika Kifo cha Dkt Magufuli ni dhihaka kubwa sana kwa idara nyeti, maana eti wapinzani walifanya sherehe? Yaani baadhi ya viongozi wa juu wa serikali walishukuru na kushangilia kifo. Nadhani wengi hatukufahamu madhara yake. Ni muhimu Mungu amlinde Mama Samia. Tulimuombea sana Dkt Magufuli, na tulikuwa na nafasi ya kumuombea zaidi kama tungejulishwa anaumwa. Mungu hakika sijui ilikuwaje kuugua kwa Dkt Magufuli kuwe siri mpaka kifo chake. Kumbe kuna huo utaratibu tena wa vyombo vya ulinzi na usalama, hakika huu uzi ni muhimu sana kwa viongozi wote waandamizi, hasa waliojitokeza na kuonesha kuwa Wateule wa Dkt Magufuli hawafai kumbe wanaingia 18 za watu.
 
Asante sana mkuu kwa hii elimu. Hakika nimeshausoma sasa mchezo. Na kwa ulivyoelimisha nadhani 3 na 2 kazi iko kubwa mbele yao. Hakika Kifo cha Dkt Magufuli ni dhihaka kubwa sana kwa idara nyeti, maana eti wapinzani walifanya sherehe? Yaani baadhi ya viongozi wa juu wa serikali walishukuru na kushangilia kifo. Nadhani wengi hatukufahamu madhara yake. Ni muhimu Mungu amlinde Mama Samia. Tulimuombea sana Dkt Magufuli, na tulikuwa na nafasi ya kumuombea zaidi kama tungejulishwa anaumwa. Mungu hakika sijui ilikuwaje kuugua kwa Dkt Magufuli kuwe siri mpaka kifo chake. Kumbe kuna huo utaratibu tena wa vyombo vya ulinzi na usalama, hakika huu uzi ni muhimu sana kwa viongozi wote waandamizi, hasa waliojitokeza na kuonesha kuwa Wateule wa Dkt Magufuli hawafai kumbe wanaingia 18 za watu.
Mkuki kwa nguruwe. Lesson learned
 
Back
Top Bottom