Rais wa Nchi anapofariki akiwa madarakani Nchi huwa katika nyakati za hatari zaidi kuliko wakati wowote ule

Rais wa Nchi anapofariki akiwa madarakani Nchi huwa katika nyakati za hatari zaidi kuliko wakati wowote ule

Punguzeni kuangalia movie sana!

1.Umejuaje hayo?Wewe ni mtu wa ndani?
-Kama siyo umejuaje?Nani kakuhadithia?
-Kama ndiyo,mbona umeandika shallow sana?Mtu wa ndani huwa anaandika facts zilizoshiba na sio blah blah za kuokoteza!

2.Eti usalama wanaunganisha nguvu na nchi jirani kufanya uchunguzi!Really?Yaani taifa lipate msiba wa Rais halafu muanze kualika vyombo vya nje kuja kushirikiana kuchunguza kifo?Ni kanuni ya nchi gani?Tz au nchi zote?

Nways,kwenye huu uzi naona umeandikwa kwa hisia zaidi!
😂 😂 😂 🤣🤣🤣🤣
Katengenezena supu ya malapulapu halafu kachanganya utumbo mnene ndani yake
Hapo supu imetokea ya kijani na kimanjano kwa mbali..🤣🤣🤣
 
Punguzeni kuangalia movie sana!

1.Umejuaje hayo?Wewe ni mtu wa ndani?
-Kama siyo umejuaje?Nani kakuhadithia?
-Kama ndiyo,mbona umeandika shallow sana?Mtu wa ndani huwa anaandika facts zilizoshiba na sio blah blah za kuokoteza!

2.Eti usalama wanaunganisha nguvu na nchi jirani kufanya uchunguzi!Really?Yaani taifa lipate msiba wa Rais halafu muanze kualika vyombo vya nje kuja kushirikiana kuchunguza kifo?Ni kanuni ya nchi gani?Tz au nchi zote?

Nways,kwenye huu uzi naona umeandikwa kwa hisia zaidi!
Acha ujuaji fatilia kifo Cha Sokoine utaona ,,,rais wa kipindi hicho akiizuia team maalumu ya ndani na kutoka nje iliyokuwa inachunguza kifo Cha kiongozi yule.

Yaan unadhania rais huwa anakufa Kama panzi....????
 
Ingekua hivo basi JK asingeruhusu JPM kua Rais.


Lkn pia, JK asingepuuzwa na TISS.


KAMA KUNA RAIS ALIYEPEWA USHIRIKIANO NA TISS 100% WAKAWA NAYE BEGA KWA BEGA NI JPM.
Halafu nashangaa Sana watu wanabeza Sana mfumo wetu wa vyombo vyetu vya Usalama .Nikwambie tu hii nchi ipo vizuri Sana kiusalama shida ni kutokujua tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ACHA kuhangaika na hayo ma assumption yasiyowezekana. Sio kwa nchi hii me nakwambia. Yani eti usalama ndio wamu eliminate rais kwa nchi yetu never I repeat never!

Sana sana watamnyenyekea na kujipendekeza TU ili ugali uwe assured kwa wao kuendelea kuwepo ndani ya idara. Hebu tu mfano mdogo we angalia tu wakuu wa idara jinsi wanavyobadilishwa kienyeji enyeji just tu rais atakavoamka siku hyo na kujisikia kumtoa na kumweka mwingne. Refer case ya kipilimba na huyu wa sasa diwani
Then refer utendaji kazi wa hawa wa chini, refer case ya nape kutishiwa bastola very unprofessionally!
Ndio nauliza usalama wa nchi hii wafanye hayo unayosema kwa maslahi ya nchi never na bado hatujafikia huko mkuu
We nikikuuliza tu swali dogo unadhani idara hii inaendeshwa kiuweledi mkuu utanijibu nn?
Bos usiongee kwa hisia .Ebu jiulize JPM alikua na nguvu gani CCM had kuwa Rais?Sasa huoni kwamba kulikua na nguvu nyuma ya pazia iliyomweka?Mfumo wa ulinzi na Usalama wa hii Nchi ni zaidi ujuavyo.Mwalimu Nyerere huyu Mzee hakuna wa kawaida kwa mambo aliyoyafanya.

Pia fahamu kuwa Rais wa Nchi yoyote yenye mfumo wa ulinzi na Usalama uliomadhubuti Huwa hatokei ghafula tu Huwa anaandaliwa na mfumo wa Usalama zeni mnaletewa tu kupiga kura .Hiyo ipo duniani kote kwa Nchi ambazo zipo vizuri kiulinzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe si ndio uliyemtishia Ben saanane wiki moja kabla hajapotezwa?

Naweza kusema wewe ni mmoja wa vijana wa Magufuli waliokuwa wanatekeleza mauaji kwa waliokataa kumwabudu.

Acha kuongea ujinga ujinga muuaji mkubwa wewe
Sina dam au kuhusika hata kupanga kupotea kwa huyo kijana. Nilichofanya nikama nilichofanya ktk uzi huu. Kumtaadharisha End.
 
Umesahihisha spelio tu ila hujaja na fact za kumpinga mwamba

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Umekurupuka!

1. Nimesahihisha jina la mtu ambalo alilikosea.

2. Nimesahihisha jina la Taasisi/Idara ambalo alilikosea.

3. Maoni yangu kuhusu uzi.

Mtoa mada ameielewa comment yangu.

Haya, onesha wapi nimempinga 'mwamba'..!
 
Hii kitu inayoitwa mfumo ni balaa sana.....
Yaani ukiupinga tu lazima ukutane na "imbombo ngafu"

Watu wanawabeza wa kwetu kwa kuwa tunawaona kama wanayumba ila ukiwa mfuatiliaji wa masuala ya kijasusi hata hao siaiei ni utopolo tu [emoji23][emoji23][emoji23]......

Wanatengeneza mazingira uwaamini wao ni bora sanaaaaa kuliko kumbe ni wa kawaida tu...
Tz ni Nchi ngumu sana kiulinzi na kiusalama .Marais wote Huwa wanawaweka wao kulingana na data base ya Taifa kwamba akitoka huyu aingie nani.Tulianza na mtawala kutoka mashariki (mawio)akaja wa kisiwani,akafata wa mwisho wa Nchi,akafuata wa Bichi,tukaja kumpata anaetokea Jua linapozamia,now tunae .....je akitoka huyu atakuja yupi?Au ni kutoka hapo kati?Tuvute subra ingawa kiunabii Nchi ipo gizani bado .Tuliombee Taifa letu tuvuke salama plz tusimbeze mleta mada yupo sahihi kabsa .
Kumbukeni ajae ndo atailetea nchi maendeleo makubwa sana .Hivo after Giza ni mwanga tuipende Nchi yetu.EE MWENYEZI MUNGU MUUMBAJI TUNAKUOMBA UIBARIKI NCHI YETU .


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida vijana wengi humu wanaushabiki tu, hawapendi kukiri ukweli wa mambo. Wakati tunakuwa , tuliambiwa Tanzania ni moja ya nchi inayoheshimika duniani kwa maswala ya upelelezi. Ila ni nchi isiyo na makuu. Ufanya mambo yake kimya kimya.
Sasa siasa hizi za leo ambazo watu wanadhani kudhalilisha au kutukana viongozi wakuu wa nchi na kukashifu Taifa lako na vyombo vya ulinzi ati ndo siasa za kukufanya uonekane wewe ni mjuvi wa mambo.
Kufa kwa kiongozi wa nchi ni sawa na kifo cha mzazi nyumbani, awe mama au baba. Familia utetereka kwa miaka. Hivyo tusikimbilie kusema nchi imesimama vizuri na kuanza kuropoka maneno tusiyojua.
Kitu kimoja kilinishangaza mama utadhani hii awamu ni tofauti na iliyopita, anasema alipoingia alikuta sijui shule kadhaa sasa anajenga kadhaa. Anajiweka kama vile hakuwepo kwenye serikali hilo pita. Anasahau yeye ni mwendelezo wa kumalizia awamu ya serikali iliyopita. Kwani alikuwa makamu wa Rais na ilani ni ileile inayotumika hakuna nyingine.
Mama anaanza kuona utamu wa madaraka, anajitangaza kuwa mgombea kabla ya wakati. Awe makini asipotoshwe. Hawezi achwa agombee tu bila kupimwa kuwa je ndo alikuwa chaguo baada ya Magufuli kama angemaliza muhula wake.
Nchi bado haijatulia, Rais wetu hasijione kafika. Na kuanza kujiona ana haki ya kufanya lolote!
100%Watu wanazani Rais hutokea tu kwa utashi wake tu.Nchi yetu inajua nani atafuta,Atulie tu haya mambo yataki haraka .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingawa mifumo mingi ya usalama sio kila jambo la kiusalama rais analalifahamu na baaadhi ya mambo rais ni kama muhuri tu ila kuna watu hupanga na kutenda bila idhini yake usalama ni jambo endelevu ila rais ni mpita njia tu
Duh nakubaliana na wewe kwa hili, maybe Kuna watu Wana see beyond for our national interest.
 
Acha ujuaji fatilia kifo Cha Sokoine utaona ,,,rais wa kipindi hicho akiizuia team maalumu ya ndani na kutoka nje iliyokuwa inachunguza kifo Cha kiongozi yule.

Yaan unadhania rais huwa anakufa Kama panzi....????
Sokoine alikuwa Rais wa wapi?
 
Back
Top Bottom