Rais wa Nchi anapofariki akiwa madarakani Nchi huwa katika nyakati za hatari zaidi kuliko wakati wowote ule

Rais wa Nchi anapofariki akiwa madarakani Nchi huwa katika nyakati za hatari zaidi kuliko wakati wowote ule

Bos usiongee kwa hisia .Ebu jiulize JPM alikua na nguvu gani CCM had kuwa Rais?Sasa huoni kwamba kulikua na nguvu nyuma ya pazia iliyomweka?Mfumo wa ulinzi na Usalama wa hii Nchi ni zaidi ujuavyo.Mwalimu Nyerere huyu Mzee hakuna wa kawaida kwa mambo aliyoyafanya.

Pia fahamu kuwa Rais wa Nchi yoyote yenye mfumo wa ulinzi na Usalama uliomadhubuti Huwa hatokei ghafula tu Huwa anaandaliwa na mfumo wa Usalama zeni mnaletewa tu kupiga kura .Hiyo ipo duniani kote kwa Nchi ambazo zipo vizuri kiulinzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unaposema "huwa anaandaliwa" unamanisha nn? [emoji38][emoji38] Yaani unataka kuniambia JPM aliandaliwa na Usalama??? You are deeply Wrong brother!

Narudia tena Mfumo wa Usalama nchi hii ni tofaut kabisa na nchi hizo zenye kitu kinaitwa "Mfumo" [emoji2][emoji2][emoji2] hivi unajua maana ya neno lenyewe mfumo kwanza?

Usitake kufananisha mfumo unaorecruit personnel kwa kuangalia una toka chama gani au unajuana na nani mkuu, hivi mbona unaongea kama mtu ambaye ni stranger kwny nchi hii, yan km vile umeshuka toka Cambodia leo Mkuu???

Ni hivi ningeweza kusema kwa luga nyingine kwmba "The intelligence agency of ....... actually has no intelligence"
 
Bos usiongee kwa hisia .Ebu jiulize JPM alikua na nguvu gani CCM had kuwa Rais?Sasa huoni kwamba kulikua na nguvu nyuma ya pazia iliyomweka?Mfumo wa ulinzi na Usalama wa hii Nchi ni zaidi ujuavyo.Mwalimu Nyerere huyu Mzee hakuna wa kawaida kwa mambo aliyoyafanya.

Pia fahamu kuwa Rais wa Nchi yoyote yenye mfumo wa ulinzi na Usalama uliomadhubuti Huwa hatokei ghafula tu Huwa anaandaliwa na mfumo wa Usalama zeni mnaletewa tu kupiga kura .Hiyo ipo duniani kote kwa Nchi ambazo zipo vizuri kiulinzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kungekuwa na hiyo mifumo Kikwete asingepata Urais.

Kikwete alipata Urais kwa nguvu ya genge la mafisadi la wanamtandao, ambao jaribio lao la pili kwa Lowasa likiferi, hapa panahitaji mjadala.
 
Mh.Rais SSH yuko sahihi kutangaza nia...tatizo la chama kikubwa Kama CCM wangeanza kupambania nafasi za kugombea na kuacha kufanya kazi.....ili kuwakatisha tamaa na kazi ziendelee mujarabu huo ni KUTANGAZA TU HUKO....
Kwa hiyo ametangaza ili kujampisha watu tu ila yeye hana nia ya dhati ya kugombea?
 
Hivi unaposema "huwa anaandaliwa" unamanisha nn? [emoji38][emoji38] Yaani unataka kuniambia JPM aliandaliwa na Usalama??? You are deeply Wrong brother!

Narudia tena Mfumo wa Usalama nchi hii ni tofaut kabisa na nchi hizo zenye kitu kinaitwa "Mfumo" [emoji2][emoji2][emoji2] hivi unajua maana ya neno lenyewe mfumo kwanza?

Usitake kufananisha mfumo unaorecruit personnel kwa kuangalia una toka chama gani au unajuana na nani mkuu, hivi mbona unaongea kama mtu ambaye ni stranger kwny nchi hii, yan km vile umeshuka toka Cambodia leo Mkuu???

Ni hivi ningeweza kusema kwa luga nyingine kwmba "The intelligence agency of ....... actually has no intelligence"
Idara ya usalama wa Taifa ina nguvu katika maamuzi ni nani awe Raisi, kumbuka songombingo la 2015 watu walijua Membe ndio atakuwa Raisi ila Mh. Kikwete akapigwa chenga na Idara na Magufuli akaibuka mshindi. Ila Membe nae alikuwa mbishi alikuwa mwanakitengo mwenye nguvu na ushawishi ila mahusiano mabovu na kitengo yakamfanya akose nafasi huwenda yeye ndie angelikuwa baada ya Jk.
 
MMimi
Shida vijana wengi humu wanaushabiki tu, hawapendi kukiri ukweli wa mambo. Wakati tunakuwa , tuliambiwa Tanzania ni moja ya nchi inayoheshimika duniani kwa maswala ya upelelezi. Ila ni nchi isiyo na makuu. Ufanya mambo yake kimya kimya.
Sasa siasa hizi za leo ambazo watu wanadhani kudhalilisha au kutukana viongozi wakuu wa nchi na kukashifu Taifa lako na vyombo vya ulinzi ati ndo siasa za kukufanya uonekane wewe ni mjuvi wa mambo.
Kufa kwa kiongozi wa nchi ni sawa na kifo cha mzazi nyumbani, awe mama au baba. Familia utetereka kwa miaka. Hivyo tusikimbilie kusema nchi imesimama vizuri na kuanza kuropoka maneno tusiyojua.
Kitu kimoja kilinishangaza mama utadhani hii awamu ni tofauti na iliyopita, anasema alipoingia alikuta sijui shule kadhaa sasa anajenga kadhaa. Anajiweka kama vile hakuwepo kwenye serikali hilo pita. Anasahau yeye ni mwendelezo wa kumalizia awamu ya serikali iliyopita. Kwani alikuwa makamu wa Rais na ilani ni ileile inayotumika hakuna nyingine.
Mama anaanza kuona utamu wa madaraka, anajitangaza kuwa mgombea kabla ya wakati. Awe makini asipotoshwe. Hawezi achwa agombee tu bila kupimwa kuwa je ndo alikuwa chaguo baada ya Magufuli kama angemaliza muhula wake.
Nchi bado haijatulia, Rais wetu hasijione kafika. Na kuanza kujiona ana haki ya kufanya lolote!
Mimi kama mama ataachwa agombee pekee nitaamini kumbe Usalama wa Nchi hii huwa haufanyi Vetting kwa Wagombea wa Chama Tawala kama ambavyo Siku zote tumeaminishwa. Na kwa jinsi hiyo UPINZANI hata wakiibiwa kura Zao wasiogope kuchukua hatua kwa sababu Wao hawaingilii mambo ya Kisiasa. Kweli kwa Nchi inayotaka kuendelea kwa kasi, mama anaweza kufikiriwa kuwa mgombea serious? Awe mgombea kwa maono yepi? Haya maono ya nadharia za Women Empowerment? Women Empowerment ni maono ya kulisongesha Taifa?
 
Acha ujuaji fatilia kifo Cha Sokoine utaona ,,,rais wa kipindi hicho akiizuia team maalumu ya ndani na kutoka nje iliyokuwa inachunguza kifo Cha kiongozi yule.

Yaan unadhania rais huwa anakufa Kama panzi....????
Hivi rais ameumbwa tafauti na viumbe wengine?
 
Ukosefu wa utulivu si vurugu mtaani au nn, bali unakuwa hasa kwa system nzima na wananchi. Inaweza kuwa kisaikolojia. Mfano, wananchi watakuwa hawajaelewa, direction ipi wataenda. Kuna kuwa na lugha ambazo mfano kukitokea jambo watu wanakimbilia kusema heri fulani angekuwepo? Haya mambo ni kisaikolojia inaitajika muda mpaka hapo watu watazoea na utulivu utaendelea.

Pia kutokuwepo utulivu ktk maswala mazima ya kiutawala. Hii mfano kuna makundi yatatokea yaweza kuwa ya siri au uwazi. Kuna ambao watakuwa bado wanamlengo wa kiongozi alopita, na ambao watakuwa ktk mlengo wa kiongozi aliopo madarakani. Hii haileti utulivu, hata Rais aliopo itakuwa inamsumbua kichwani. Ni mambo yanayohitaji muda. Tazama hata katuni ya kipaya, utajua nachoongelea.

Utulivu usiokuwepo ni wakisakolojia hasa kwa wananchi. Na pia utulivu usiokuwepo ni wakitawala. Rejea sasa Swala la machinga. Inaonesha viongozi wa mikoa kadhaa wanawatimua machinga. Viongozi wengine wanasema hapana Magufuli alikataa wasitimuliwe. Mama hataki toa maamuzi ya wazi kama Magufuli alivyofanya, alimwita SSH wakati huo akiwa makamu na waziri wa Tamisemi akasema Machinga wasibughuziwe, Mkuu wa Mkoa anae ona hataki kufuata maagizo ajiuzuru. Hii ilikuwa kauli ya JPM haikuwa na unafiki.

Mama yeye anasema wapangeni, lakn viongozi hawajali wameendelea kufanya watakavyo. Je hapa mama Rais wetu anaogopa kuchukua hatua? Make machinga hawapangwi bali wanafukuzwa. Hii ndo kutokuwepo kwa utulivu kiutawala, na mengine mengi.
Mimi nimekupenda sana kwa kuwa unachambua mambo kwa kutumia kichwa tofauti na wanaotumia kwato. Nchi gani inatulia kwa Kiongozi asiye na maono? Hebu mtu atoke sasa hivi aseme maono ya mama. Nadhani kuna watu hawaelewi Maono ni kitu gani hasa! Hivi kauli ya mama kwamba TWENDE NA DUNIA ni Maono? Unaenda na Dunia wapi? Na Dunia ipi anataka twende nayo? Dunia ya Magharibi au Mashariki? Dunia ya Kusini au Kaskazini? Dunia ya Kutuona Waafrika hatuna cha kuchangia isipokuwa Ujinga na Ombaomba? Dunia inayotuona Waafrika hatuna uwezo wala mbinu za kutibu maradhi yoyote yale?
 
Kungekuwa na hiyo mifumo Kikwete asingepata Urais.

Kikwete alipata Urais kwa nguvu ya genge la mafisadi la wanamtandao, ambao jaribio lao la pili kwa Lowasa likiferi, hapa panahitaji mjadala.
Unaweza kuwa na ukweli ila sii kweli... JK nimoja ya kazi nzuri ya system. Nadhani JK aweza kuwa moja ya majasusi hatari kabisa yaliopikwa nakupikika kwa ajili ya kesho ya taifa hili. Tunaweza sema mengi ila mmmm huyu mzee sio wakawaida
 
CCM ina ada na kawaida zake....

Ni utamaduni wa kumuachia nafasi aliyepo madarakani.......

Mh.Rais SSH alikuwa VP na Sasa ni Rais kikatiba....atakuwaje hapo nje ya maslahi ya taifa?!!! 😳😳

Amefanya vyema KUKITULIZA CHAMA DHIDI YA MINYUKANO YA KUWANIA MADARAKA.....

#SiempreJMT
Utamaduni na Desturi ni kitu kizuri ikiwa tu Utamaduni na Desturi hizo zina maana kwa Taifa. Nchi hii sio Mali ya CCM kiasi kwamba wajitungie Desturi ambazo haziachi tija kwa Wananchi. Naomba nikuulize: mama ana Sifa gani za kuachwa agombee dhidi ya maono yepi ya Taifa hili?
 
Utamaduni na Desturi ni kitu kizuri ikiwa tu Utamaduni na Desturi hizo zina maana kwa Taifa. Nchi hii sio Mali ya CCM kiasi kwamba wajitungie Desturi ambazo haziachi tija kwa Wananchi. Naomba nikuulize: mama ana Sifa gani za kuachwa agombee dhidi ya Sifa maono yepi ya Taifa hili?
Asingekuwa na sifa wala JPM asingempendekeza mgombea wake mwenza....wala "vetting" isingekubali apite kwani katiba inaelekeza yupi anakuwa Rais ikitokea kilichotokea......

Mh.SSH ameshakuwa RAIS....

Ndani ya muda mfupi ameamuru mwendelezo wa yafuatayo:-

1)Ujenzi wa SGR
2)Ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere
3)KULIENDELEZA jiji la Dodoma na ujenzi wa kiwanja cha ndege Msalato
4)Kaajiri vijana 8000(Tamisemi+Wizara ya Afya)...ilipita miaka 6 hakukuwa na ajira nyingi mpya
5)Kapandisha madaraja watumishi wa umma....ilipita miaka mingi hilo halikuonekana.....
6)Kaahidi kupandisha mishahara mwaka ujao wa fedha
7)n.k n.k

Haya niletee swali lingine la "MBANGO"......
 
Idara ya usalama wa Taifa ina nguvu katika maamuzi ni nani awe Raisi, kumbuka songombingo la 2015 watu walijua Membe ndio atakuwa Raisi ila Mh. Kikwete akapigwa chenga na Idara na Magufuli akaibuka mshindi. Ila Membe nae alikuwa mbishi alikuwa mwanakitengo mwenye nguvu na ushawishi ila mahusiano mabovu na kitengo yakamfanya akose nafasi huwenda yeye ndie angelikuwa baada ya Jk.
Nakubaliana na wewe na ila sijaona nguvu yeyote hapo zaidi tu ya kuona uchama ulivyo ndani ya mfumo alafu sikia hata kama ni kipofu unatakiwa kufanya maamuzi huwezi shindwa kujua kati ya membe na JPM enzi zile ni nani alikua na nafasi ya kukipatia chama ushindi hii haikuhitaji uwe na degree ndio uelewe ndugu

Ndio nikakwambia idara cku zote ipo kuhakikisha chama kinatawala cjui umenielewa ndugu????
 
Asingekuwa na sifa wala JPM asingempendekeza mgombea wake mwenza....wala "vetting" isingekubali apite kwani katiba inaelekeza yupi anakuwa Rais ikitokea kilichotokea......

Mh.SSH ameshakuwa RAIS....

Ndani ya muda mfupi ameamuru mwendelezo wa yafuatayo:-

1)Ujenzi wa SGR
2)Ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere
3)KULIENDELEZA jiji la Dodoma na ujenzi wa kiwanja cha ndege Msalato
4)Kaajiri vijana 8000(Tamisemi+Wizara ya Afya)...ilipita miaka 6 hakukuwa na ajira nyingi mpya
5)Kapandisha madaraja watumishi wa umma....ilipita miaka mingi hilo halikuonekana.....
6)Kaahidi kupandisha mishahara mwaka ujao wa fedha
7)n.k n.k

Haya niletee swali lingine la "MBANGO"......
Kwa hiyo, hayo ndo maono? Kupandisha mishahara na kuendeleza aliyoyaanzisha aliyemtangulia ndo maono? Kwa haya tayari anastahili kuwa Raisi? Na je JPM angalikuwepo angalimuachia kiti? Kwa hiyo alipowaonya Kabudi na Lukuvi wasiwe na ndoto za Uraisi na kusema Raisi ajaye lazima awe kijana alimaanisha kijana mwenyewe ni huyu mama?
 
Kwa hiyo, hayo ndo maono? Kupandisha mishahara na kuendeleza aliyoyaanzisha aliyemtangulia ndo maono? Kwa haya tayari anastahili kuwa Raisi? Na je JPM angalikuwepo angalimuachia kiti? Kwa hiyo alipowaonya Kabudi na Lukuvi wasiwe na ndoto za Uraisi na kusema Raisi ajaye lazima awe kijana alimaanisha kijana mwenyewe ni huyu mama?
Mkuu unauliza maswali kama umtoto mdogo.....kwani JPM yupo?!! 😳😳😳

Ange.....
Ange....
Ange.....

Khaaa😳😳

Kwa hiyo mh.Rais hana maono ?!!

Nchi haina sera na dira ya ndani na nje?!!!

Kwa hiyo ni maono tu ya JPM ndiyo yaliyokuwa sahihi na si ya Mh.Rais SSH?!!!


Well......ni huyohuyo JPM aliyempendekeza/pendekezewa kuwa MGOMBEA WAKE MWENZA na akakubali...leo unamuuliza maswali atujibu?!!!

My take :

Nchi haifi akifariki RAIS wake......

#SiempreJMT
#KaziIendelee
 
Mkuu unauliza maswali kama umtoto mdogo.....kwani JPM yupo?!! 😳😳😳

Ange.....
Ange....
Ange.....

Khaaa😳😳

Kwa hiyo mh.Rais hana maono ?!!

Nchi haina sera na dira ya ndani na nje?!!!

Kwa hiyo ni maono tu ya JPM ndiyo yaliyokuwa sahihi na si ya Mh.Rais SSH?!!!


Well......ni huyohuyo JPM aliyempendekeza/pendekezewa kuwa MGOMBEA WAKE MWENZA na akakubali...leo unamuuliza maswali atujibu?!!!

My take :

Nchi haifi akifariki RAIS wake......

#SiempreJMT
#KaziIendelee
1. Kwa hiyo, alimpendekeza ili aje awe Raisi au Makamu wa Raisi?

2. Wewe unamuona ana Maono? Maono kama "Twende na Dunia inavyotaka" ni maono kweli?
 
Uwenda watu wengi hawajuwi na huwenda wengi tunafikiri baada ya Rais wa Taifa kufa basi wakisha fukia na kupiga mizinga basi kazi imeisha. Na sasa kila mtu anaona kuna fursa basi aanze kupiga tarumbeta zake..

Jibu ni hapana.

Rais yeyote wa taifa anapo fariki Taifa huwekwa ktk hali ya hatari kwa kipindi kisicho julikana. Wakati ho team ya watu maalumu inayo undwa na maofisa wa idara nyeti za usalama huingia kazini na kuanza kutafuta tarifa nyeti na nzito ambazo hata yule alie kaimu huwenda hajuwi... Team hii ya makachero maalumu huwa na makachero maalumu kutoka idara nyeti za mataifa rafiki kufuatilia sababu za kifo za Rais alie kuwa madarakani.

Kipindi chote cha upelelezi team hii ugawanyika ktk makundi yasiojulikana kuhakikisha yeyote alie ktk kikundi kile hatowi wala kuvujisha taarifa za siri kwa mtu au kikundi chochote. Nikipindi cha hatari na dhahima kwa yeyote anaye waingilia makachero hawa.

Nikipindi ambacho kama upo smart utasikia taarifa za vifo vya top government officer silence pasipo sababu zinajulikana ila moja wapo ni natural death. Alilala hakuamka, alikuwa kikao akasema hajisikii vizuri au covid19.

Niwakati wale walikuwa wandani wa Rais alie kufa hupita nyakati ngumu na mara nyingi kifo na uzima ubaki mikononi ya team inafuwatilia kifo cha rais. Sio wakati hata kama umepata nafasi ya juu sana unapaswa kuonyesha una hatamia au unaona kwako ni fursa maana unaweza kuwa mchawi pasipokujuwa mchawi na mwisho ukaingia ktk report ya siri ya usalama wa Taifa.

Labda niseme hapa kidogo ktk Taifa lolote lenye mifumo imara ya ulinzi hasa idara hii ya usalama wa Taifa nivigumu sana Rais wa nchi kuwa huru kama vile unasikia. Idara hii nyeti ya Taifa lolote huwa ni idara inayo angalia zaidi masilahi mapana ya Taifa na mara nyingi kama Rais wa taifa akienda kinyume na taratibu hii idara ubadilika kuwa adui wa siri wa kiongozi.

Labda nitoe mfano kule Israel mtendaji mkuu wa shughuli za taifa ni waziri mkuu. Waziri mkuu wa Taifa la Israel ni mtu mwenye nguvu sana na mpaka majeshi anaweza yapeleka vitani na kwa wenzetu wame advance huwezi fikia nafasi ya uwaziri mkuu kama hujafanya jambo zito lakijasiri kuitegea nchi yako. Una ambiwa kwa mfano waziri mkuu mstaafu Bwana Benjamin Netanyau ni moja ya mawaziri alie fikia level ya ukomandoo na sio tu komandoo tu jamaa na IQ 153 kama sijakosea yani ni moja ya mawaziri ana akili sana na sio hivyo tu ila kaka yake ni among most intelligent and among the special unity ktk kukomboa mateka kule uganda ila alikufa kwa bahati mbaya na mpaka leo taifa lina omboleza juu ya kifo chake.

Niende kwenye kile nataka kuwaambia kule israel alitokea waziri mkuu mmoja anaitwa Isack Rabin waziri mkuu huyu alifanya tukio ambalo kwa taifa la Israel nikuuwawa alifikiri kwa ushawishi aliokuwa nao na nguvu atawaunganisha Israel na Palestinian na kurudisha ardhi ya Palestinian. Jambo hili alofanikiwa ila aliporudi nyumbani Isack Rabin alipigwa Risasi na kufa hapo hapo na kijana alie kuwa ktk team ya wafuwasi wake.

Jambo la ajabu sana ktk tukio hili nikuwa kulikuwa na taarifa za siri sana kwamba kijana alie muuwa waziri mkuu alikuwa ni kijana alie pikwa kwa siri na team ya mossad ili kumu eliminate waziri huyu kwasababu alikuwa aki hatarisha masilahi mapana ya usalama wa Taifa hilo.

Mossad ni moja ya idara za usalama wa taifa la israel inayo ogopwa na mataifa hata makubwa na kama ulikuwa ujuwi idara hii inaheshimika mpaka na idara nyeti kama CIA, M16 ya UK pamoja na KJB nk. Idara hii haijawahi shindwa na data zake mara zote 100% Mpaka leo kijana huyo yupo mahabusu na haijajulikana nani alie mtuma.

Rais wa Taifa kufa madarakani ni jambo lahatari sana maana huwa ni kama kibali cha kuuwa kwa jina la jamuhuri. Watu hufa watu hupotea kwa jina la jamuhuri niwakati hata wale wapo madarakani yawapasa kuwa makini na midomo yao ama mawazo yao. Niwakati ambao kama umepewa kurithi kiti basi kuongoza mka pale muda unaisha wa alie fariki nankukaa pembeni wenye nchi wamchaguwe wanaye mtaka ama usubiri kuona giza mbele kama giza liliwakumba watu wa zambia.

Sio muda eti kutangaza nia hapana epuka huwo mtego maana utaonekana mchawi. Nakufanya walio ktk upelelezi wa kifo cha Rais alie kufa kukuweka ktk list ya mambo yakuhisi.

Vyama vya upinzani nilazima kuwa makini hasa hiko kipindi maana unaweza jikuta mna hangaika na mtu msie muona why ni aina hii ya kazi ile team wanafanya.

Naandika haya kama elimu kwa watanzania na makada kujuwa hiki kipindi nikibaya sana kuunda makundi au kuanzisha vuguvugu la nani awe Rais nikitisho kwa usalama wa Taifa na Taifa.
NB

Ndugu msomaji huu uzi una nia moja kuwaelimisha watanzania kuepuka piga siasa wakati Rais ana fariki akiwa madarakani uzi huu hausiani na mtu au kikundi cha watu ktk siasa.
End

Kwamba hatakiwi kuanza kufikiria mambo ya kutangaza nia.

Hiiiii!
 
1. Kwa hiyo, alimpendekeza ili aje awe Raisi au Makamu wa Raisi?

2. Wewe unamuona ana Maono? Maono kama "Twende na Dunia inavyotaka" ni maono kweli?
1)Makamu wa Rais

2)Kuhusu "Twende na dunia inavyotaka" umeelewa lipi la ajabu?!!!
Lini Tanzania ilikwenda kinyume na dunia inavyotaka ilihali tu wanachama wa UMOJA WA MATAIFA NA JUMUIYA YA MADOLA...

Una mfano upi wa Tanzania kupata kuishi "kuzimu"?!!!
 
Back
Top Bottom