Samia Suluhu amekwenda Afrika kusini kumuwakilisha RAIS Magufuri kwenye mkutano wa marais, je Kikwete naye ni Rais? na amekwenda kule kumuwakilisha nani? kamwe nchi hatutompa tena mswahili mswahili, nyinyi kipaji chenu ni kucheza ngoma tu na siyo uongozi.