Rais wa Nchi ya Watu wa Zanzibar yupo kikazi Jijini Arusha

Rais wa Nchi ya Watu wa Zanzibar yupo kikazi Jijini Arusha

Zanzibar ni Semi autonomous region/province ....sawa na
  • Northern Ireland kwa U.K
  • Aland kwa Finland
  • Easter Island kwa Chile
  • Puerto Rico kwa U.S.A
  • Tibet + Macao + Hongkong kwa china
  • Greenland kwa Denmark
  • Kurdistan kwa Iraq
  • Chechnya kwa Urusi
  • Somaliland kwa Somalia
Tena hapo juu kuna nyingine zina hadi fedha zao wenyewe...

Zanzibar ni inajiita nchi kwa kuwafurahisha wananchi wake na kuwachukiza wabara ila nje ya Mipaka ya Tanzania haitambuliki...
 
Kiti chao ndio kinachotumiwa na TanzaniaView attachment 2992517

..nchi yoyote ile ikipata uhuru huwa inaandikishwa uanachama ktk umoja wa mataifa / UN.

..Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 hivyo iliandikishwa uanachama wa UN mwaka huo.

..Zanzibar ilipata uhuru mwaka 1963 nao waliandikishwa kuwa wanachama wa UN.

..Tanganyika na Zanzibar zilipoungana 1964 wawakilishi wake waliokuwa UN walitoa taarifa kwa Katibu Mkuu wa UN hivyo wakapewa uanachama mmoja kama United Republic of Tanganyika and Zanzibar.
 
Ni Rais wa Jamhuri ya watu wa Zanzibar.

Zanzibar ni nchi taka usitake.

..Husseni ameingiaje madarakani?

..damu ya Waznz haikumwagika ili Husseni aingie madarakani?

..wahanga wa udhalimu huo wametambuliwa na kupewa pole kwa yaliyotokea?

..Samia na Husseni wameshika hatamu za nchi, je, wamefanya lolote kutibu maharaja ya wananchi wa Znz? Au, akili, muda, na rasilimali zimeelekezwa kwenye kubakia madarakani?
 
Nimeshangazwa sana na kitendo cha CRDB kuwazuia wanahisa wake wanaochagia angalau kwa kiwango cha chini mafanikio ya CRDB, kwa kuwazuia wasiingie kwenye seminar eti kwa kuwa Makonda na Mwinyi kama wakuu wametangulia kuingia kwenye ukumbi.... Getini pale kulikuwa na ucheleweshaji usiokuwa na faida yoyote kwani wanahisa hawakubeba mabomu ya kulipua ukumbi.
Huu mwelekeo wa kuingiza siasa kwenye masuala ya biashara na uwekezaji tena wa umma yatairudisha CRDB kuzimu. Nimesafiri kutoka Dar es salaam kuhudhuria mkutano na semina badala yake nakuta walinzi wa Ikulu mlangoni wakizuia wanahisa kuhudhuria sherehe inayowahusu???....Hii haikukaa sawa hata kidogo. 😳😳😡😡
 
Hata Somaliland Kuna Rais,Taiwan Kuna Rais,HongKong yupo,Visiwa vya Shirikisho la Uingereza Wana Mawaziri wakuui nk .Je umewahi ona Bendera au uwakilishi wa hizo unaita Nchi kwenye Jumuiya za Kimataifa?

Jibu ni kwamba Urais wao hauna tofauti na kina Karia wa TFF.
Acha uongo wewe. Hong Kong ipo China. Pia Somaliland imebakiza kufikisha nchi kadhaa itambulike kimataifa. Kenya Wana ubalozi Somaliland .
 
Nimeshangazwa sana na kitendo cha CRDB kuwazuia wanahisa wake wanaochagia angalau kwa kiwango cha chini mafanikio ya CRDB, kwa kuwazuia wasiingie kwenye seminar eti kwa kuwa Makonda na Mwinyi kama wakuu wametangulia kuingia kwenye ukumbi.... Getini pale kulikuwa na ucheleweshaji usiokuwa na faida yoyote kwa kwani wanahisa hawakubeba mabomu ya kulipua ukumbi.
Huu mwelekeo wa kuingiza siasa kwenye masuala ya biashara na uwekezaji tena wa umma yatairudisha CRDB kuzimu. Nimesafiri kutoka Dar es salaam kuhudhuria mkutano na semina badala yake nakuta walinzi wa Ikulu mlangoni wakizuia wanahisa kuhudhuria sherehe inayowahusu???....Hii haikukaa sawa hata kidogo. 😳😳😡😡
Ni protokali mkuu. Rais akishaingia ni ngumu kuruhusiwa kuingia Tena.
 
Hata Somaliland Kuna Rais,Taiwan Kuna Rais,HongKong yupo,Visiwa vya Shirikisho la Uingereza Wana Mawaziri wakuui nk .Je umewahi ona Bendera au uwakilishi wa hizo unaita Nchi kwenye Jumuiya za Kimataifa?

Jibu ni kwamba Urais wao hauna tofauti na kina Karia wa TFF.
Mtu anayekusanya ushuru wa forodha usimlinganishe na Karia anayekusanya gate collection Benjamin Mkampa Stadium au Uwanja wa Manungu Turiani Morogoro.
 
Vipi alipigiwa mizinga 21 na kukagua gwaride rasmi la Jeshi la Wananchi wa Tanganyika?
Kiprotokali nani alikuwa mwenyeji wake kwa ngazi ya Urais?
 
Zanzibar ni nchi na walikuwa na kiti chao UN.
Na Tanganyika nayo ilikuwa na kiti UN. Tukakubaliana nchi iitwe Jamhuri ya watu wa Tazania. Ninyi mkatulaghai mnaendelea kuitwa nchi ya zanzibar na watanganyika wamebaitizwa tanzania bara nchi ambayo haijawahi kuwepo dunia hii.
 
Hata Somaliland Kuna Rais,Taiwan Kuna Rais,HongKong yupo,Visiwa vya Shirikisho la Uingereza Wana Mawaziri wakuui nk .Je umewahi ona Bendera au uwakilishi wa hizo unaita Nchi kwenye Jumuiya za Kimataifa?

Jibu ni kwamba Urais wao hauna tofauti na kina Karia wa TFF.
Karia ana mpambe wa Jeiwii?

Unajua Tz ni viongozi wangapi Wana wapambe kutoka Jeiwii

Bure Kabisa we Msafwa 😂
 
Rais wa Nchi ya Zanzibar yuko Jijini Arusha kikazi maalumu Mkutano Mkuu wa CRDB.

Kama ulivyo utaratibu wa kuwapokea Viongozi wakuu wa nchi mbali mbali,leo mji wa Arusha umetembelewa na Rais wa Nchi ya Zanzibar kwa bashasha kubwa.

Adhaa pekee tunayokumbana na nayo ni foleni kubwa ambazo zimesababishwa na ugeni wa kiongozi huyu mashuhuri wa nchi ya Zanzibar.

Kama ilivyo kawaida kiongozi mkuu uongozwa na kimulimuli cha rangi ya njano.Kimulimuli cha rangi ya blue kinamhusu Majaliwa na naibu waziri mkuu na viongozi wengine wapendao vimulimuli.

Karibu Tanganyika,karibu Arusha.
Ni mkuu wa mkoa wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Zanzibar
 
Back
Top Bottom