Rais wa Nchi ya Watu wa Zanzibar yupo kikazi Jijini Arusha

Rais wa Nchi ya Watu wa Zanzibar yupo kikazi Jijini Arusha

Rais wa nchi ya watu wa Zanzibar yupo kikazi ktk nchi ya Tanganyika, mkoa wa Arusha
 
Ana passport ya kuja Tanganyika?
Rais wa Nchi ya Zanzibar yuko Jijini Arusha kikazi maalumu Mkutano Mkuu wa CRDB.

Kama ulivyo utaratibu wa kuwapokea Viongozi wakuu wa nchi mbali mbali,leo mji wa Arusha umetembelewa na Rais wa Nchi ya Zanzibar kwa bashasha kubwa.

Adhaa pekee tunayokumbana na nayo ni foleni kubwa ambazo zimesababishwa na ugeni wa kiongozi huyu mashuhuri wa nchi ya Zanzibar.

Kama ilivyo kawaida kiongozi mkuu uongozwa na kimulimuli cha rangi ya njano.Kimulimuli cha rangi ya blue kinamhusu Majaliwa na naibu waziri mkuu na viongozi wengine wapendao vimulimuli.

Karibu Tanganyika,karibu Arusha.
spo ya kuja Tanganyika?
 
Hata Somaliland Kuna Rais,Taiwan Kuna Rais,HongKong yupo,Visiwa vya Shirikisho la Uingereza Wana Mawaziri wakuui nk .Je umewahi ona Bendera au uwakilishi wa hizo unaita Nchi kwenye Jumuiya za Kimataifa?

Jibu ni kwamba Urais wao hauna tofauti na kina Karia wa TFF.
Mkuu ukichukul8a kwa idadi ya watu, "Rais" Karia ana deal na watu wa soka wengi kuliko "Rais" Mwinyi.
Ulimwengu wa soka kwa Tanzania una wafuatiliaji na wahusika zaidi ya 5m wakati ule mkoa wa Zenji ni kama 2m pekee
 
Mkuu ukichukul8a kwa idadi ya watu, "Rais" Karia ana deal na watu wa soka wengi kuliko "Rais" Mwinyi.
Ulimwengu wa soka kwa Tanzania una wafuatiliaji na wahusika zaidi ya 5m wakati ule mkoa wa Zenji ni kama 2m pekee
Hana mamlaka ya kidola,ni sawa ana socialize tuu 😁😁
 
Soon Arusha kutajaa wavaa Kobaaz na Wala urojo watakuja kuwekeza
 
Ni protokali mkuu. Rais akishaingia ni ngumu kuruhusiwa kuingia Tena.
Sidhani kama uko sahihi kwenye hili mkuu, CRDB iko hapo ilipo kutokana na mitaji ya wanahisa wala sio hisani ya Serikali. Mwinyi na mwenzake Makonda pamoja na kundi kubwa la waalikwa wamekwenda kujaza ukumbi na kuwaacha wenye mali nje eti kisa protokali?
Nafarijika kumsikia Nsekela mwenyewe akiomba radhi kwa tukio lile la udharirishaji....CRDB ni mali ya wanahisa na haiwezi kuendeshwa kisiasa hivyo.
 
Hata Somaliland Kuna Rais,Taiwan Kuna Rais,HongKong yupo,Visiwa vya Shirikisho la Uingereza Wana Mawaziri wakuui nk .Je umewahi ona Bendera au uwakilishi wa hizo unaita Nchi kwenye Jumuiya za Kimataifa?

Jibu ni kwamba Urais wao hauna tofauti na kina Karia wa TFF.
hizo zote umetaja raia wa pande zote wana muingiliano sawa sio kama huku mbara hatambulik kule Zenji
 
hizo zote umetaja raia wa pande zote wana muingiliano sawa sio kama huku mbara hatambulik kule Zenji

Hatambuliki na ndiye Raisi au huelewi kuwa kijana wa Mkuranga ndiye Raisi ?
 
Back
Top Bottom