uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Ok basi maisha yaendeleeMkoa wenye hadhi ni TANGANYIKA maana hata bendera hatuna Wala nchi yenyewe tu haipo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok basi maisha yaendeleeMkoa wenye hadhi ni TANGANYIKA maana hata bendera hatuna Wala nchi yenyewe tu haipo.
Mkoa wenye hadhi ni TANGANYIKA maana hata bendera hatuna Wala nchi yenyewe tu haipo.
Bange bwana!Ni Rais wa Jamhuri ya watu wa Zanzibar.
Zanzibar ni nchi taka usitake.
spo ya kuja Tanganyika?Rais wa Nchi ya Zanzibar yuko Jijini Arusha kikazi maalumu Mkutano Mkuu wa CRDB.
Kama ulivyo utaratibu wa kuwapokea Viongozi wakuu wa nchi mbali mbali,leo mji wa Arusha umetembelewa na Rais wa Nchi ya Zanzibar kwa bashasha kubwa.
Adhaa pekee tunayokumbana na nayo ni foleni kubwa ambazo zimesababishwa na ugeni wa kiongozi huyu mashuhuri wa nchi ya Zanzibar.
Kama ilivyo kawaida kiongozi mkuu uongozwa na kimulimuli cha rangi ya njano.Kimulimuli cha rangi ya blue kinamhusu Majaliwa na naibu waziri mkuu na viongozi wengine wapendao vimulimuli.
Karibu Tanganyika,karibu Arusha.
Mkuu ukichukul8a kwa idadi ya watu, "Rais" Karia ana deal na watu wa soka wengi kuliko "Rais" Mwinyi.Hata Somaliland Kuna Rais,Taiwan Kuna Rais,HongKong yupo,Visiwa vya Shirikisho la Uingereza Wana Mawaziri wakuui nk .Je umewahi ona Bendera au uwakilishi wa hizo unaita Nchi kwenye Jumuiya za Kimataifa?
Jibu ni kwamba Urais wao hauna tofauti na kina Karia wa TFF.
Hana mamlaka ya kidola,ni sawa ana socialize tuu 😁😁Mkuu ukichukul8a kwa idadi ya watu, "Rais" Karia ana deal na watu wa soka wengi kuliko "Rais" Mwinyi.
Ulimwengu wa soka kwa Tanzania una wafuatiliaji na wahusika zaidi ya 5m wakati ule mkoa wa Zenji ni kama 2m pekee
Hata huyo wa Zenji hana mamlaka ya kidola.Hana mamlaka ya kidola,ni sawa ana socialize tuu 😁😁
Anayo partial ndio maana anakagua gwaride na mizingaHata huyo wa Zenji hana mamlaka ya kidola.
Au zile KMKM, Chuo cha mafunzo na valontia (sorry for spelling) nayo ni mamlaka ya kidola?
Sidhani kama uko sahihi kwenye hili mkuu, CRDB iko hapo ilipo kutokana na mitaji ya wanahisa wala sio hisani ya Serikali. Mwinyi na mwenzake Makonda pamoja na kundi kubwa la waalikwa wamekwenda kujaza ukumbi na kuwaacha wenye mali nje eti kisa protokali?Ni protokali mkuu. Rais akishaingia ni ngumu kuruhusiwa kuingia Tena.
Ni Rais wa Jamhuri ya watu wa Zanzibar.
Zanzibar ni nchi taka usitake.
hizo zote umetaja raia wa pande zote wana muingiliano sawa sio kama huku mbara hatambulik kule ZenjiHata Somaliland Kuna Rais,Taiwan Kuna Rais,HongKong yupo,Visiwa vya Shirikisho la Uingereza Wana Mawaziri wakuui nk .Je umewahi ona Bendera au uwakilishi wa hizo unaita Nchi kwenye Jumuiya za Kimataifa?
Jibu ni kwamba Urais wao hauna tofauti na kina Karia wa TFF.
hizo zote umetaja raia wa pande zote wana muingiliano sawa sio kama huku mbara hatambulik kule Zenji
Kwani huku hakuna? Je wanajitambulishaje?hizo zote umetaja raia wa pande zote wana muingiliano sawa sio kama huku mbara hatambulik kule Zenji