Rais wa serikali ya wanafunzi chuo cha biashara (CBE) mbaroni kwa wizi

sioni tatizo, mbona mu alikutwa na mtambo wa kutengeneza hela pale moro na ni mtambo wa mtoto wa mkulu na hakuna hatua zilizochukuliwa
 
kazi kubwa ya ccm ni wizi mengine niziada tu
 
Ni Binti? Maskini waeeee Valentine hiii jamani!!!!!!
"bwana Ramadhan Kirungi anashikiliwa na Polisi "..........atakuwa mwanaume na si binti. Cheki hao waliofungwa pingu....labda mmoja wao kati ya hao.
 
Rais kichwa maji kweli. Alikuwa ana gegeda madem kama fisi maji hadi kawalipia ada kutokana na pesa za escrow. Alikuwa ameanza kutengeneza kamati za kumsaidia kwenye kampen za urais. Kiburi,majigambo,umbeya na dharau ndo zimemponza mpaka sasa yupo mahabusu ya polisi
 
Ramadhani kirungi Ni dogo aliekua na msimamo Sana alidharau serikali yetu iliyomtangulia na kutumia udhaifu wetu katika kampeni zake na kushinda urais lkn aliyokuja kuyafanya bado siamini kabisa...kuhusu msimamo wa kichama dogo Ni chadema wakutupwa
 
Ni kweli kabisa mkuu!!!!
 
HUYO RAIS WA CBE alianza na CDM na amemaliza na CDM.
 
Huyo dogo hajielewi....una iba fedha wakati chuo hujamaliza?
Mwizi siku zote huwa hana akili, hajui kwamba bank huwa kuna camera watu wanaanza kukufuatilia kule kabla ya kukukamata, wanzake wana balance vitabu vya mahesabu baada hela kuchukuliwa kwa taratibi za kihalali kutoka bank wanakuja kugunduliwa na auditors, yeye amezivita kule kule alafu wamegundua salio limepungua cha kwanza ni kuangalia njia ilizotoka na camera
 
Watu kuwen makini ckuhiz chadema ndo mpango mzima mtu akitaka nafasi yeyote hata makazini lazima ajee kwa mgongo wa chadema kimtazoma my take is epukeni matapeli
 

We kweli ukwaju, Kwanza sio mtoto wa kike, pili huna chembe ya maadili, tatu hujielewi, nne unatetea ujambazi... Hakika nawe u Jambazi
 
We kweli ukwaju, Kwanza sio mtoto wa kike, pili huna chembe ya maadili, tatu hujielewi, nne unatetea ujambazi... Hakika nawe u Jambazi
ww ndio mpuuzi kabisa unayekosa kisoma na kufuatilia maisha ya watu, hivi kumchoma mwenzako ni ili afeli? au afungwe na je ndio mwisho wa maisha yake.
mm SIKUSOMA KACHUO HAKO na siwezi kusoma Chuo cha kifala km CBE mnajidhalilisha mpaka na vyeti vya masomo ya usiku kwa kuja kuajiriwa na nani Saccos au sokoni kwenye migahawa
kwa kifupi hebu kuwa na uingie Uraiani uone Machungu ya maisha sio kukaa bwenini na kusubiri ada ya Mama akulipie kwani umekuwa Punga?

muwe na staha hata mtakapoingia uraiani si vizuri kuchomana kwa ajili tu ya siasa za BAVICHA na UVCCM
kwa sababu maisha ya kuchaguliwa kwa vidole yana mwisho na Vyuoni ni miaka miwili tu
Halafu hujuai hata Kesi zinaendeshwaje, unaanza kunilaumu km ww nia Jaji unamuhukumu mwenzako jambazi na hela mnazo?
Kwanza sio mtoto wa kike, pili huna chembe ya maadili, tatu hujielewi, nne unatetea ujambazi... Hakika nawe u Jambazi


Picha zilizopatikana mtandaoni zinamtaja mtuhumiwa aliyeko mikononi mwa askari polisi kuwa ni Rais wa wanafunzi CBE ambaye alikutwa na shilingi milioni 16/= chumbani kwake, fedha ambazo zinadaiwa kuwa ni za Serikali ya Wanafunzi (COBESSO) ikidaiwa alizipata kwa udanganyifu wa kutumia saini ya Dean of Students.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…