Rais wa Somalia apata Ph.D ya ilmu ya dunia, raia wake wamuige ili pawe na amani pale

Rais wa Somalia apata Ph.D ya ilmu ya dunia, raia wake wamuige ili pawe na amani pale

Wewe ndo unaeshindwa kutofautisha baina ya Dubai Na UAE, Dubai haitegemei mafuta na wala sio project ya Mzungu.

Dubai ni Dunia Kuna Mataifa zaidi ya 200 pale, wahindi tu Kuna Milionea/Billionea zaidi ya 50, kusema mtu X kaitengeneza Dubai kunaonesha ushamba wako.

Na kama unafikiria wazungu wanaweza kutengeneza Dubai halafu kwao wameshindwa kutengeneza mji kama ule itakua maajabu ya Dunia.

Nakuelimisha tatizo umeshikiliwa na dini hautumii ubongo vizuri, tulia acha mihemko ya kidini utanielewa, nimekuambia fuata historia ya uchumi wa Dubai, ilianza kwa kutegemea mafuta yaliyogunduliwa na elimu ya mzungu miaka ya 60s and 70s, kisha baada ya hapo ndio waka diversify kwa kutumia elimu ya mzungu.....
Mafuta ya Dubai yalianza kupungua 1991 ila kabla ya hapo huyo Mwarabu kula yake ilikua mafuta yaliyotumia elimu na ujanja wa mzungu...

Siongei kuhusu UAE yote ambayo na yenyewe imekuzwa na mafuta yaliyotumia elimu ya mzungu....

Wao wenyewe hawakua na uwezo wa kugundua na kuchimba mafuta zaidi ya kuvaa mikanzu na kuelimishana ilmu ya dini na mindevu.
 
wasomali Wana Akili sababu ni waisilamu, mbona hutaki ku admit hilo?

Na we mwenyewe umeingia pia mkenge wa waarabu hujijui tu ila mambo mengi kama kuoga na kupiga mswaki ni utamaduni wa waisilamu tulioeneza duniani.
Ndo umechangia nini sasa hiki baba-mwajuma kwa hiyo hizo akili wanazo waislam wa somali peke yao, mbona wewe ni mweupe
 
Ndo umechangia nini sasa hiki baba-mwajuma kwa hiyo hizo akili wanazo waislam wa somali peke yao, mbona wewe ni mweupe
Kitu sababu hukijui haimaanishi kwamba hakipo

Kama lengo lako ni kujifunza tafuta kitabu cha Katherine Ashenburg kinaitwa The dirt on clean, kinaelezea wafalme na Nchi za zamani ulaya Walivyo kua wakijisifu kuto kuoga,

Queen Isabela alikua akijisifu Kuoga Mara 2 tu maisha yake, mara 1 alipozaliwa na Mara nyengine siku ya harusi.

Queen Elizabeth wa kwanza Alisema yeye alikua anaoga mara 1 kwa mwezi,

King Louis Alikua anaogopa anaogopa maji maisha yake yote

Brief ya kitabu utaipata hapa, Jews na waisilamu pekee ndio Walikua na utamaduni wa kuoga wakati huo



Brief ya kitabu Hio.
 
Elimu ni kitu cha maana sana....

Somalia’s President Dr. Hassan Sheikh Mohamud has joined the club of Africa’s most educated presidents after attaining a Ph.D. in peace studies.

Other presidents in Africa are William Ruto of Kenya, Alassane Ouattara of Ivory Coast, Moeketsi Majoro of Lesotho, and King Mohammed VI of Morocco.

Dr. Mohamud was among the 18 Ph.D. graduands who were passed out last Friday by University for Peace (UPEACE). In August this year, he defended his dissertation, titled, ‘examining the Challenges of Clan Politics in State-building: A Case Study of Somalia.’

“I sincerely thank the University for Peace for this opportunity, and as the President, I promise to establish a fund to support the education of a hundred Somali Ph.D. students at UPEACE,” Dr. Hassan Sheikh Mohamud said during the graduation ceremony in Mogadishu on December 2.

The graduation ceremony was the second for students in its specialised Somalia programme. The first cohort of students graduated in 2021. A total of 170 students graduated from the university with both doctoral and master’s degrees.

Ala na alshababu wamechukia,soon utasikia wana jiripua.
 
wasomali Wana Akili sababu ni waisilamu, mbona hutaki ku admit hilo?

Na we mwenyewe umeingia pia mkenge wa waarabu hujijui tu ila mambo mengi kama kuoga na kupiga mswaki ni utamaduni wa waisilamu tulioeneza duniani.

Duuh,hadi huruma,kweli mtu mzima unajisifia kuoga na kupiga mswaki ndio maendeleo ya waislamu??
 
Nakuelimisha tatizo umeshikiliwa na dini hautumii ubongo vizuri, tulia acha mihemko ya kidini utanielewa, nimekuambia fuata historia ya uchumi wa Dubai, ilianza kwa kutegemea mafuta yaliyogunduliwa na elimu ya mzungu miaka ya 60s and 70s, kisha baada ya hapo ndio waka diversify kwa kutumia elimu ya mzungu.....
Mafuta ya Dubai yalianza kupungua 1991 ila kabla ya hapo huyo Mwarabu kula yake ilikua mafuta yaliyotumia elimu na ujanja wa mzungu...

Siongei kuhusu UAE yote ambayo na yenyewe imekuzwa na mafuta yaliyotumia elimu ya mzungu....

Wao wenyewe hawakua na uwezo wa kugundua na kuchimba mafuta zaidi ya kuvaa mikanzu na kuelimishana ilmu ya dini na mindevu.
Hii time line ya Mafuta dubai

  • 1966: Oil is first discovered in Dubai at the offshore Fateh field
  • 1969: Dubai starts to export of oil. The first export shipment of oil produced from the field Fateh was around 180 thousand barrels
  • 1972: Oil drilling exploration wells begin operations in the field at Falah. Producation begins June 1978
  • 1973: A new oil field is discovered at Rashid and production begins in March 1979
  • 1982: Another oil field was discovered at Margham, production started in 1984.
  • 1999: Dubai government owned Emirates National Oil Company (ENOC) opens the first oil refinery of the company and follows a fully owned subsidiary. The refinery, which costs around Dh1.5 billion and produces 120 thousand barrels per day.
  • 2000: Dubai joins the Dolphin project, signing a memorandum of understanding to provide the Dubai Supply Authority with Qatari gas through the project (Dolphin)
  • 2007: Dubai Petroleum assumes control of all oil and gas related projects in Dubai, following negotiations with international oil companies.
Source hapa

Hivyo mkuu kama unavyoona hapo production ya Mafuta Dubai ipo kwa maelfu, barel 120,000 ni vitone tu hivyo compare na mapapa ya mafuta


Angalia hapo nchi zinavyozalisha mafuta, mpaka Barel milioni 10 kwa siku, uje Utupige kamba hapa Eti Dubai imetolewa na Barel 120,000?

Kwa Bei ya sasa barel Dola 80 ni Kama 9.6m kwa kila siku ambayo ni kama 3.5B usd kwa mwaka hapo ukitoa Cost na mambo mengine haifiki hata Trilioni ya Madafu, Eti ujenge Dubai kwa hivyo visenti? Hio ni Budget ya Wizara tu T! anzania.

Dubai wametoka kwa Biashara, kila mtu anajua miaka ya 80, 90 etc watu walikua wanafungashia wapi mizigo
 
Hii time line ya Mafuta dubai

  • 1966: Oil is first discovered in Dubai at the offshore Fateh field
  • 1969: Dubai starts to export of oil. The first export shipment of oil produced from the field Fateh was around 180 thousand barrels
  • 1972: Oil drilling exploration wells begin operations in the field at Falah. Producation begins June 1978
  • 1973: A new oil field is discovered at Rashid and production begins in March 1979
  • 1982: Another oil field was discovered at Margham, production started in 1984.
  • 1999: Dubai government owned Emirates National Oil Company (ENOC) opens the first oil refinery of the company and follows a fully owned subsidiary. The refinery, which costs around Dh1.5 billion and produces 120 thousand barrels per day.
  • 2000: Dubai joins the Dolphin project, signing a memorandum of understanding to provide the Dubai Supply Authority with Qatari gas through the project (Dolphin)
  • 2007: Dubai Petroleum assumes control of all oil and gas related projects in Dubai, following negotiations with international oil companies.
Source hapa

Hivyo mkuu kama unavyoona hapo production ya Mafuta Dubai ipo kwa maelfu, barel 120,000 ni vitone tu hivyo compare na mapapa ya mafuta


Angalia hapo nchi zinavyozalisha mafuta, mpaka Barel milioni 10 kwa siku, uje Utupige kamba hapa Eti Dubai imetolewa na Barel 120,000?

Kwa Bei ya sasa barel Dola 80 ni Kama 9.6m kwa kila siku ambayo ni kama 3.5B usd kwa mwaka hapo ukitoa Cost na mambo mengine haifiki hata Trilioni ya Madafu, Eti ujenge Dubai kwa hivyo visenti? Hio ni Budget ya Wizara tu T! anzania.

Dubai wametoka kwa Biashara, kila mtu anajua miaka ya 80, 90 etc watu walikua wanafungashia wapi mizigo

Umeona umeanza kuwa na akili, mzungu kwa elimu yake aliyagundua huko kwa Dubai in the 60s akachimba na kuwawezesha kuuza, hapo hapo ulipotoa hizo taarifa nenda kasome huu mstari "Oil production, which once accounted for 50% of Dubai's gross domestic product," Economy of Dubai - Wikipedia
 
Umeona umeanza kuwa na akili, mzungu kwa elimu yake aliyagundua huko kwa Dubai in the 60s akachimba na kuwawezesha kuuza, hapo hapo ulipotoa hizo taarifa nenda kasome huu mstari "Oil production, which once accounted for 50% of Dubai's gross domestic product," Economy of Dubai - Wikipedia
Nimeona Hio link ya 50% ila Haina data zozote ku backup Hio claim, kama zipo financial Figure ziweke hapa.

Moja kati ya trusted source ni Brittanica nayo vile vile claim ni ile ile Mafuta hayakua na Mchango Mkubwa uchumi wa Dubai

Contrary to popular belief, Dubai does not have an oil-based economy. The little oil wealth it did enjoy between the 1960s and the 1990s was used to enhance other sectors of its economy by building physical infrastructure. Trade remains at the core of Dubai’s economy, with the city operating two of the world’s largest ports and a busy international air cargo hub. The Jebel Ali free-trade zone was established in the 1980s to attract industrial investment; activities based there include aluminum smelting, car manufacturing, and cement production.

From humble beginnings as a small fishing village first documented in the 18th century, the city grew rapidly as it became a major centre of the pearl-diving industry. With its business-savvy ruling family reducing taxes and welcoming foreign merchants, the city expanded further in the early 20th century and soon became a re-exporting hub for Persia and India. Benefiting from modest oil wealth in the latter half of the 20th century, Dubai continued to focus on trade and attracting investment, channelling oil surpluses into major infrastructure projects such as an international airport, dry docks, and a trade centre. In the 1990s the city began to diversify, building up its luxury tourism, real estate, and financial sectors. These all required skilled, educated foreign workers, and many moved to Dubai for its tax-free salaries and relatively stable politics. With expatriates coming from elsewhere in the Arab world as well as from Asia, Europe, and North America, the city took on a rather cosmopolitan air and was considered to have one of the most liberal societies in the region


Ukisoma Hapo Britanicca wanasema Dubai tayari ilishaanza kuwa Dubai toka 1800s na hata ukisoma Historia Uingereza walishirikiana na Dubai kudhibiti piracy miaka Hio, hivyo trade ilikuwa na mpaka sasa ndio core ya Dubai Na kilichowasaidia ni kuondoa Hio kodi na kuvutia mataifa mengine kuwekeza.

Zipo pia Picha za zamani za Dubai, mfano picha hii imepigwa 1940s wakati wa vita vya Dunia

olddubai-1595253565679_1736c85a8f0_original-ratio.jpg


Unaona kabisa hapo huo ni mji upo developed tayari,
 
Nimeona Hio link ya 50% ila Haina data zozote ku backup Hio claim, kama zipo financial Figure ziweke hapa.

Moja kati ya trusted source ni Brittanica nayo vile vile claim ni ile ile Mafuta hayakua na Mchango Mkubwa uchumi wa Dubai

Contrary to popular belief, Dubai does not have an oil-based economy. The little oil wealth it did enjoy between the 1960s and the 1990s was used to enhance other sectors of its economy by building physical infrastructure. Trade remains at the core of Dubai’s economy, with the city operating two of the world’s largest ports and a busy international air cargo hub. The Jebel Ali free-trade zone was established in the 1980s to attract industrial investment; activities based there include aluminum smelting, car manufacturing, and cement production.

From humble beginnings as a small fishing village first documented in the 18th century, the city grew rapidly as it became a major centre of the pearl-diving industry. With its business-savvy ruling family reducing taxes and welcoming foreign merchants, the city expanded further in the early 20th century and soon became a re-exporting hub for Persia and India. Benefiting from modest oil wealth in the latter half of the 20th century, Dubai continued to focus on trade and attracting investment, channelling oil surpluses into major infrastructure projects such as an international airport, dry docks, and a trade centre. In the 1990s the city began to diversify, building up its luxury tourism, real estate, and financial sectors. These all required skilled, educated foreign workers, and many moved to Dubai for its tax-free salaries and relatively stable politics. With expatriates coming from elsewhere in the Arab world as well as from Asia, Europe, and North America, the city took on a rather cosmopolitan air and was considered to have one of the most liberal societies in the region


Ukisoma Hapo Britanicca wanasema Dubai tayari ilishaanza kuwa Dubai toka 1800s na hata ukisoma Historia Uingereza walishirikiana na Dubai kudhibiti piracy miaka Hio, hivyo trade ilikuwa na mpaka sasa ndio core ya Dubai Na kilichowasaidia ni kuondoa Hio kodi na kuvutia mataifa mengine kuwekeza.

Zipo pia Picha za zamani za Dubai, mfano picha hii imepigwa 1940s wakati wa vita vya Dunia

View attachment 2601728

Unaona kabisa hapo huo ni mji upo developed tayari,

Mwarabu wako ashukuru sana elimu ya mzungu maana kabla ua mafuta Dubai walikua wakulima wa tende na ufugaji wa mbuzi na kuvaa mikanzu...hadi akaja mzungu na kubadilisha maisha yao...
===============
The history of Dubai can be divided into two periods: before and after discovery of oil reserves. Before oil was discovered in Dubai, the place was mostly inhabited by Bedouins, who were engaged in cultivation of dates, breeding camels and goats.

Discovery of oil on the territory of the Emirates prompted rapid growth of the UAE economy. Especially country began to develop rapidly after sharp rise in prices for “black gold” in 1973.
 
Wasomali wakiepuka uzombi wa kidini wa kujilipua mabomu wanaweza kwenda mbali sana maana wenyewe hujituma, ni wachapa kazi, ni kama pia Persians wa Iran, sijui na wao waliingiaje kwenye huo mkenge wa Mwarabu, maana Persians ni watu wenye akili sana pia.
Kama ulivyoingia wewe kwenye mkenge wa kiroma?
 
Duuh,hadi huruma,kweli mtu mzima unajisifia kuoga na kupiga mswaki ndio maendeleo ya waislamu??
Mimi hushangaa hawa wazungu wakristo,eti dume zima linapigania kuolewa na dume mwenzake ,na huita hayo ni maendeleo na haki Za binadamu.
 
Mwarabu wako ashukuru sana elimu ya mzungu maana kabla ua mafuta Dubai walikua wakulima wa tende na ufugaji wa mbuzi na kuvaa mikanzu...hadi akaja mzungu na kubadilisha maisha yao...
===============
The history of Dubai can be divided into two periods: before and after discovery of oil reserves. Before oil was discovered in Dubai, the place was mostly inhabited by Bedouins, who were engaged in cultivation of dates, breeding camels and goats.

Discovery of oil on the territory of the Emirates prompted rapid growth of the UAE economy. Especially country began to develop rapidly after sharp rise in prices for “black gold” in 1973.
Mule mule Article inashindwa ku explain Dubai bali Uae kwa Ujumla, mtu yoyote anaejua Historia ya Uae anajua imekua Founded 1971, sasa Mtu anapofikiri Dubai ni UAE tayari historia yake imekosa credibility kuelezea Chochote kabla ya Mafuta.

Na nimekuwekea picha ya 1940 hakuna Bedui anayekaa maghorofani. Hizi picha nyengine za dubai miaka ya 50
Bur+Dubai%2C+ca.+1960s (1).jpg

Dubai+in+the+1950s-1960s.jpg

The+first+Jashanmal+store+in+Dubai%2C+1956.jpg

Naona mazizi ya Ng'ombe ya Kutosha.
 
Mule mule Article inashindwa ku explain Dubai bali Uae kwa Ujumla, mtu yoyote anaejua Historia ya Uae anajua imekua Founded 1971, sasa Mtu anapofikiri Dubai ni UAE tayari historia yake imekosa credibility kuelezea Chochote kabla ya Mafuta.

Na nimekuwekea picha ya 1940 hakuna Bedui anayekaa maghorofani. Hizi picha nyengine za dubai miaka ya 50
View attachment 2602202
View attachment 2602203
View attachment 2602204
Naona mazizi ya Ng'ombe ya Kutosha.

Aisei kwa hivyo ni ukweli maana nilitegemea utabisha, umekwenda kuokoteza mengine...sasa huyu mwarabu mbona huwa mnamuabudu kama kweli alikua anapiga wanaume denda

MTUME MUHAMMAD ALINYONYA ULIMI WA AL HASSAN Hadith Idadi 16,245: "maneno ya Washami," Hadith ya Mu'awiya Ibn Abu Sufyan": "Nilimwona Nabii wa Allah(saw) - akimnyonya ulimi na kulamba mdomo wa Al-Hassan Mwana wa Ali, Mwenyezi Mungu amrehemu, maana hakuna mtu atakaye teswa kwa Moto wa Jehannam baada ya kunyonywa ulimi na kulambwa midomo na Nabii wa Allah.
Mnaona tabia chafu ya Nabii wa Allah? Eti akikula denda na kukulamba midomo basi wewe huto kwenda Jehannam. Pia alisema, "Siku baadaye tuliomba muuguzi kwa ajili yake (Ali) lakini alikataa, basi tukamwita Nabii Muhammad - SAW -.ambaye alimnyonya ulimi "Ali" kwa kinywa chahe mpaka akalala.
Hassan mjukuu wa Mtume, amezaliwa mwaka 625 Ad, Mtume (S. A. W) Amefariki 632.

Hivyo Hassan hapo alikuwa ni mtoto, na hadithi sahihi ni hii

“It is related that Abu Hurayra said, “I never see al-Hasan without my eyes overflowing with tears. That is because the Prophet, may Allah bless him and grant him peace, went out one day and I found him in the mosque. He took my hand and I went along with him. He did not speak to me until we reached the market of Banu Qaynuqa’. He walked around it and looked. Then he left and I left with him until we reached the mosque. He sat down and wrapped himself in his garment. Then he said, ‘Where is the little one? Call the little one to me.’ Hasan came running and jumped into his lap. Then he put his hand in his beard. Then the Prophet, may Allah bless him and grant him peace, opened his mouth and put his tongue in his mouth. Then he said, O Allah, I love him, so love him and the one who loves him!'””

Kitu gani cha Ajabu kwa Mzee kucheza na Mjukuu wake na kutoa ulimi wake kumramba mtoto? Watoto tunawatafunia chakula na kuwapa tena kuwalisha kabisa.
 
Mule mule Article inashindwa ku explain Dubai bali Uae kwa Ujumla, mtu yoyote anaejua Historia ya Uae anajua imekua Founded 1971, sasa Mtu anapofikiri Dubai ni UAE tayari historia yake imekosa credibility kuelezea Chochote kabla ya Mafuta.

Na nimekuwekea picha ya 1940 hakuna Bedui anayekaa maghorofani. Hizi picha nyengine za dubai miaka ya 50
View attachment 2602202
View attachment 2602203
View attachment 2602204
Naona mazizi ya Ng'ombe ya Kutosha.

Mimi naongea kuhusu Dubai, articles zote naleta kuhusu Dubai, ukitaka tuhamie UAE yote ndio utakua umepoteza maana huko kwingine ndio kabisa walitegemea mafuta aliyogundua mzungu......
 
Hassan mjukuu wa Mtume, amezaliwa mwaka 625 Ad, Mtume (S. A. W) Amefariki 632.

Hivyo Hassan hapo alikuwa ni mtoto, na hadithi sahihi ni hii

“It is related that Abu Hurayra said, “I never see al-Hasan without my eyes overflowing with tears. That is because the Prophet, may Allah bless him and grant him peace, went out one day and I found him in the mosque. He took my hand and I went along with him. He did not speak to me until we reached the market of Banu Qaynuqa’. He walked around it and looked. Then he left and I left with him until we reached the mosque. He sat down and wrapped himself in his garment. Then he said, ‘Where is the little one? Call the little one to me.’ Hasan came running and jumped into his lap. Then he put his hand in his beard. Then the Prophet, may Allah bless him and grant him peace, opened his mouth and put his tongue in his mouth. Then he said, O Allah, I love him, so love him and the one who loves him!'””

Kitu gani cha Ajabu kwa Mzee kucheza na Mjukuu wake na kutoa ulimi wake kumramba mtoto? Watoto tunawatafunia chakula na kuwapa tena kuwalisha kabisa.

Duh, juzi tumempigia makelele sana Dalai Lama kwa kuachia limi unyonywe na kavulana, humo hata waislamu walipiga makelele sana kumbe hii ndio ilikua desturi za huyo mwarabu wenu maana hapa nimeona kwa maeno yako haswa "opened his mouth and put his tongue in his mouth"
 
Mimi naongea kuhusu Dubai, articles zote naleta kuhusu Dubai, ukitaka tuhamie UAE yote ndio utakua umepoteza maana huko kwingine ndio kabisa walitegemea mafuta aliyogundua mzungu......
Tatizo unalink husomi, rudia tena kusoma link yako ya mwisho inaelezea nini, UAE, tena website yenyewe ya uchochoroni humjui hata author nani, tofauti na mimi niliekuwekea britanicca.
 
Duh, juzi tumempigia makelele sana Dalai Lama kwa kuachia limi unyonywe na kavulana, humo hata waislamu walipiga makelele sana kumbe hii ndio ilikua desturi za huyo mwarabu wenu maana hapa nimeona kwa maeno yako haswa "opened his mouth and put his tongue in his mouth"
Mvulana wa Ukubwa gani? Logic ipo hapo, huwezi fananisha kitoto cha mwaka jitu limebalehe. Mtoto mchanga ama mdogo anakuwa hana stimulus zozote za Sexual desire, ndo maana tunawaogesha Uchi tunawaangalia, baada ya kuoga anaweza akakimbia Uchi, ukambusu, ukamtafunia, usiku umelala nae ukamkumbatia etc.

Lakini ukifanya vitendo hivyo kwa kijana aliebalehe tayari inakuwa ni tofauti.
 
Tatizo unalink husomi, rudia tena kusoma link yako ya mwisho inaelezea nini, UAE, tena website yenyewe ya uchochoroni humjui hata author nani, tofauti na mimi niliekuwekea britanicca.

Mbona kama umechanganyikiwa, wewe unategemea article iongee kuhusu Dubai bila kutaja UAE, of-course lazima humo wangetaja UAE maana ndio nchi, ila unajipofusha na kujifanya huoni paragraphs zinazoeleza namna Dubai iliamshwa na mafuta yaliyotumia akili ya mzungu.
Akili ya mzungu yalisaidia UAE yote ikiwemo hiyo Dubai kuamka, wakajengewa shule na miundo mbinu, la sivyo wangeishi maisha ya kuuza tende na kuota mindevu History | UAE Embassy in Washington, DC
 
Tatizo unalink husomi, rudia tena kusoma link yako ya mwisho inaelezea nini, UAE, tena website yenyewe ya uchochoroni humjui hata author nani, tofauti na mimi niliekuwekea britanicca.

Huyo ni karanga , hujamstukia bado , kama si karanga ni wale waliofanywa na wachungaji kutumikia kanisa wanaitwa Matowashi au jina jengine anajijua mwenyewe alivyo m.....ge
 
Mbona kama umechanganyikiwa, wewe unategemea article iongee kuhusu Dubai bila kutaja UAE, of-course lazima humo wangetaja UAE maana ndio nchi, ila unajipofusha na kujifanya huoni paragraphs zinazoeleza namna Dubai iliamshwa na mafuta yaliyotumia akili ya mzungu.
Akili ya mzungu yalisaidia UAE yote ikiwemo hiyo Dubai kuamka, wakajengewa shule na miundo mbinu, la sivyo wangeishi maisha ya kuuza tende na kuota mindevu History | UAE Embassy in Washington, DC

Hapa utaelimishwa tu . Huyo mwarabu ndiye aliyeanza kutumia mafuta ulimwenguni au hujui ??

kasome history
 
Back
Top Bottom