Mbona kama umechanganyikiwa, wewe unategemea article iongee kuhusu Dubai bila kutaja UAE, of-course lazima humo wangetaja UAE maana ndio nchi, ila unajipofusha na kujifanya huoni paragraphs zinazoeleza namna Dubai iliamshwa na mafuta yaliyotumia akili ya mzungu.
Akili ya mzungu yalisaidia UAE yote ikiwemo hiyo Dubai kuamka, wakajengewa shule na miundo mbinu, la sivyo wangeishi maisha ya kuuza tende na kuota mindevu History | UAE Embassy in Washington, DC
UAE imekua founded 1971, mafuta Yalikuwepo 1960s, sisi tunabishana kuhusu Dubai Na Mchango wa mafuta kwenye Uchumi wake, huoni kama ni ujinga kuanza Kuongelea UAE Taifa changa ambalo limeundwa wakati Hizo nchi ni Tajiri tayari?Mbona kama umechanganyikiwa, wewe unategemea article iongee kuhusu Dubai bila kutaja UAE, of-course lazima humo wangetaja UAE maana ndio nchi, ila unajipofusha na kujifanya huoni paragraphs zinazoeleza namna Dubai iliamshwa na mafuta yaliyotumia akili ya mzungu.
Akili ya mzungu yalisaidia UAE yote ikiwemo hiyo Dubai kuamka, wakajengewa shule na miundo mbinu, la sivyo wangeishi maisha ya kuuza tende na kuota mindevu History | UAE Embassy in Washington, DC
UAE imekua founded 1971, mafuta Yalikuwepo 1960s, sisi tunabishana kuhusu Dubai Na Mchango wa mafuta kwenye Uchumi wake, huoni kama ni ujinga kuanza Kuongelea UAE Taifa changa ambalo limeundwa wakati Hizo nchi ni Tajiri tayari?
MI nakuwekea Ushahidi hadi wa Picha kwamba Dubai ni mji Mkubwa toka kabla hayagunduliwa we waniekea Source za UAE za juzi juzi.
Kwa Hio baada ya kugundua mafuta wakagundua na Time travel machine wakaenda kujenga huo mji 1940? Hii hoja naipresent ila unafumba macho kama huioni.hehehe hata tukeshe humu hunitoi, UAE hata kama imebuniwa 2023 ila hizo emirates zote zimekuzwa na mafuta aliyogundua mzungu.
Hiyo Dubai ambayo umekomalia, uchumi wake ulipaishwa na mafuta ya mzungu baada ya mzungu kwa elimu yake kuja kuyagundua, na ndio mzungu akawaelimisha pia namna ya ku-diversify wasikae wakiyategemea maana yanaisha, oil ni nonrenewable resource, maana kwamba wasipofanya jambo watarudi kule kule kwa maisha ya hovyo.
Ndio kitu waarabu wengine wote wamejifunza, wanajaribu kupambana kuondokana na kutegemea utajiri wa mafuta.
Kwa Hio baada ya kugundua mafuta wakagundua na Time travel machine wakaenda kujenga huo mji 1940? Hii hoja naipresent ila unafumba macho kama huioni.
Hii ni mada ndefu Sana kama una muda ianzishe ila Kuna maelfu kwa maelfu ya hizo unazoziita Tech za mzungu zimegunduliwa middle East kuanzia Tech za ujenzi, Ukiangalia Palace zote za Ulaya za wafalme zina tumia Mifumo ya Middle East, Kuja afya mpaka upasuaji, Computer alogarithim (khawarizim), kuja Alkemia (Chemistry) na vilivyomo.
Hata Leo hapo pengine unatumia Wifi ambayo mmoja wa wagunduzi wake ni Mwarabu prosffesor wa Egpty, unatumia kifaa cha Battery pengine cha lithium kutype Hio comment ambayo critical tech lithium-graphite anode imegunduliwa na Mwarabu mwengine hapo Morocco etc.
Nyie hapo kwenu mmekaa tu mnagundua Yesu kila siku na kuua watu wa watu kuwalaza njaa.
Hakuna elimu yenye manufaa kwa dunia amabayo haijaanzishwa na Waislam, kumbuka hilo.Wasomali wakiepuka uzombi wa kidini wa kujilipua mabomu wanaweza kwenda mbali sana maana wenyewe hujituma, ni wachapa kazi, ni kama pia Persians wa Iran, sijui na wao waliingiaje kwenye huo mkenge wa Mwarabu, maana Persians ni watu wenye akili sana pia.
Hakuna elimu yenye manufaa kwa dunia amabayo haijaanzishwa na Waislam, kumbuka hilo.
Wewe ndugu yetu naona umekula maharage mabovu sasa umevimbiwa, tafuta dawa kutibu uharo unaokusumbua tafadhariwasomali Wana Akili sababu ni waisilamu, mbona hutaki ku admit hilo?
Na we mwenyewe umeingia pia mkenge wa waarabu hujijui tu ila mambo mengi kama kuoga na kupiga mswaki ni utamaduni wa waisilamu tulioeneza duniani.
Wewe wacha fitna za kijinga, kashughulike na tatizo lenu la ukabila kwenu huko.
Hakuna lolote acha kudanganya watu hapa, hizo nchi zina majority waislam lakini sio islamic states, katika list of richest African countries ni nchi tatu ambazo zina majority ya waislam nyingine zote sio, na sababu kubwa ya nchi hizo ulizotaja kama Algeria ni kwa sababu ya mafuta na gas, i'm not against islam ila acha kudanganya na data za uwongoMkuu Africa Nchi nyingi Tajiri ni za Kiisilamu Kuanzia Misri, Morocco, Algeria etc. Nchi pekee Tajiri ambayo sio ya Kiisilamu ni South Africa, Nchi nyingi ambazo sio majority waisilamu ni masikini wa Kutupwa.
Tajiri mkubwa Africa Dangote, Tajiri mwanamke Africa Alakija, Huyu Bibie Alakija kuna wakati kama Dangote pia alikua Mwanamke mweusi tajiri zaidi Duniani akimpita Oprah.
Wote Alakija na Dangote ni Mazao ya huo unaoita Utopolo, Dangote Ana degree ya Uchumi ya Kiisilamu Al Azhar University na Alakija ni zao la Sagamu Muslim High school.
Unachofanya wewe una Cherry pick nchi moja ya kiisilamu yenye machafuko kujustify hoja yako na kuacha makumi ya nchi nyengine za kiisilamu ambazo zinafanya vizuri.
Huyo Afghanistan kazungukwa na Iran, Tajkistan, Uzbekistan, Turkmenistan etc ni watu ambao wanafanana karibia kila kitu, na wengi ya hao wameendelea vizuri. Ila nchi hizo huzitaji sababu hazifit bias zako umeilenga Afghanistan tu ambayo ina Vita karibia miaka 50 sasa.
Sibishani na wajinga.
Katika wanaume na wewe unajihesabu? Nipishe huko.kwanza haupaswi kubishana na mwanaume yeyote, unapaswa ubaki ndani muda wote Surah Al-Ahzab - 33 - Quran.com
Statement sahihi ni kwamba sio islamic state 100% ila kukataa influence ya Uisilamu kwenye hizo nchi ni kujitoa tu ufahamu.Hakuna lolote acha kudanganya watu hapa, hizo nchi zina majority waislam lakini sio islamic states,
Unajipa moyo? Nchi zote za North na North western ni Tajiri kwa level za Africa Kuanzia Egpty, Tunisia, Algeria, Morocco na hata Libya yenye Vita still ni Tajiri, Kuna Mauritius, djibout Ilikua na vita ila sasa hivi inapaa tu, ni nchi 3 hizi?katika list of richest African countries ni nchi tatu ambazo zina majority ya waislam
1. Angola ni nchi inayoongoza kwa Mafuta Africa kama mafuta ni tiba ya umasikini kwa nini haiwi Tajiri kuliko zote?nyingine zote sio, na sababu kubwa ya nchi hizo ulizotaja kama Algeria ni kwa sababu ya mafuta na gas,
Weka data zako wewe za ukweli, na unasema am not against Uisilamu wakati comment chache zilizopita ulikua ukitukana inaonesha jinsi Ulivyo mnafiki.i'm not against islam ila acha kudanganya na data za uwongo
1. UAE haijaexist mpaka 1971 itakuaje koloni la Mzungu?Kuwa na mji kabla mafuta ya mzungu sio hoja, ila kiuchumi walipaishwa na hayo mafuta ndio wakaja kuwa walivyo, kwa taarifa yako UAE ilikua koloni la mzungu tangu tangu, na akili na elimu ya mzungu ndio iliwawezesha.
1. UAE haijaexist mpaka 1971 itakuaje koloni la Mzungu?
2.ni hoja kwamba Dubai ni Tajiri kabla ya Mafuta na ni Tajiri Leo sababu inaonesha Core ya utajiri wake ni Biashara na sio mafuta, na hili linathibitishwa na data nyingi tu.
3. Kasome historia Dubai, na nchi zote zinazounda UAE hazijawahi kuwa Colonised, walikua tu na Mikataba baina ya Ma Amiri na Serikali ya Uingereza, Mostly ni kuhusu Bahari mambo ya Pirates, slaves, Biashara etc.
Hii time line ya Mafuta dubai
Source hapa
- 1966: Oil is first discovered in Dubai at the offshore Fateh field
- 1969: Dubai starts to export of oil. The first export shipment of oil produced from the field Fateh was around 180 thousand barrels
- 1972: Oil drilling exploration wells begin operations in the field at Falah. Producation begins June 1978
- 1973: A new oil field is discovered at Rashid and production begins in March 1979
- 1982: Another oil field was discovered at Margham, production started in 1984.
- 1999: Dubai government owned Emirates National Oil Company (ENOC) opens the first oil refinery of the company and follows a fully owned subsidiary. The refinery, which costs around Dh1.5 billion and produces 120 thousand barrels per day.
- 2000: Dubai joins the Dolphin project, signing a memorandum of understanding to provide the Dubai Supply Authority with Qatari gas through the project (Dolphin)
- 2007: Dubai Petroleum assumes control of all oil and gas related projects in Dubai, following negotiations with international oil companies.
Oil in Dubai: History & timeline
A look at Dubai's history and key moments in oil production and exportgulfnews.com
Hivyo mkuu kama unavyoona hapo production ya Mafuta Dubai ipo kwa maelfu, barel 120,000 ni vitone tu hivyo compare na mapapa ya mafuta
Angalia hapo nchi zinavyozalisha mafuta, mpaka Barel milioni 10 kwa siku, uje Utupige kamba hapa Eti Dubai imetolewa na Barel 120,000?
Kwa Bei ya sasa barel Dola 80 ni Kama 9.6m kwa kila siku ambayo ni kama 3.5B usd kwa mwaka hapo ukitoa Cost na mambo mengine haifiki hata Trilioni ya Madafu, Eti ujenge Dubai kwa hivyo visenti? Hio ni Budget ya Wizara tu T! anzania.
Dubai wametoka kwa Biashara, kila mtu anajua miaka ya 80, 90 etc watu walikua wanafungashia wapi mizigo
Mimi hushangaa hawa wazungu wakristo,eti dume zima linapigania kuolewa na dume mwenzake ,na huita hayo ni maendeleo na haki Za binadamu.
Tambua hili wazungu wa sasa hawajari kuhusu dini,
Tatizo lako mkuu husomi link zako, ndio Maana nakuuliza Equivalent ya la 7B ni nini huko Kenya?Hehehe wacha kujitoa ufahamu, UAE sawa imezinduliwa 1971 wakati hayo masheikh yaliunganishwa lakini haiondoi ukweli kwamba mzungu ndiye alikua anawakoloni, kasome Colonial precursor of the United Arab Emirates Trucial Coast | Encyclopedia.com
British government forced the rulers to deal only with prospecting oil companies of which it approved
Mafuta ndio yalichangia kuamka kwa uchumi wa Dubai, kabla ya hapo walikua wavaa mikanzu tu bila lolote la maana.
Elimu ya mzungu imewawezesha ku-divesify na kuepuka utegemezi wa mafuta maana yanaisha.