Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Mzee Lowasa anasemaje.
Unajifanya una uchungu kuliko mama Janet na familia.Acha unafiki.Mungu anakuona.Siwezi kuwa mnafiki kamwe....
Na si ukubali unafki,
Asa mtu ambaye jana kafungua uzi akichagiza kamanda aende afu saiv apa anajitia anatia maneno ya Faraja na yote.
Nyerere alifariki wakati keshastaafu, Mkapa naye alishazoea maisha mtaani, ni kwa Mara ya kwanza Tanzania tunapoteza Rais aliye madarakani, kweli Mabeberu wametuweza
RIP kiongozi wetu.Watu walisema sana kuhusu hali ya Rais wetu Magufuli, hatimaye Leo yametokea haya!!!Duh wapendwa ni mengi kayafanya na bado alikua akiendelea kufanya ili kutetea nchi yake ikiwemo kwa watoto, vijana wanawake kwa wanaume,walemavu na wazee na miundombinu.
Bwana alitoa na Bwana Ametwaa
Jina la Bwana libarikiwe
Pumzika kwa Amani Rais wetu JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
Rest in peace (RIP) OUR PRESIDENT JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI
Soma hapoAlitaka kumaliza urais wake akiwa ameweka miundombinu muhimu yote ili ajae ajishuhulishe na mengine. Aliipa TZ heshima kwa nchi jirani.
Anyways, anaejua sheria inasemaje tujuzane, mama Samia ataongoza nchi mpaka 2025 au utaitishwa uchaguzi mpya?
Mdogo mdogo tutaelewana kuwa hii kitu haina mbabeJuzi ulitwambia jamaa anarudi ulingoni ni mazoezi ya kifua tu kwa sasa. Nikakwambia COVID ni habari nyingine kwa mwenye matatizo ya moyo.
Cc. MajaliwaMmeanza visingizio ,si mlikuwa busy kusema ni mzima wa afya !?
yes tumuombee heri asipatwe na lolote
Na miaka sita hakuna nyongeza pia...Watumishi wa umma tumepokea taarifa hii kwa hudhuni.
Ametuletea nidhamu makazini kwa miaka sita mfululizo.
Sawa ndugu,Mkuu ni MUNGU peke yakeWenye mamlaka hawakutangaza
hayo ndio maisha yq mwanadamu mkuu
Katiba inasemaje? Najua makamu atakuwa Rais kwa miezi mitatu then uchaguzi, vipi kuhusu wabunge?
Mdogo mdogo tutaelewana kuwa hii kitu haina mbabe