Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Power struggle btn sects in the systemThis's sad news indeed...
Naionea huruma Tanzania kwa kweli, days of darkness ahead if we ain't gonna stand together...
Rest in peace.
A point of curiosity though...
CHADEMA wameitisha press conference kesho and usiku huu Mama Samia comes with this news.
Coincidence? Or has Chadema become a force to be reckoned with.
Samia anakua One Term PresidentUchaguzi wa nn... Makamu anakuwa Rais kwa kipindi kilichobakia
Spika katajwa pia hukoLema alifunuliwa akasema Mungu amemuonyesha ya kwamba Rais magufuli akiendelea kujiona yeye ni mungu hatafika 2020 lakini hakubadilika Mungu akamuongezea muda kidogo wa kujisahihisha lakini hakubadilika.
Kweli, huyu JPM nitamkumbuka misimamo yake thabiti, napenda mtu kwenye misimamoTuombe mema...hopeful Mungu anajua namna ya kurekebisha na atasimama na mama Samia, thou it's hard Ila najua atashinda cha muhimu apate strong&true support kutoka kwenye inner circle.
Maza ni mpole💯 Hakuna kulegeza kamba, tunahitaji kumuona Magufuli ndani ya mama Samia
Pole sana, mimi pia nimepata jakamoyo sana.Mpaka natetemeka, nimepata uoga ambao sio wa kawaida.
Asante sana mami nshapoaPole sana
Atasema, walikuwa hawasomi katiba.Wewe kweli umevurugwa,Bunge na Baraza la Mawaziri vina kazi gani, mbona watangulizi wake hawakufanya hivyo?