Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
kwa hiyo mnahofia hilo swali likiulizwa litavunja muungano???He is right, kwa sababu ki Fifa, Zanzibar doesn't exist. Kififa nchi ni moja tuu, JMT.
Ni sawa na kumuuliza SG wa UN kuhusu kiti cha Zanzibar.
P